DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Imbeni mpaka mchoke, lkn iniesta anajua anachokifanya uwanjani, na anajua kuuchezea mpira. Ni Mmoja kati ya midfielder bora kabisa, lakini sio GAUCHO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gaucho amefunga magoli mangapi akiwa Barca na ametoa assists ngapi?..
Iniesta amefunga magoli mangapi akiwa Barca na ametoa assists ngapi?...
FYI...Huyo unayesema anawahadaa watu kwa kanzu anamzidi Iniesta kwa idadi ya magoli na assists...
Na hata huko Milan unakosema alikuta ineanza kuchoka...Mwaka 2010 aliisaidia Milan kushinda ubingwa wa Serie A.
Mtu amechukua vikombe katika ligi 4 tofauti unamlinganisha na mtu aliyecheza ligi 1 maisha yake yote...Angalia Maradona...Pele...Zidane..Raul..Figo..Beckham..Weah..The Phenomenon Ronaldo..Cristiano Ronaldo..Thiery Henry..Eto'o...Fabio Cannavaro m.k...Hawa wamecheza ligi tofauti na wamedhihirisha ubora wao sehemu zote walizocheza..
Gaucho ana 37Iniesta ana 33 bado yupo kwenye peak anaburudisha ,gaucho 28 kashajifia
Halafu mpe heshima yke don andres
RonaldinhoSipendi dharau hvi we bwana mdogo unavuta bange za wapi?gaucho ana balon d or iniesta hana sasa unawalinganisha nn hawa watu wawil
Wewe messi record ni kwenye ballon dor basbila shaka utakuja na habari za makombe,magoli,ballon d'or ambazo zina magumashi
Iniesta ni chekechea wakati Gaucho ni Chuo kikuuKwani iniesta soka lake siyo ya kuburudisha jaribu kutizama games za Barca halafu uone iniesta passing zake,touch,one two,dribblings nk iniesta complete player ,complete midfielder
Gaucho ni kiumbe mwingineEbwana ee tuacheni utani Iniesta anatisha aise, ukiweka ushabiki pembeni..kisoka Iniesta anatisha
Shikamoo Iniesta... gaucho ni level za akina jj okocha,Henry,batistuta..
alaf kuna mijitu mingine huwa inam-comparrison na Zidane, sijui huwa inaandika ikiwa imepiga wiski ama?..Zizzou na Gaucho wapi na wapi?,ni kama mbingu na Ardhi.
Winning with a team haimaanishi kuwa bora ila unaposhinda ukiwa ndani ya timu na nje ya timuAndrés Iniesta
2015 UEFA Super Cup 104.
Iniesta with the 2015 UEFA Super Cup trophy
Personal information
Full name Andrés Iniesta Luján[1]
Date of birth 11 May 1984 (age 32)
Place of birth Fuentealbilla, Spain
Height 1.71 m (5 ft 7 1⁄2 in)[2]
Playing position Midfielder
Club information
Current team
Barcelona
Number 8
Youth career
1994–1996 Albacete
1996–2001 Barcelona
Senior career*
Years Team Apps (Gls)
2001–2003 Barcelona B 54 (5)
2002– Barcelona 391 (34)
National team‡
2000 Spain U15 2 (0)
2000–2001 Spain U16 7 (1)
2001 Spain U17 4 (0)
2001–2002 Spain U19 7 (1)
2003 Spain U20 7 (3)
2003–2006 Spain U21 18 (6)
2006– Spain 113 (12)
Honours
Barcelona
Runner-up La Liga 2004
Winner La Liga 2005
Winner Supercopa de España 2005
Winner La Liga 2006
Winner UEFA Champions League 2006
Winner Supercopa de España 2006
Runner-up UEFA Super Cup 2006
Runner-up FIFA Club World Cup 2006
Runner-up La Liga 2007
Third place La Liga 2008
Winner La Liga 2009
Winner Copa del Rey 2009
Winner Supercopa de España 2009
Winner UEFA Champions League 2009
Winner UEFA Super Cup 2009
Winner FIFA Club World Cup 2009
Winner La Liga 2010
Winner Supercopa de España 2010
Winner La Liga 2011
Runner-up Copa del Rey 2011
Winner Supercopa de España 2011
Winner UEFA Champions League 2011
Winner UEFA Super Cup 2011
Winner FIFA Club World Cup 2011
Runner-up La Liga 2012
Winner Copa del Rey 2012
Runner-up Supercopa de España 2012
Winner La Liga 2013
Winner Supercopa de España 2013
Runner-up Copa del Rey 2014
Winner La Liga 2015
Winner Copa del Rey 2015
Winner UEFA Champions League 2015
Runner-up Supercopa de España 2015
Winner UEFA Super Cup 2015
Winner FIFA Club World Cup 2015
Winner La Liga 2016
Winner Copa del Rey 2016
Spain
Winner UEFA U-17 Championship 2001
Winner UEFA U-19 Championship 2002
Runner-up FIFA U-20 World Cup 2003
Winner UEFA Euro 2008
Winner FIFA World Cup 2010
Winner UEFA Euro 2012
Runner-up FIFA Confederations Cup 2013
Imbeni mpaka mchoke, lkn iniesta anajua anachokifanya uwanjani, na anajua kuuchezea mpira. Ni Mmoja kati ya midfielder bora kabisa, lakini sio GAUNI wenu mbwembwe nyiingi kuliko vitendo.
Kasome acha uongoMjomba Gaucho hajaondoka sababu hiyo na hata kipindi cha rijkaard alikuwa anakaa mkeka ,gaucho kasepa barca sabb ya kiwango na siyo vinginevyo na hata bila ya rais ,kwanza guardiola asingemhitaji ,zizzou kastaafu mapema kutunza heshima yake ,iniesta hata asipostaafia Barca point hapa Gaucho alidrop kiwango mapema sana
Mda mwengine hua wanakuchokoza tu ili uje lakini kiukweli iniesta hana hadhi ya kulinganishwa saint
Topic inasema Iniesta Vs Ronaldinho,nashangaa kwanza Messi ameingiaje kwenye huu mjadala.Kama kwako Iniesta ni bora kuliko Ronaldinho ni mtazamo wako sikulazimishi
acha mambo ya ajabu wewe Iniesta bado anavyaa nepi kwa Gaucho
Acha utoto....
Facts:-
1. Ronaldo de Assis Moreira maarufu kama Ronaldinho Gaucho alizaliwa tarehe 21/03/1980...Hivyo ana miaka 36 sasa..Na Andres Iniesta Lujan amezaliwa tarehe 11/05/1982 ana miaka 32.
2. Gaucho amechezea timu zifuatazo na magoli aliyofunga yapo kwenye mabano: Gremio (21), PSG (17), Barcelona (70), AC Milan (20), Flamengo (15), Atletico Mineiro (17), Queretaro (8), Fluminense (0)...Na Iniesta yeye soka la ushindani ameichezea Barcelona tu na amefunga magoli 34 tu.
3. Gaucho amecheza ligi 5 kubwa duniani katika nchi za Brazil, Ufaransa, Hispania, Italia na Mexico ilhali Iniesta amecheza ligi moja tu ya La liga.
4. Gaucho ameifungia magoli 33 katika mechi 97 alizoichezea timu ya Taifa ya Brazil ilhali Iniesta ameifungia magoli 12 katika mechi 113 alizoichezea timu ya Taifa ya Hispania.
5. Gaucho amekuwa mchezaji bora wa Dunia mara 2...Iniesta hajawahi kuwa Mchezaji bora wa Dunia.
6. Gaucho amecheza kama attacking midfielder na forward...Iniesta anacheza kama natural midfielder..
7. Gaucho ana Bronze medal ya Olympic...Iniesta hana.
8. Gaucho ameichezea Barcelona mechi 145 na kufunga magoli 70...Iniesta ameichezea Barcelona mechi 390 na kufunga magoli 34.
Mwisho: Acha kumlinganisha Gaucho na vitu vya kipumbavu.
Gaucho siyo kwamba kapenda kucheza hizo ligi zingine ,2007 ilikuwa ni downfall ya Gaucho lkn alivumiliwa na Barca sababu ya heshima yake tu lkn Gaucho bado hakuweza kubadika ,uzito ulikuwa unazidi kumuongezeka na mpira ndio basi tena ,ndio rais wa Barca alipotangaza kuwa wameamua kuachana na Gaucho amekuwa unprofessional japo walimvumilia sana
Ac Milan iliyokuwa imeshaanza kujifia na kuokota makombo wakamchukua Gaucho ,pia Gaucho hakukaa Milan sana sabb ya unene wake na mpira kushuka ndipo akaenda zake Brazil,mexico kisha marekani
Iniesta ambaye hv ss ana miaka 33 bado anaupiga mpira mwingi, kazi anayoifanya vijana kama kroos,modric wanaisoma namba hebu tizama kwa umri wake anavyocontrol kiungo,anavyopoteza wapinzani iniesta yupo ligi moja ulitaka aende wapi wkt yupo kwenye timu bora ,iniesta atasepa pindi mpira ukimwisha
Kuhusu Ballon dor huyo Gaucho ktk kipindi hichi cha messi na ronaldo asingeambulia hata ballon dor 1 ,hv ss priority ya ballon dor ni washambuliaji na siyo viungo ,messi na cr7 wanafunga 50+ kwa msimu jambo ambalo hata gaucho hawezi na competition na hawa watu asingeweza.Akina capello ,del bosque wameshasema dhambi kubwa ktk soka ni iniesta kustaafu bila ya ballon dor
Ballon dor ni kwaajl ya washambuliaji tu tofautisha na miaka ya nyuma ,2010 ilibidi achukue yy,
Halafu ballon dor cyo kipimo ndio maana FIFA wamejitoa hv ss ktk tuzo hzo
Iniesta ana kipara saizi lkn ladha yke bado tunaiona
Msidanganyike na mikanzu ya gaucho
A few days before the Clasico against Real Madrid, 'Dinho' called me at home at night,' Iniesta writes.
'I answered and he told me: ''Andres, I know it's 3am, but I have to confess something. In June I will be leaving Barca. My brother has an agreement with Real Madrid. It's an incredible amount that I can't refuse. You're young, you can understand... But please do not tell anyone in the locker room or the club, do not betray me, I trust you more than anyone. Andres good night.''
He didn't give me time to say anything. The next day, we were in training camp and I felt an awkward atmosphere around me.
'The whole team was silent and they were all greeting Ronaldinho like never [before].
'When the day of the Clasico came [November 19, 2005], in the locker rooms of Santiago Bernabeu 'Dinho' told us: ''Guys, today is a very important game, they are strong, but these days I discovered that we were like a family. I called each of you during the night and I told you that I was leaving in June, but none of you spoke.
'After that, I realised that we were ready to suffer in silence rather than betray each other. I'll stay here for a long time... Now let's go into the field and give a lesson to these players of Real Madrid!''
The subsequent result of Ronaldinho's mind games was a memorable 3-0 victory with the Brazilian scoring twice and being given a rare standing ovation by the Real Madrid fans.
Barcelona went on to win La Liga, beating Real Madrid by eight points, and the Champions League that season.
Hata ukimuuliza Iniesta atakuambia gaucho ni hatareee
Mdanganye chomba, sisi tunaoijua barca huwezi ku2danganya. rais wa Barca sio ******** mpaka kufikia kutangaza kuwa wameamua kuachana na Gaucho amekuwa unprofessional japo walimvumilia sana.
Zinedine mpaka anastaafu bado anatesa,sasa hayo maneno ya kusema et duniani kote hakuna mchezaj anaeng'ara mpaka anastaafu huo ni uongo.
Iniesta ndo bora zaidi kwani kakomaa kwenye game kwa uwezo wake uleule mpka sasa Gucho alikuwa wa mwendokasi alivuma kwa kipindi kidogo mno ka big G vile,Iniesta kafanya wonders kwenye club na timu ya taifu.