Acha unoko wewe, kwani uongo sasa? Dino kapitwa mbali,kacheza muda mfupi kajichokea, Don Andres kacheza mda mref na bado mkali. Mue mnatumia akili kufikiri.
Ila Iniesta ana nidhamu, ana akili, ana wepesi, ana usahihi, ana control, ana kipaji pure, anajua namna ya kuboss midfield zone yake, yuko quick and dribbling skills na accurate pass zake zinamfanya asiwe na mpinzani uwanjani.
Acha unoko wewe, kwani uongo sasa? Dino kapitwa mbali,kacheza muda mfupi kajichokea, Don Andres kacheza mda mref na bado mkali. Mue mnatumia akili kufikiri.
hahaaaaaaa.... kucheza mda mrefu sio hoja kabisa, mfano Francesco Totti is still playng and yuko na 40 yrs now lakin huwezi ukamuweka knye level moja na DinhoAcha unoko wewe, kwani uongo sasa? Dino kapitwa mbali,kacheza muda mfupi kajichokea, Don Andres kacheza mda mref na bado mkali. Mue mnatumia akili kufikiri.
Kwahiyo kucheza muda mrefu ndio kuwa bora??
hahaaaaaaa.... kucheza mda mrefu sio hoja kabisa, mfano Francesco Totti is still playng and yuko na 40 yrs now lakin huwezi ukamuweka knye level moja na Dinho
Et dinho kaitengeneza barca acha kulopoka vitu usivyovijua walipita kina maladona rivaldo walikuwepo kina xava pep na wakali wengine af unasema barca imejengwa na dinho[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]Ndio maana wanaojua soka wakasema dinho kaitengeneza barcelona ila barcelona wamemtengeneza Messi.
Mods mpeni ban mleta uzi huu... hawezi kumdharau Gaucho kihasi hiki.
Anamfananisha na vitu vya kipuuzi hiv!!!!!
Kihasi=Kiasi
Vipi saivi.sio iniesta tu hata messi hamfikii gaucho,gaucho habari ingine,anaburudisha na kusaidia timu
Mess is better than GauchoGaucho is the Beast!!
Hakuna kama Gaucho na hatotokea tena.
MessNadhani gaucho ni kiumbe kutoka sayari mpya iliyogunduliwa hivi majuzi, hapaswi kulinganishwa na kiumbe yeyote anaevuta oksjeni.
Bangi hii.messi chenga anayoiweza ile ya kufundishwa kwenye 'cone'..basi!