Kama umeshindwa kumuelewa huyu jamaa alichokisema kuhusu hiyo miaka basi una kila sababu ya kumpinga.Hivi wewe una akili kweli?,Iniesta kazaliwa 1984 ana miaka 32,na Gaucho kazaliwa 1980 na ana miaka 36,fuatilia historia zao mzee
Embu kaa chini na utafakari alichosema.