Iniesta na gaucho, Nani zaidi?

Iniesta na gaucho, Nani zaidi?

Msidanganyike na mikanzu ya gaucho
Gaucho amefunga magoli mangapi akiwa Barca na ametoa assists ngapi?..

Iniesta amefunga magoli mangapi akiwa Barca na ametoa assists ngapi?...

FYI...Huyo unayesema anawahadaa watu kwa kanzu anamzidi Iniesta kwa idadi ya magoli na assists...

Na hata huko Milan unakosema alikuta ineanza kuchoka...Mwaka 2010 aliisaidia Milan kushinda ubingwa wa Serie A.

Mtu amechukua vikombe katika ligi 4 tofauti unamlinganisha na mtu aliyecheza ligi 1 maisha yake yote...Angalia Maradona...Pele...Zidane..Raul..Figo..Beckham..Weah..The Phenomenon Ronaldo..Cristiano Ronaldo..Thiery Henry..Eto'o...Fabio Cannavaro m.k...Hawa wamecheza ligi tofauti na wamedhihirisha ubora wao sehemu zote walizocheza..
 
Kucheza ligi nyingi ni downfall ya Gaucho?....Smh!..

Naona unaongea bila hata aibu...Mchezaji kucheza timu nyingi si kwamba ni downfall...Kabla hajafika Barcelona tayari alikuwa amecheza Brazil na Ufaransa..

Gaucho asingeweza kuchezea Barca maisha yake yote...Ni kama ilivo kwa Phenomenon....Ronaldo...Kacheza ruzeiro..PSV..Barca...Inter Milan..Real Madrid..AC Milan na Corinthians...Na kote kiwango chake kilikuwa juu...Alikuwa anabadili mazingira tu na kote alikuwa anang'ara...Gaucho ameondoka Barca akiwa na miaka 28 baada ya kucheza miaka zaidi ya mitano na kupata makombe 2 ya La Liga...Super Cup 2 za Spain..UCL 1..Na kuingia fainali ya FIFA club World cup...Bado unasema Barca walimvumilia...Smh...

Na duniani kote hakuna mchezaji anayeng'ara mpaka anastaafu...Labda awe amestaafu kwa sababu ya majeraha kama ilivyokuwa kwa Marc Van Basten...

Unakuwa kipofu mpaka unadanganya..Lothar Matthaus alivochukua mwaka 1991 alikuwa mshambuliaji?..Zinedine Zidane alivochukua mwaka 2003 alikuwa mshambuliaji?.Fabio Cannavaro alivochukua uchezaji bora wa Dunia mwaka 2006 alikuwa mshambuliaji?..Kaka mwaka 2007 alikuwa mshambuliaji?..

Halafu, Ronaldinho alichukua FIFA World player of the year awards...Sio hizi Ballon d'Or za akina Messi na Ronaldo...

Hata hiyo 2010 unayosema alistahili haikua FIFA World Player of the year award...Ilikuwa ni Ballon d'Or (zilianza kutolewa mwaka huo wa 2010...Tuzo za mchezajo bora alizopata Gaucho mwaka 2004 na 2005 hazijawahi kulalamikiwa...

Acha maneno mengi...Weka facts japo kwa ufupi ni kwa nini Iniesta ni zaidi ya Gaucho...Acha maneno.

NB.
Gaucho amechukua FIFA World player of the year Awards mara zote 2 akiwa anachezea Barcelona.

Mwaka 2004 alishindanishwa na Thiery Henry na Andriy Shevchenko..

Mwaka 2005 alishindanishwa na Frank Lampard na Samuel Eto'o.

Na msimu wake wa mwaka 2006/2007 aliichezea Barca mechi 49..Alifunga magoli 24 na kutoa assists 14.

Msimu wake wa mwisho Barca ambao ni mwaka 2007/2008 aliichezea Barca mechi 26...Alifunga magoli 9 na kutoa assists 4...

Pia akiwa AC Milan (alikohamia akitokea Barca) alicheza mechi 95..Alifunga magoli 26 na kutoa assists 31...Na alichangia kuipatia Milan ubingwa wa Serie A mwaka 2010...Aliondoka Milan akiwa na miaka 31

Mdanganye chomba, sisi tunaoijua barca huwezi ku2danganya. rais wa Barca sio mpumbavu mpaka kufikia kutangaza kuwa wameamua kuachana na Gaucho amekuwa unprofessional japo walimvumilia sana.

Zinedine mpaka anastaafu bado anatesa,sasa hayo maneno ya kusema et duniani kote hakuna mchezaj anaeng'ara mpaka anastaafu huo ni uongo.
 
Gaucho mchezaji pekee kuwahi kuwa man of the match akiwa bench. Gaucho ni best player ever
 
Dunian hajawah tokea mtu bora kwenye mpira kama Gaucho
 
Iniesta ndo bora zaidi kwani kakomaa kwenye game kwa uwezo wake uleule mpka sasa Gucho alikuwa wa mwendokasi alivuma kwa kipindi kidogo mno ka big G vile,Iniesta kafanya wonders kwenye club na timu ya taifu.
 
Gaucho amefunga magoli mangapi akiwa Barca na ametoa assists ngapi?..

Iniesta amefunga magoli mangapi akiwa Barca na ametoa assists ngapi?...

FYI...Huyo unayesema anawahadaa watu kwa kanzu anamzidi Iniesta kwa idadi ya magoli na assists...

Na hata huko Milan unakosema alikuta ineanza kuchoka...Mwaka 2010 aliisaidia Milan kushinda ubingwa wa Serie A.

Mtu amechukua vikombe katika ligi 4 tofauti unamlinganisha na mtu aliyecheza ligi 1 maisha yake yote...Angalia Maradona...Pele...Zidane..Raul..Figo..Beckham..Weah..The Phenomenon Ronaldo..Cristiano Ronaldo..Thiery Henry..Eto'o...Fabio Cannavaro m.k...Hawa wamecheza ligi tofauti na wamedhihirisha ubora wao sehemu zote walizocheza..
Kwanza tambua kwenye 4-3-3 Gaucho amekuwa akicheza mshambuliaji wa kushoto nafasi ya anayocheza neymar saizi kwahy muda wote yupo free lkn Andres iniesta yupo central iniesta,busi,raki kwahy majukumu yke yofautisha na ya gaucho ,anachezesha timu ,miliki dimba nk

Halafu kama hujui miaka yote mido za Barca hawana idadi nzr ya magoli mfno deco miaka yote aliyokaa Barca kafunga magoli 13,xavi pia hana idadi nzr ya magoli na iniesta pia

Siyo hvyo tu nenda Madrid modric sidhani kama hata magoli 10 kafikisha kroos mechi 74 ana magoli 4 wkt alivyokuwa Bayern alikuwa anafunga 15 kwa msimu

Turudi kwenye point hawa central mids wa Barca na real unavyowaona wana kazi kubwa kuchezesha timu na kuifanya timu itawale mchezo kwa asilimia kubwa ndio maana unaona msn,BBC wanafunga sana wapo free...iniesta ahukumiwi kwa magoli kwa role yke

Gaucho hakuwa central mid Bali mshambuliaji so kwa magoli anamzidi iniesta

Kuhusu makombe iniesta ana makombe mengiiii sana ,na iniesta acheze timu nyingi ili iweje wkt yupo kwenye klabu bora kabisa

Mfano cr7 aliondoka man u na kwenda real ,timu bora kabisa na real kamwe huwezi kumtoa kivyovyote mpk atakapoisha kisoka,unapokuwa sehemu bora Barca, Madrid eti uondoke??aende wapi .

Wachezaji wote malengo yao wacheze Barca,real halafu Leo hii eti mchezaji aondoke hv vilabu na kwenda kwingineko kwa unavyodhani Bale angekuwa toka mwanzo Madrid angetaka ahame aende spurs au cr7 angeanzia Madrid unagikiri angewaza kwenda man u?

Andres ni play maker na play makers miaka yote hawana stats nzr za magoli mtizame pirlo,modric,xavi,na kroos wa sasa
 
Acha kumfananisha gaucho na vitu vya kipumbavu
 
Na alipoondoka akaenda Ac Milan alifanya nn cha maana? Toka aondoke Barcelona kajifia uko

Iniesta yuko level ya Xavi, Pirlo, Bastian, Gerrard, Scholes,Kaka.Gaucho alikuwa level ya juu zaidi
 
Kwanza tambua kwenye 4-3-3 Gaucho amekuwa akicheza mshambuliaji wa kushoto nafasi ya anayocheza neymar saizi kwahy muda wote yupo free lkn Andres iniesta yupo central iniesta,busi,raki kwahy majukumu yke yofautisha na ya gaucho ,anachezesha timu ,miliki dimba nk

Halafu kama hujui miaka yote mido za Barca hawana idadi nzr ya magoli mfno deco miaka yote aliyokaa Barca kafunga magoli 13,xavi pia hana idadi nzr ya magoli na iniesta pia

Siyo hvyo tu nenda Madrid modric sidhani kama hata magoli 10 kafikisha kroos mechi 74 ana magoli 4 wkt alivyokuwa Bayern alikuwa anafunga 15 kwa msimu

Turudi kwenye point hawa central mids wa Barca na real unavyowaona wana kazi kubwa kuchezesha timu na kuifanya timu itawale mchezo kwa asilimia kubwa ndio maana unaona msn,BBC wanafunga sana wapo free...iniesta ahukumiwi kwa magoli kwa role yke

Gaucho hakuwa central mid Bali mshambuliaji so kwa magoli anamzidi iniesta

Kuhusu makombe iniesta ana makombe mengiiii sana ,na iniesta acheze timu nyingi ili iweje wkt yupo kwenye klabu bora kabisa

Mfano cr7 aliondoka man u na kwenda real ,timu bora kabisa na real kamwe huwezi kumtoa kivyovyote mpk atakapoisha kisoka,unapokuwa sehemu bora Barca, Madrid eti uondoke??aende wapi .

Wachezaji wote malengo yao wacheze Barca,real halafu Leo hii eti mchezaji aondoke hv vilabu na kwenda kwingineko kwa unavyodhani Bale angekuwa toka mwanzo Madrid angetaka ahame aende spurs au cr7 angeanzia Madrid unagikiri angewaza kwenda man u?

Andres ni play maker na play makers miaka yote hawana stats nzr za magoli mtizame pirlo,modric,xavi,na kroos wa sasa

Hao wote uliowataja hakuna aliyefikia level ya Gaucho ,Hata ukimuuliza Iniesta mwenyewe kuhusu Gaucho atapingana na wewe
 
Mdanganye chomba, sisi tunaoijua barca huwezi ku2danganya. rais wa Barca sio ******** mpaka kufikia kutangaza kuwa wameamua kuachana na Gaucho amekuwa unprofessional japo walimvumilia sana.

Zinedine mpaka anastaafu bado anatesa,sasa hayo maneno ya kusema et duniani kote hakuna mchezaj anaeng'ara mpaka anastaafu huo ni uongo.
Umeandika nini hapa sasa...

Kwa hiyo leo Messi akiondoka Barca then Rais aseme wamemuacha kwa sababu kiwango chake kimeshuka utamuamini?..

Rais wa timu na performance ya mchezaji wapi na wapi...Angeyaongea hayo maneno kocha Frank Rikaard sawa...Lakini Rais wa timu!!...Hapana...

Gaucho mwenyewe alivohojiwa kwa nini alihama Barca kwenda AC Milan alisema ameamua kufuata nyayo za kocha wake Frank Rijkaard...

Elewa kwamba Gaucho ameondoka Barca mwaka 2008..Na aliondoka baada ya kocha Frank Rijkaard aliyeingia nae Barcelona mwaka 2003 kuondoka kwenda Garatasaray...Ujio wa Guardiola Catalan ndio ulimuondoa Gaucho...Hakuna kingine...

Pia elewa kwamba Gaucho Hakustaafu soka baada ya kuondoka Barca...Emeondoka Barca mwaka 2008 na akaendelea kucheza soka la ushindani na aliendelea kuitwa timu ya Taifa ya Brazil hadi mwaka 2013...

Alienda Milan akachukua Serie A mwaka 2010...Kaenda Flamengo kachukua campeanato Carioca mwaka 2011...Kaenda Atletico Mineiro kachukua Copa Libertadores mwaka 2013..

Huyo Zidane kastaafia Madrid mwaka 2006 akiwa na miaka 34 ulitegemea pamoja na kiwango chake angeenda timu kubwa angeng'ara kweli mpaka anastaafu?...Hata huyo Iniesta atastaafia Barca na usitegemee 'pace' yake ya sasa ni sawa na ya miaka mitano iliyopita...Alikuwepo Xavi Hernandez...Luis Figo..Hawa wote kasi yao ilipungua kadri umri ulivoenda...Hata pace ya Zizou ya mwaka 2006 sio sawa na ile ya mwaka 2002 wakati anafunga goli la karne pale Hampden park Scotland...
 
Hao wote uliowataja hakuna aliyefikia level ya Gaucho ,Hata ukimuuliza Iniesta mwenyewe kuhusu Gaucho atapingana na wewe
Vijana wanaongelea ushabiki maandazi...Fikiria mtu anadiriki kumnukuu Rais wa Barcelona kuwa walimuacha Gaucho kwa sababu kiwango kimeshuka...Of all the people Rais wa timu!..

Wanasahau kwamba Gaucho aliletwa na Rijkaard mwaka 2003...Alivoondoka Ricjkaard mwaka 2008 naye akaamua kuondoka..Na alipohojiwa sababu ya kuondoka alisema anafuata nyayo za kocha wake kipenzi Rijkaard ambaye aliondoka Real Zaragoza mwaka 1988 (akichezea kwa mkopo kutoka Sporting Lisbon) kwenda AC Milan.
 
Vijana wanaongelewa ushabiki maandazi...Fikiria mtu anadiriki kumnukuu Rais wa Barcelona kuwa walimuacha Gaucho kwa sababu kiwango kimeshuka...Of all the people Rais wa timu!..

Wanasahau kwamba Gaucho aliletwa na Rijkaard mwaka 2003...Alivoondoka Ricjkaard mwaka 2008 naye akaamua kuondoka..Na alipohojiwa sababu ya kuondoka alisema anafuata nyayo za kocha wake kipenzi Rijkaard ambaye aliondoka Real Zaragoza mwaka 1988 (akichezea kwa mkopo kutoka Sporting Lisbon) kwenda AC Milan.

Na hawajui kabla ya ujio wa kina Ronaldinho,Edmilson,Deco,Etoo Barca ilikuwa kwenye kiwango kibovu.Hata Xavi alikuwa mchezaji wa kawaida
 
Na alipoondoka akaenda Ac Milan alifanya nn cha maana? Toka aondoke Barcelona kajifia uko
Mwaka 2010 alichukua Serie A akiwa na Milan (alifunga magoli 15 na assists 19 kwa msimu waliopata ubingwa).

Mwaka 2011 alichukua Campeonato Carioca akiwa na Flamengo.

Mwaka 2013 alichukua Copa Libertadores na vikombe vingine viwili akiwa na Atletico Mineiro...

Pia tangu aondoke Barca amefunga magoli zaidi ya 90 ya mechi za ushindani na kutoa assists 77.
 
Umeandika nini hapa sasa...

Kwa hiyo leo Messi akiondoka Barca then Rais aseme wamemuacha kwa sababu kiwango chake kimeshuka utamuamini?..

Rais wa timu na performance ya mchezaji wapi na wapi...Angeyaongea hayo maneno kocha Frank Rikaard sawa...Lakini Rais wa timu!!...Hapana...

Gaucho mwenyewe alivohojiwa kwa nini alihama Barca kwenda AC Milan alisema ameamua kufuata nyayo za kocha wake Frank Rijkaard...

Elewa kwamba Gaucho ameondoka Barca mwaka 2008..Na aliondoka baada ya kocha Frank Rijkaard aliyeingia nae Barcelona mwaka 2003 kuondoka kwenda Garatasaray...Ujio wa Guardiola Catalan ndio ulimuondoa Gaucho...Hakuna kingine...

Pia elewa kwamba Gaucho Hakustaafu soka baada ya kuondoka Barca...Emeondoka Barca mwaka 2008 na akaendelea kucheza soka la ushindani na aliendelea kuitwa timu ya Taifa ya Brazil hadi mwaka 2013...

Alienda Milan akachukua Serie A mwaka 2010...Kaenda Flamengo kachukua campeanato Carioca mwaka 2011...Kaenda Atletico Mineiro kachukua Copa Libertadores mwaka 2013..

Huyo Zidane kastaafia Madrid mwaka 2006 akiwa na miaka 34 ulitegemea pamoja na kiwango chake angeenda timu kubwa angeng'ara kweli mpaka anastaafu?...Hata huyo Iniesta atastaafia Barca na usitegemee 'pace' yake ya sasa ni sawa na ya miaka mitano iliyopita...Alikuwepo Xavi Hernandez...Luis Figo..Hawa wote kasi yao ilipungua kadri umri ulivoenda...Hata pace ya Zizou ya mwaka 2006 sio sawa na ile ya mwaka 2002 wakati anafunga goli la karne pale Hampden park Scotland...
Mjomba Gaucho hajaondoka sababu hiyo na hata kipindi cha rijkaard alikuwa anakaa mkeka ,gaucho kasepa barca sabb ya kiwango na siyo vinginevyo na hata bila ya rais ,kwanza guardiola asingemhitaji ,zizzou kastaafu mapema kutunza heshima yake ,iniesta hata asipostaafia Barca point hapa Gaucho alidrop kiwango mapema sana
 
Vijana wanaongelea ushabiki maandazi...Fikiria mtu anadiriki kumnukuu Rais wa Barcelona kuwa walimuacha Gaucho kwa sababu kiwango kimeshuka...Of all the people Rais wa timu!..

Wanasahau kwamba Gaucho aliletwa na Rijkaard mwaka 2003...Alivoondoka Ricjkaard mwaka 2008 naye akaamua kuondoka..Na alipohojiwa sababu ya kuondoka alisema anafuata nyayo za kocha wake kipenzi Rijkaard ambaye aliondoka Real Zaragoza mwaka 1988 (akichezea kwa mkopo kutoka Sporting Lisbon) kwenda AC Milan.
Gaucho hakuletwa na rijkaard ,laporta na rosell ndio waliomleta ,walikuwa kwenye kipindi cha uchaguzi na kwenye Sera zake aliahidi atamleta gaucho wkt huo katoka kungaa world cup mpk wakaenda kumshawishi asiende man u ni kama vile issue ya Perez na James ,ancelotti hakumleta Bali Perez upenzi wake alimleta,gaucho kasepa sabb ya kiwango na ubonge
 
Back
Top Bottom