Iniesta na gaucho, Nani zaidi?

Iniesta na gaucho, Nani zaidi?

Kwahiyo Fabio Cannavaro ni zaidi ya Iniesta na Xavi kwakuwa ana Ballob D'or

jibu swali uliloulizwa je unavuta bangi ya wapi?
wacha kukurupuka na mengine...toa kwanza mwiba wa takoni kisha ndio ukae chini na kuitoa wa mguuni
 
Andrés Iniesta
2015 UEFA Super Cup 104.

Iniesta with the 2015 UEFA Super Cup trophy

Personal information
Full name Andrés Iniesta Luján[1]

Date of birth 11 May 1984 (age 32)

Place of birth Fuentealbilla, Spain

Height 1.71 m (5 ft 7 1⁄2 in)[2]

Playing position Midfielder

Club information
Current team
Barcelona
Number 8

Youth career
1994–1996 Albacete
1996–2001 Barcelona
Senior career*
Years Team Apps (Gls)
2001–2003 Barcelona B 54 (5)
2002– Barcelona 391 (34)
National team‡
2000 Spain U15 2 (0)
2000–2001 Spain U16 7 (1)
2001 Spain U17 4 (0)
2001–2002 Spain U19 7 (1)
2003 Spain U20 7 (3)
2003–2006 Spain U21 18 (6)
2006– Spain 113 (12)

Honours
Barcelona
Runner-up La Liga 2004
Winner La Liga 2005
Winner Supercopa de España 2005
Winner La Liga 2006
Winner UEFA Champions League 2006
Winner Supercopa de España 2006
Runner-up UEFA Super Cup 2006
Runner-up FIFA Club World Cup 2006
Runner-up La Liga 2007
Third place La Liga 2008
Winner La Liga 2009
Winner Copa del Rey 2009
Winner Supercopa de España 2009
Winner UEFA Champions League 2009
Winner UEFA Super Cup 2009
Winner FIFA Club World Cup 2009
Winner La Liga 2010
Winner Supercopa de España 2010
Winner La Liga 2011
Runner-up Copa del Rey 2011
Winner Supercopa de España 2011
Winner UEFA Champions League 2011
Winner UEFA Super Cup 2011
Winner FIFA Club World Cup 2011
Runner-up La Liga 2012
Winner Copa del Rey 2012
Runner-up Supercopa de España 2012
Winner La Liga 2013
Winner Supercopa de España 2013
Runner-up Copa del Rey 2014
Winner La Liga 2015
Winner Copa del Rey 2015
Winner UEFA Champions League 2015
Runner-up Supercopa de España 2015
Winner UEFA Super Cup 2015
Winner FIFA Club World Cup 2015
Winner La Liga 2016
Winner Copa del Rey 2016

Spain
Winner UEFA U-17 Championship 2001
Winner UEFA U-19 Championship 2002
Runner-up FIFA U-20 World Cup 2003
Winner UEFA Euro 2008
Winner FIFA World Cup 2010
Winner UEFA Euro 2012
Runner-up FIFA Confederations Cup 2013

Imbeni mpaka mchoke, lkn iniesta anajua anachokifanya uwanjani, na anajua kuuchezea mpira. Ni Mmoja kati ya midfielder bora kabisa, lakini sio GAUNI wenu mbwembwe nyiingi kuliko vitendo.
😛hii kali aise.watoto mnasumbua humu
Acha utoto wewe,Hizo porojo peleka huko unakojua! Muda huo aliokaa barcerona kama ni Baba wa soka messi angeipatisha tim vikombe vyote, na sio huyo mbwe mbwe nyingi.

In-short barcelona hakufanya lolote la maana mpaka walimchoka. Since 2003-2008 miaka yote hiyo uefa cup ni moja tu? Alaf mnakuja apa mnamsifu,kwa lipi zaidi? Hata uefa final na arsenal hakufanya lolote la maana, ETOO ndie alifanya kazi kubwa pale hadi tim ikaibuka na ubingwa, na ndie man of the match samuel etoo huyo. Na sio huyo kapuku wenu.
  • Samuel etoo,gol
  • Juliano Belletti,gol
Ac milan ndio kabisaa alitia kichefuchefu, na hakuna tim yyte iliyokua tayari kumnunua, hivyo akakimbilia kwao brasil kule tena akaonekana boya zaidi.hata vikombe vyenyewe sio kwa juhudi zake binafsi maana alijinenepea likawa mzigo hata hapa kwetu simba fc ama azam fc tusingempokea hata kwa bure. so narudia tena usitake kupotosha watu kijana, na usitufanye sisi wapumbavu,tuna akili zetu bwana.
Iniesta ataendelea kuwa juu yake, ana33 lkn bado ni jembe.
Iniesta - Maestro!

ingia youtube, ingia insta kwenye page yake utaona maajabu na miujiza ambayo mpaka hii leo Gaucho anaifanya.

St Gaucho juzi kati kapiga goli 5 kwenye Indoor Soccer na kufanya matendo makuu ya ajabu ambayo hata wanaoucheza mchezo huo wame yashangaa.

Duru za soka zilipata kutanabaisha na kukiri kuwa ili umkabe na kumfunika Dinho Magic basi ni lazima uwe na Bikali, Kowa, Wembe, Sindano, Upupu na silaha nyingine ndogondogo za jadi.

Claudio Makelele alipata kusema kuwa "huwa kuna kipindi uwanjani nategea kwenda kumkaba ili nione anachowafanyia wenzangu wenye vihelehele"...sasa ukiona mpaka mchezaji anavutiwa na matendo ya adui basi ujue adui huyo unapaswa kuungana nae.

ntarudi...
 
Acha utoto wewe,Hizo porojo peleka huko unakojua! Muda huo aliokaa barcerona kama ni Baba wa soka messi angeipatisha tim vikombe vyote, na sio huyo mbwe mbwe nyingi.

In-short barcelona hakufanya lolote la maana mpaka walimchoka. Since 2003-2008 miaka yote hiyo uefa cup ni moja tu? Alaf mnakuja apa mnamsifu,kwa lipi zaidi? Hata uefa final na arsenal hakufanya lolote la maana, ETOO ndie alifanya kazi kubwa pale hadi tim ikaibuka na ubingwa, na ndie man of the match samuel etoo huyo. Na sio huyo kapuku wenu.
  • Samuel etoo,gol
  • Juliano Belletti,gol
Ac milan ndio kabisaa alitia kichefuchefu, na hakuna tim yyte iliyokua tayari kumnunua, hivyo akakimbilia kwao brasil kule tena akaonekana boya zaidi.hata vikombe vyenyewe sio kwa juhudi zake binafsi maana alijinenepea likawa mzigo hata hapa kwetu simba fc ama azam fc tusingempokea hata kwa bure. so narudia tena usitake kupotosha watu kijana, na usitufanye sisi wapumbavu,tuna akili zetu bwana.
Sasa mimi na wewe nani mtoto hapa?...

Yaani unazungumzia mafanikio ya mtu kwa hiyo UEFA cup moja?...

Mtu amefunga magoli zaidi ya 70 akiwa Barcelona yet unasema hajafanya kitu...Ametoa assists zaidi ya 60 unasema hajafanya kitu...

Wewe kiazi kweli...Sasa ulitegemea Gaucho afunge kila mechi hata hiyo fainali ya UEFA ndio useme ni bora?...

Umeandika maneno mengi uharo tu...Lete facts...Lete takwimu zinazombeba Iniesta over Gaucho...

Huyo Eto'o alikuwa anacheza peke yake uwanjani?...Mbona hauwataji Deco na Mark Van Bommel waliofanya kazi kubwa pale kati wakishirikiana na Gaucho aliyecheza kama AM?...
 
sijui umekula maharage ya wapi wewe?
ila nahisi ni Yai la kuchemsha kisha umeshushia mtindi.

kwanza kabisa nikujulishe tu, Dinho Magic alibeba tuzo ya Mwanasoka bora wa Dunia pindi ambapo Dunia ina wachezaji kwelikweli. timu zilikuwa nondo na wachezaji walikuwa nondo haswa. makipa walikuwepo, mabeki walikuwapo, viungo ndio balaa, washambuliaji ndio usiseme...

Totti, Del Piero, Raul, Figo, Eto'o, Rivaldo, De Lima, Beckham, Owen, Mendieta, Valeron, Riquelme, Efenberg, Gerald na wengine wengi aliwabwaga. Saint Gaucho aliweza kupiga chenga za maudhi na kuwadhalilisha mabeki visiki waliokuwa kwenye soka miaka hio, na sio hawa mabeki wenu wa siku hizi kila wakiruka kichwa wakitua chini basi kitu cha kwanza ni kujitoa doksi.

Dinho Magic amesambaratisha viungo imara vya timu tofauti hapa ulimwenguni. Dinho ameshatoa assist za ajabu na hazijatokea mpaka leo. Mfano ni ile pasi aliomtengenezea Nesi na kisha Nesi kukiri kuwa hata angefumba macho basi mpira ule aliopewa na mjanja wake basi ilikuwa afunge tu na kuweka kumbukumbu yake ya goli la kwanza kuifungia Barca alipewa pasi na Mtume na Nabii wa Mwisho wa Soka.

na unapojishushia heshima ni pale unaposema eti Mtakatifu Gaucho angekuwepo kwenye kipindi hiki cha Ronaldo na NESI basi asingefanya lolote...

nikukumbushe tu matukio muhimu. Dinho Magic aliwahi kuja Sansiro na kuikuta Milan dume dume kweli, lakini alichotufanya ilibidi Berlusconi amtume Uncle Fester aangalie uwezekano wa Nabii huyo kuja kuvaa uzi wa Rosoneri.

Nesi wako unaemsifia wewe hajawahi kufunga goli la move Nesta akiwa anamkaba. Nesi mara zote alizokabwa na Nesta amefunga magoli ya penati tu.

huyo Ronaldo alishakuja Sansiro enzi za mbavu Cafu mbavu Maldini na alijambajamba matokeo yake mwishoni akataka eti kumpiga Cafu...

siku nyingine alikuja Sansiro kisha akakutana na Brigadia jenerali mstahafu Ivan Rhino Genaro Gatuso na cha moto alikiona.

so usijidhalilishe kwa kulinganisha kipindi cha Gaucho na kipindi hiki cha kwako wewe na wanyoa viduku wenzio.

jifunze kupitia kwa sisi tuliokuzidi kijana.
unapobishana na Belo na Balantanda ukae ukijuwa utalemaa hapohapo na hutokuja kujuwa.
Mjomba la liga hutizami mimi tokea 2000 natizama la liga na klabu yangu ni Bilbao

Kuanzia sasa nafunga mjadala sibishani na Ww tena nimegundua mpira hufahamu,una upenzi,eti messi hajawahi kufunga goli ya move yote ya penati
.siku njema bro
 
Madhara ya kuangalia mpira miaka minne iliyopita ndo hayo,naona umeamua kumzalilisha Mfalme kwa vitu vya kipumbavu.ivi izo shule mlienda kusomea ujinga naona.
Humjui ronaldinho tatizo lako.ingia u tube.umuangalie ronaldinho ndio uje hapa tujadili.sio messi wala Rinaldo wala dunia nzima
 
Mjomba la liga hutizami mimi tokea 2000 natizama la liga na klabu yangu ni Bilbao

Kuanzia sasa nafunga mjadala sibishani na Ww tena nimegundua mpira hufahamu,una upenzi,eti messi hajawahi kufunga goli ya move yote ya penati
.siku njema bro

Py thon ee usihangaike jamaa yangu na hawa viumbe bado hawajitambui, na wameonyesha wazi kutoufahamu mpira, watu wa type hiyo wapuuzie mbali,na wala hakuna sababu ya kubishananao,
three days ahead watatuijia na kusema gaucho ni zaidi ya Zidane,😛😛😛,

kwenye mioyo yao wanatambua kuwa Iniesta ni zaidi ya gaucho,kuuchezea mpira,ball controll,passes nk. lkn wanaona aibu kuyasema,isipokua wanapindisha vimaneno maneno na kuongeza chumvi ikolee zaidi

😛😛ndiomana nikasema hakuna sababu ya kubishananao,utapoteza time zako bure
 
😀😀😀Messi mdogo wangu unafanya sio vizuri aise unabeba dhambi nyingi mno kwa gaucho' ona sasa umemfanya Iniesta ang'are zaidi na gaucho kuonekana wa kawaida.
 
😀😀😀Messi mdogo wangu unafanya sio vizuri aise unabeba dhambi nyingi mno kwa gaucho' ona sasa umemfanya Iniesta ang'are zaidi na gaucho kuonekana wa kawaida.

Umenena kiongozi...Tiene gran deleitarme , estos niños habían vez lo compara con los mejores jugadores de la historia Leonel Messi y Diego Armando Maradona😀😀😀
 
Mucho gracias! El contigo. Por amor de una mujer...intolanto bageni baje na msosi wao.

Hasta la vista!

😀😀😀😀😀 juntos somos un líder ! Estos niños con ellos, todos los días Gaucho Gaucho ! No me he casado con él Gaucho? el tiempo mismo estaba tocando música es el término pronto llegó a ser absolutamente kishajichokea
 
Ronaldihno gaucho alifanya mpira uwe wa kuvutia sana uchoki kumwangalia ladha ile hakuna aliyenayo mpaka sasa , kwangu mimi GAUCHO ni bora kuliko messi achana na iniesta maana iniesta ni mkali lakini sio level za hawa watu wawili
 
View attachment 401680
View attachment 401681 View attachment 401681


KIUNGO MCHEZESHAJI ALIYEKAMILIKA
Andres Iniesta alianzia soka lake akiwa kwenye Academy ya La Massia inayomilikiwa na Barcelona. Uwezo wake wa kucheza kwenye nafasi tofauti, kujituma, na umuhimu kwenye mchezo, ulimfanya achukua nafasi kwenye kikosi cha kwanza akiwa na umri wa miaka 18 na alianza kucheza mechi mfululizo kwenye msimu wa mwaka 2004/05.

Akiwa kama mchezaji mchanga, Iniesta alianza kufanya mazoezi akiwa na kikosi cha kwanza na Pep Guardiola (kocha wa zamani wa Barcelona wakati akiwa bado mchezaji) alimwambia Xavi kuwa, yeye (Xavi) angemfanya Guardiola astaafu lakini Iniesta atawafanya wote wawili yaani
Xavi na Pep wastaafu.


Pep Guardiola na Andres Iniesta

Guardiola aliona mbali na hakukosea kwa kauli aliyoitoa, Iniesta hakuwa bora kwenye pasi pekee bali alikuwa mzuri kwenye ukokotaji wa mpira, alikuwa na uwezo mkubwa wa kucheza maeneo tofauti ya uwanja na alikuwa na uwezo mkubwa wa kufunga mabao na kutoa pasi muhimu.

Ilikuwa chini ya Guardiola ambapo Iniesta aliuteka ulimwengu. Guardiola alimtengeneza Iniesta na kumfanya kuwa mchezaji muhimu kwa Barcelona na Hispania na kubwa alilofanya Guardiola ni kumfanya Iniesta ambaye kwa kawaida ni mtu mkimya, kuwa kiongozi kwenye timu yake.

Chini ya nahodha huyu wa zamani wa Barcelona, soka la Iniesta lilifikia kiwango cha juu kupita hata Xavi na Guardiola kama ilivyokuwa kauli ya Guardiola. Alikuwa kiungo mchezeshaji aliyekamilika na hadi sasa ameingia kwenye orodha ya wachezaji bora waliowahi kucheza Barcelona.

MFUNGAJI WA MABAO MUHIMU 
Iniesta siyo mfungaji wa mabao mengi, lakini ni mfungaji wa mabao mazuri na muhimu kwa timu yake kama Vile Zinedine Yazid Zidane. Iniesta alikuwa akifunga kwenye mechi muhimu na kubwa.



ya mabao ambayo yatakumbukwa na wengi ni bao alilowafunga Chelsea mwaka 2009 kwenye nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Ulikuwa mpira wa mwisho kwenye mechi hiyo na ulikuwa mpira ambao Iniesta alifunga bao lililoivusha Barcelona hadi fainali akiwa na mshambuliaji hatari kuwahi kutokea Leonel messi.

Kwenye Kombe la Dunia 2010, Iniesta alifunga bao muhimu kwenye historia ya soka la Hispania. Huku ubao wa matokeo ukisomeka 0-0 wakati wa fainali hiyo dhidi ya Uholanzi, mpira ulimfikia Iniesta upande wa kulia wa eneo la 18, halikuwa bao kama la Zidane kwenye fainali ya mwaka 2002 wakati Real Madrid walipocheza na Bayer Leverkusen, lakini umuhimu wake ulikuwa ule ule.

Hispania waliweka historia hiyo na Iniesta alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Ulaya 2012. Aliiongoza timu yake akiwa ndani ya uwanja kwa uwezo wake na miaka minne baada ya Xavi kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Ulaya 2008, Iniesta alitimiza utabiri wa Guardiola.


Vicente Del Bosque ambaye aliwahi kufanya kazi na Zidane kwenye klabu ya Real Madrid, alimtaja Iniesta kama mchezaji aliyekamilika kuliko wote aliowahi kuwaona.


Na mchezaji mwingine, Samuel Eto’o alimtaja Iniesta kama mchezaji bora duniani kwani kila awapo uwanjani huwa anatengeneza maajabu.

Hakuna ubishi kuwa Iniesta amekuwa akibadilika kwenye nafasi ya kiungo mchezeshaji bora kuendana na mchezo wa soka.

Akiwa kwenye mfumo wa Barcelona huku akicheza soka kuendana na umbo lake dogo, Iniesta alijifunza kumiliki mpira na kuuelewa mchezo kwa jinsi anavyotengeneza ‘movement’ zake, mbinu na hata maamuzi ambayo anayafanya, kitu kinachofanya soka kuonekana rahisi kwake.

Iniesta link hapa;
Andrés Iniesta - Wikipedia, the free encyclopedia
Andrés Iniesta - Wikipedia, the free encyclopedia

Kuhusu Ronaldinho link hapa;
Ronaldinho - Wikipedia, the free encyclopedia
Ronaldinho - Wikipedia, the free encyclopedia

Gaucho ni kiumbe ambacho dunia ya soka itamkumbukasana, ina kua kama kupatwa kwa jua, inaweza pita miaka 300 kutokea mwingine. Mungu uumba viumbe awa adimu kwa namna anayo jua yeye, wachukue wote waliopo na waliopita Barcelona amna aliyefikia ata nusu yake na wenyewe Barca wanakiri. Yule mtu alikua achezi mpira, ila alikua kwenye sanaa ya mpira.
 
Mjomba la liga hutizami mimi tokea 2000 natizama la liga na klabu yangu ni Bilbao

Kuanzia sasa nafunga mjadala sibishani na Ww tena nimegundua mpira hufahamu,una upenzi,eti messi hajawahi kufunga goli ya move yote ya penati
.siku njema bro

usisuse kama Nesi...
nimekwambia huyo Nesi wako hajawahi kumpita Nesta na kufunga gol la Move...huyo magoli yake yote alipokabwa na Nesta alifunga wa penati
 
Najaribu kukumbuka kipindi dinho anatua barca, barca ilikua imepotea ktk ramani kidogo kama ilivyofulia man u na ac milan kipindi hiki. Ila nabii alivyotua aliitoa barca kutoka kushiriki uefa ndogo hadi kurudi tena ktk ramani ya soka klabu bigwa ulaya. Kama ilivyo kawaida ya Manabii waliopita CC Jesus na Mohhamad. Dinho alifanya miujiza na mambo yote matakatifu ktk mpira wa miguu. Hatimaye likatimia neno, timu iliposimama wima alisulubiwa nakutupwa kama Manabii wengine waliopita. Huyo ndio Ronaldinho, vijana wa leo mtakua mmenielewa. Wakongwe wenzangu najua mnalifahamu hilo..
 
Ndio maana wanaojua soka wakasema dinho kaitengeneza barcelona ila barcelona wamemtengeneza Messi.
 
Jamani comparison zingine ni za ajabu kama mess afuati kwa gaucho,sasa huyo jamaa si ndio kabisa
 
Back
Top Bottom