Iniesta na gaucho, Nani zaidi?

Iniesta na gaucho, Nani zaidi?

Imbeni mpaka mchoke, lkn iniesta anajua anachokifanya uwanjani, na anajua kuuchezea mpira. Ni Mmoja kati ya midfielder bora kabisa, lakini sio GAUCHO.
 
Gaucho amefunga magoli mangapi akiwa Barca na ametoa assists ngapi?..

Iniesta amefunga magoli mangapi akiwa Barca na ametoa assists ngapi?...

FYI...Huyo unayesema anawahadaa watu kwa kanzu anamzidi Iniesta kwa idadi ya magoli na assists...

Na hata huko Milan unakosema alikuta ineanza kuchoka...Mwaka 2010 aliisaidia Milan kushinda ubingwa wa Serie A.

Mtu amechukua vikombe katika ligi 4 tofauti unamlinganisha na mtu aliyecheza ligi 1 maisha yake yote...Angalia Maradona...Pele...Zidane..Raul..Figo..Beckham..Weah..The Phenomenon Ronaldo..Cristiano Ronaldo..Thiery Henry..Eto'o...Fabio Cannavaro m.k...Hawa wamecheza ligi tofauti na wamedhihirisha ubora wao sehemu zote walizocheza..

Acha utoto wewe,Hizo porojo peleka huko unakojua! Muda huo aliokaa barcerona kama ni Baba wa soka messi angeipatisha tim vikombe vyote, na sio huyo mbwe mbwe nyingi.

In-short barcelona hakufanya lolote la maana mpaka walimchoka. Since 2003-2008 miaka yote hiyo uefa cup ni moja tu? Alaf mnakuja apa mnamsifu,kwa lipi zaidi? Hata uefa final na arsenal hakufanya lolote la maana, ETOO ndie alifanya kazi kubwa pale hadi tim ikaibuka na ubingwa, na ndie man of the match samuel etoo huyo. Na sio huyo kapuku wenu.
  • Samuel etoo,gol
  • Juliano Belletti,gol
Ac milan ndio kabisaa alitia kichefuchefu, na hakuna tim yyte iliyokua tayari kumnunua, hivyo akakimbilia kwao brasil kule tena akaonekana boya zaidi.hata vikombe vyenyewe sio kwa juhudi zake binafsi maana alijinenepea likawa mzigo hata hapa kwetu simba fc ama azam fc tusingempokea hata kwa bure. so narudia tena usitake kupotosha watu kijana, na usitufanye sisi wapumbavu,tuna akili zetu bwana.
 
Sipendi dharau hvi we bwana mdogo unavuta bange za wapi?gaucho ana balon d or iniesta hana sasa unawalinganisha nn hawa watu wawil
Ronaldinho

-World cup 3. 2 youth and 1 national team
-World player of the year 2
-Ballon dor 2 zilikuwa hazijatenganishwa,
- uefa best footballer 2
- uefa 3
- copa america 3
- confederation cup 3

Hapo tena yeye ndo mchango mkubwa anatoa, unamlinganishaje na iniesta au messii? Huyu jamaa yuko juu,
 
bila shaka utakuja na habari za makombe,magoli,ballon d'or ambazo zina magumashi
Wewe messi record ni kwenye ballon dor bas
- hana worl cup
- hana copa america
- hana confederation cup
- hana best footballer of the year

Hivyo messi hana na usinikosoe ujue dinho ana world footballer of the year 2 na ballon dor 2 . messi ameanza kuwika wakati world footballer of the year haipo tena,
 
Kwani iniesta soka lake siyo ya kuburudisha jaribu kutizama games za Barca halafu uone iniesta passing zake,touch,one two,dribblings nk iniesta complete player ,complete midfielder
Iniesta ni chekechea wakati Gaucho ni Chuo kikuu
 
Ebwana ee tuacheni utani Iniesta anatisha aise, ukiweka ushabiki pembeni..kisoka Iniesta anatisha

Shikamoo Iniesta... gaucho ni level za akina jj okocha,Henry,batistuta..
alaf kuna mijitu mingine huwa inam-comparrison na Zidane, sijui huwa inaandika ikiwa imepiga wiski ama?..Zizzou na Gaucho wapi na wapi?,ni kama mbingu na Ardhi.
Gaucho ni kiumbe mwingine
 
Andrés Iniesta
2015 UEFA Super Cup 104.

Iniesta with the 2015 UEFA Super Cup trophy

Personal information
Full name Andrés Iniesta Luján[1]

Date of birth 11 May 1984 (age 32)

Place of birth Fuentealbilla, Spain

Height 1.71 m (5 ft 7 1⁄2 in)[2]

Playing position Midfielder

Club information
Current team
Barcelona
Number 8

Youth career
1994–1996 Albacete
1996–2001 Barcelona
Senior career*
Years Team Apps (Gls)
2001–2003 Barcelona B 54 (5)
2002– Barcelona 391 (34)
National team‡
2000 Spain U15 2 (0)
2000–2001 Spain U16 7 (1)
2001 Spain U17 4 (0)
2001–2002 Spain U19 7 (1)
2003 Spain U20 7 (3)
2003–2006 Spain U21 18 (6)
2006– Spain 113 (12)

Honours
Barcelona
Runner-up La Liga 2004
Winner La Liga 2005
Winner Supercopa de España 2005
Winner La Liga 2006
Winner UEFA Champions League 2006
Winner Supercopa de España 2006
Runner-up UEFA Super Cup 2006
Runner-up FIFA Club World Cup 2006
Runner-up La Liga 2007
Third place La Liga 2008
Winner La Liga 2009
Winner Copa del Rey 2009
Winner Supercopa de España 2009
Winner UEFA Champions League 2009
Winner UEFA Super Cup 2009
Winner FIFA Club World Cup 2009
Winner La Liga 2010
Winner Supercopa de España 2010
Winner La Liga 2011
Runner-up Copa del Rey 2011
Winner Supercopa de España 2011
Winner UEFA Champions League 2011
Winner UEFA Super Cup 2011
Winner FIFA Club World Cup 2011
Runner-up La Liga 2012
Winner Copa del Rey 2012
Runner-up Supercopa de España 2012
Winner La Liga 2013
Winner Supercopa de España 2013
Runner-up Copa del Rey 2014
Winner La Liga 2015
Winner Copa del Rey 2015
Winner UEFA Champions League 2015
Runner-up Supercopa de España 2015
Winner UEFA Super Cup 2015
Winner FIFA Club World Cup 2015
Winner La Liga 2016
Winner Copa del Rey 2016

Spain
Winner UEFA U-17 Championship 2001
Winner UEFA U-19 Championship 2002
Runner-up FIFA U-20 World Cup 2003
Winner UEFA Euro 2008
Winner FIFA World Cup 2010
Winner UEFA Euro 2012
Runner-up FIFA Confederations Cup 2013

Imbeni mpaka mchoke, lkn iniesta anajua anachokifanya uwanjani, na anajua kuuchezea mpira. Ni Mmoja kati ya midfielder bora kabisa, lakini sio GAUNI wenu mbwembwe nyiingi kuliko vitendo.
Winning with a team haimaanishi kuwa bora ila unaposhinda ukiwa ndani ya timu na nje ya timu
 
Mjomba Gaucho hajaondoka sababu hiyo na hata kipindi cha rijkaard alikuwa anakaa mkeka ,gaucho kasepa barca sabb ya kiwango na siyo vinginevyo na hata bila ya rais ,kwanza guardiola asingemhitaji ,zizzou kastaafu mapema kutunza heshima yake ,iniesta hata asipostaafia Barca point hapa Gaucho alidrop kiwango mapema sana
Kasome acha uongo
 
Topic inasema Iniesta Vs Ronaldinho,nashangaa kwanza Messi ameingiaje kwenye huu mjadala.Kama kwako Iniesta ni bora kuliko Ronaldinho ni mtazamo wako sikulazimishi

Na Iniesta hawezi kuwa bora zaidi ya Dinho...
huko ni sawa na kusema Korando ni bora kuliko Vogue...
 
Acha utoto....

Facts:-
1. Ronaldo de Assis Moreira maarufu kama Ronaldinho Gaucho alizaliwa tarehe 21/03/1980...Hivyo ana miaka 36 sasa..Na Andres Iniesta Lujan amezaliwa tarehe 11/05/1982 ana miaka 32.

2. Gaucho amechezea timu zifuatazo na magoli aliyofunga yapo kwenye mabano: Gremio (21), PSG (17), Barcelona (70), AC Milan (20), Flamengo (15), Atletico Mineiro (17), Queretaro (8), Fluminense (0)...Na Iniesta yeye soka la ushindani ameichezea Barcelona tu na amefunga magoli 34 tu.

3. Gaucho amecheza ligi 5 kubwa duniani katika nchi za Brazil, Ufaransa, Hispania, Italia na Mexico ilhali Iniesta amecheza ligi moja tu ya La liga.

4. Gaucho ameifungia magoli 33 katika mechi 97 alizoichezea timu ya Taifa ya Brazil ilhali Iniesta ameifungia magoli 12 katika mechi 113 alizoichezea timu ya Taifa ya Hispania.

5. Gaucho amekuwa mchezaji bora wa Dunia mara 2...Iniesta hajawahi kuwa Mchezaji bora wa Dunia.

6. Gaucho amecheza kama attacking midfielder na forward...Iniesta anacheza kama natural midfielder..

7. Gaucho ana Bronze medal ya Olympic...Iniesta hana.

8. Gaucho ameichezea Barcelona mechi 145 na kufunga magoli 70...Iniesta ameichezea Barcelona mechi 390 na kufunga magoli 34.


Mwisho: Acha kumlinganisha Gaucho na vitu vya kipumbavu.

hah hah hah hah wangekuwa na akili timamu basi walipokusoma hapa mkuu wangeufyata maana umetoa fact na hitimisho mujarab kabisa...

Forza Balantanda
 
Gaucho siyo kwamba kapenda kucheza hizo ligi zingine ,2007 ilikuwa ni downfall ya Gaucho lkn alivumiliwa na Barca sababu ya heshima yake tu lkn Gaucho bado hakuweza kubadika ,uzito ulikuwa unazidi kumuongezeka na mpira ndio basi tena ,ndio rais wa Barca alipotangaza kuwa wameamua kuachana na Gaucho amekuwa unprofessional japo walimvumilia sana

Ac Milan iliyokuwa imeshaanza kujifia na kuokota makombo wakamchukua Gaucho ,pia Gaucho hakukaa Milan sana sabb ya unene wake na mpira kushuka ndipo akaenda zake Brazil,mexico kisha marekani

Iniesta ambaye hv ss ana miaka 33 bado anaupiga mpira mwingi, kazi anayoifanya vijana kama kroos,modric wanaisoma namba hebu tizama kwa umri wake anavyocontrol kiungo,anavyopoteza wapinzani iniesta yupo ligi moja ulitaka aende wapi wkt yupo kwenye timu bora ,iniesta atasepa pindi mpira ukimwisha

Kuhusu Ballon dor huyo Gaucho ktk kipindi hichi cha messi na ronaldo asingeambulia hata ballon dor 1 ,hv ss priority ya ballon dor ni washambuliaji na siyo viungo ,messi na cr7 wanafunga 50+ kwa msimu jambo ambalo hata gaucho hawezi na competition na hawa watu asingeweza.Akina capello ,del bosque wameshasema dhambi kubwa ktk soka ni iniesta kustaafu bila ya ballon dor

Ballon dor ni kwaajl ya washambuliaji tu tofautisha na miaka ya nyuma ,2010 ilibidi achukue yy,

Halafu ballon dor cyo kipimo ndio maana FIFA wamejitoa hv ss ktk tuzo hzo

Iniesta ana kipara saizi lkn ladha yke bado tunaiona

Msidanganyike na mikanzu ya gaucho

sijui umekula maharage ya wapi wewe?
ila nahisi ni Yai la kuchemsha kisha umeshushia mtindi.

kwanza kabisa nikujulishe tu, Dinho Magic alibeba tuzo ya Mwanasoka bora wa Dunia pindi ambapo Dunia ina wachezaji kwelikweli. timu zilikuwa nondo na wachezaji walikuwa nondo haswa. makipa walikuwepo, mabeki walikuwapo, viungo ndio balaa, washambuliaji ndio usiseme...

Totti, Del Piero, Raul, Figo, Eto'o, Rivaldo, De Lima, Beckham, Owen, Mendieta, Valeron, Riquelme, Efenberg, Gerald na wengine wengi aliwabwaga. Saint Gaucho aliweza kupiga chenga za maudhi na kuwadhalilisha mabeki visiki waliokuwa kwenye soka miaka hio, na sio hawa mabeki wenu wa siku hizi kila wakiruka kichwa wakitua chini basi kitu cha kwanza ni kujitoa doksi.

Dinho Magic amesambaratisha viungo imara vya timu tofauti hapa ulimwenguni. Dinho ameshatoa assist za ajabu na hazijatokea mpaka leo. Mfano ni ile pasi aliomtengenezea Nesi na kisha Nesi kukiri kuwa hata angefumba macho basi mpira ule aliopewa na mjanja wake basi ilikuwa afunge tu na kuweka kumbukumbu yake ya goli la kwanza kuifungia Barca alipewa pasi na Mtume na Nabii wa Mwisho wa Soka.

na unapojishushia heshima ni pale unaposema eti Mtakatifu Gaucho angekuwepo kwenye kipindi hiki cha Ronaldo na NESI basi asingefanya lolote...

nikukumbushe tu matukio muhimu. Dinho Magic aliwahi kuja Sansiro na kuikuta Milan dume dume kweli, lakini alichotufanya ilibidi Berlusconi amtume Uncle Fester aangalie uwezekano wa Nabii huyo kuja kuvaa uzi wa Rosoneri.

Nesi wako unaemsifia wewe hajawahi kufunga goli la move Nesta akiwa anamkaba. Nesi mara zote alizokabwa na Nesta amefunga magoli ya penati tu.

huyo Ronaldo alishakuja Sansiro enzi za mbavu Cafu mbavu Maldini na alijambajamba matokeo yake mwishoni akataka eti kumpiga Cafu...

siku nyingine alikuja Sansiro kisha akakutana na Brigadia jenerali mstahafu Ivan Rhino Genaro Gatuso na cha moto alikiona.

so usijidhalilishe kwa kulinganisha kipindi cha Gaucho na kipindi hiki cha kwako wewe na wanyoa viduku wenzio.

jifunze kupitia kwa sisi tuliokuzidi kijana.
unapobishana na Belo na Balantanda ukae ukijuwa utalemaa hapohapo na hutokuja kujuwa.
 
A few days before the Clasico against Real Madrid, 'Dinho' called me at home at night,' Iniesta writes.

'I answered and he told me: ''Andres, I know it's 3am, but I have to confess something. In June I will be leaving Barca. My brother has an agreement with Real Madrid. It's an incredible amount that I can't refuse. You're young, you can understand... But please do not tell anyone in the locker room or the club, do not betray me, I trust you more than anyone. Andres good night.''
He didn't give me time to say anything. The next day, we were in training camp and I felt an awkward atmosphere around me.

'The whole team was silent and they were all greeting Ronaldinho like never [before].

'When the day of the Clasico came [November 19, 2005], in the locker rooms of Santiago Bernabeu 'Dinho' told us: ''Guys, today is a very important game, they are strong, but these days I discovered that we were like a family. I called each of you during the night and I told you that I was leaving in June, but none of you spoke.

'After that, I realised that we were ready to suffer in silence rather than betray each other. I'll stay here for a long time... Now let's go into the field and give a lesson to these players of Real Madrid!''

The subsequent result of Ronaldinho's mind games was a memorable 3-0 victory with the Brazilian scoring twice and being given a rare standing ovation by the Real Madrid fans.

Barcelona went on to win La Liga, beating Real Madrid by eight points, and the Champions League that season.

ungewatafsiria kwa Kiswahili wangeelewa na wasingerudi kwenye uzi huu.
ila kwa kuwa uliacha Lugha hio ndio maana unaona blabla zimeendelea
 
Mdanganye chomba, sisi tunaoijua barca huwezi ku2danganya. rais wa Barca sio ******** mpaka kufikia kutangaza kuwa wameamua kuachana na Gaucho amekuwa unprofessional japo walimvumilia sana.

Zinedine mpaka anastaafu bado anatesa,sasa hayo maneno ya kusema et duniani kote hakuna mchezaj anaeng'ara mpaka anastaafu huo ni uongo.
Iniesta ndo bora zaidi kwani kakomaa kwenye game kwa uwezo wake uleule mpka sasa Gucho alikuwa wa mwendokasi alivuma kwa kipindi kidogo mno ka big G vile,Iniesta kafanya wonders kwenye club na timu ya taifu.

kwa kilichomo kwenye vichwa vyenu nina uhakika baada ya miezi minne kuanzia sasa mtakuja na thread hapa Samatta ni zaidi ya Gaucho...

na kuna konokono watajitokeza kuwasapoti...so nawatakia juhudi na mafanikio mema kwenye hekaheka zenu hizi.
 
Back
Top Bottom