Iniesta na gaucho, Nani zaidi?

Iniesta na gaucho, Nani zaidi?

😀😀Nyie mtaumiza kichwa bure tu...gaucho sio level ya Iniesta,Requelme na wala Zidane...tena kwa zizzou ndio kabisaaa that's the truth! ili tuamini Gaucho ni mkali kumzidi Zizzou kwanza awapiku hawa Iniesta na Requelme "hawa wawili" after that ndio mjadala uwanze kati ya Zizzou na Gaucho nani mkali kati yao,....vinginevyo tunapotezeana muda tu,wengine tunakazi za kufanya na sio kushindia jamiiforums all time....
 
😀😀Nyie mtaumiza kichwa bure tu...gaucho sio level ya Iniesta,Requelme na wala Zidane...tena kwa zizzou ndio kabisaaa that's the truth! ili tuamini Gaucho ni mkali kumzidi Zizzou kwanza awapiku hawa Iniesta na Requelme "hawa wawili" after that ndio mjadala uwanze kati ya Zizzou na Gaucho nani mkali kati yao,....vinginevyo tunapotezeana muda tu,wengine tunakazi za kufanya na sio kushindia jamiiforums all time....

Iniesta yuko level ya kina Pirlo,Xavi, Scholes, Kaka,Ozil,Bastian Gaucho yuko level ya juu zaidi ndio maana anashindanishwa na kina Zidane,Messi
 
Dinho ndo habari..unapomlinganixha na Iniesta unakosea...labda umlinganixhe na kina messi...


😀😀eti King Messi...unaambiwa King Messi hafananishwi na mchezaji yeyote yule awe wa zamani na wa sasa...kabla King hajaingia ndani ya Blaugrana or Barcelonistas, Maradona ndiye aliendelea kuwa baba wa soka ulimwenguni kuwahi kutokea, ikapita miaka mingi hakutokea mrithi wake na dunia haikuamini kama itakuja tokea mchezaji wa kumrithi "Diego Armando Maradona aka Golden Boy" ndipo wakashangaa mtoto wa kiargentina from Rosario Central the King Leonel Messi "Atomic Flea" namba 10 isiyo na Mashaka yeyote, akisakata kandanda la ukweli haswaaa hadi wapinzani duniani kote walimkubali"ahaa exactly huyu ndie mrithi wa Maradona" na ndie baba wa soka from now....

Ndio Maana nawaambia msiumize vichwa vyenu,ili Gaucho awe bora..kwanza awe nakazi ya ziada kwa Iniesta na Requelme,aftr dat mjadala uwanze kati ya Zizzou na Gaucho nani zaidi? Tatizo tumezungukwa na watoto humu jf walioanza kucheck ball 2011, hivyo sitowalaumu😀😀😀
 
Mda mwengine hua wanakuchokoza tu ili uje lakini kiukweli iniesta hana hadhi ya kulinganishwa saint

Hapo hakuna cha kuchokozwa wala nini, na si yeye tu anaemjua Gaucho..tunamfahamu zaidi yake yeye, mimi ni Barca fan kwanzia Maradona alipokuwepo na sidanganyiki na ninawajua wachezaji wote waliopitia pale Blaugrana, kwanini nisiwe upande wake ilihali mimi ni BARCA fan? hapa lazima tuseme ukweli, Gaucho ili awe bora..awe nakazi ya ziada kwa wawili hawa..Iniesta na Requelme...baada ya hapo mjadala uanze baina ya Zizzou na Gaucho...haya mambo ya JECHA tuweke kando hayana maana....
 
Iniesta yuko level ya kina Pirlo,Xavi, Scholes, Kaka,Ozil,Bastian Gaucho yuko level ya juu zaidi ndio maana anashindanishwa na kina Zidane,Messi

Respect for you mkuu belo... iweje useme gaucho ni level ya akina messi ilhali hadhi hiyo hana? Kiukweli huyo Zizzou bado hajafikia hata nusu tu ya Messi? Alaf unamleta Gaucho tena, isitoshe level moja na Messi na hata Zizzou? Serious mkuu?
 

Respect for you mkuu belo... iweje useme gaucho ni level ya akina messi ilhali hadhi hiyo hana? Kiukweli huyo Zizzou bado hajafikia hata nusu tu ya Messi? Alaf unamleta Gaucho tena, isitoshe level moja na Messi na hata Zizzou? Serious mkuu?

Topic inasema Iniesta Vs Ronaldinho,nashangaa kwanza Messi ameingiaje kwenye huu mjadala.Kama kwako Iniesta ni bora kuliko Ronaldinho ni mtazamo wako sikulazimishi
 
Topic inasema Iniesta Vs Ronaldinho,nashangaa kwanza Messi ameingiaje kwenye huu mjadala.Kama kwako Iniesta ni bora kuliko Ronaldinho ni mtazamo wako sikulazimishi

Mkuu naheshimu sana mawazo yako,na upo sahihi vile vile kutoigeuza mada na badala yake kuwaongelea wawili hawa....lkn baada ya kuona wenzio wameanza kuwataja Messi,Zidane nk, nikaona niwatolee mifano kwa players wengine ili angalau na yeye apate kulinganishwa na Zidane...pia hata mimi silazimishi mtu yeyote aamini asichokikubali, 4me ukweli utabakia pale pale...Iniesta ni zaidi ya Gaucho.
 
acha mambo ya ajabu wewe Iniesta bado anavyaa nepi kwa Gaucho
 
Waambie hawa Mkuu Gaucho habari nyingine kabisa na nakuunga mkono hata Messi haoni ndani kwa Gaucho.


Wanaomkubali Iniesta wajibu kwa kuleta video Kali zaidi ya hii.

Gaucho habari nyingine. Kipaji kimepitiliza vipimo vya ubora.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hakuna mahali popote pale ambapo Iniesta amewahi kufanya breath taking moves kama za Gaucho anapokuwa uwanjani. HAKUNA!!

Wanaomkubali Iniesta wajibu kwa kuleta video Kali zaidi ya hii.

Gaucho habari nyingine. Kipaji kimepitiliza vipimo vya ubora.
 
Iniesta ana 33 bado yupo kwenye peak anaburudisha ,gaucho 28 kashajifia

Halafu mpe heshima yke don andres
Acha utoto....

Facts:-
1. Ronaldo de Assis Moreira maarufu kama Ronaldinho Gaucho alizaliwa tarehe 21/03/1980...Hivyo ana miaka 36 sasa..Na Andres Iniesta Lujan amezaliwa tarehe 11/05/1982 ana miaka 32.

2. Gaucho amechezea timu zifuatazo na magoli aliyofunga yapo kwenye mabano: Gremio (21), PSG (17), Barcelona (70), AC Milan (20), Flamengo (15), Atletico Mineiro (17), Queretaro (8), Fluminense (0)...Na Iniesta yeye soka la ushindani ameichezea Barcelona tu na amefunga magoli 34 tu.

3. Gaucho amecheza ligi 5 kubwa duniani katika nchi za Brazil, Ufaransa, Hispania, Italia na Mexico ilhali Iniesta amecheza ligi moja tu ya La liga.

4. Gaucho ameifungia magoli 33 katika mechi 97 alizoichezea timu ya Taifa ya Brazil ilhali Iniesta ameifungia magoli 12 katika mechi 113 alizoichezea timu ya Taifa ya Hispania.

5. Gaucho amekuwa mchezaji bora wa Dunia mara 2...Iniesta hajawahi kuwa Mchezaji bora wa Dunia.

6. Gaucho amecheza kama attacking midfielder na forward...Iniesta anacheza kama natural midfielder..

7. Gaucho ana Bronze medal ya Olympic...Iniesta hana.

8. Gaucho ameichezea Barcelona mechi 145 na kufunga magoli 70...Iniesta ameichezea Barcelona mechi 390 na kufunga magoli 34.


Mwisho: Acha kumlinganisha Gaucho na vitu vya kipumbavu.
 
Wanaomkubali Iniesta wajibu kwa kuleta video Kali zaidi ya hii.

Gaucho habari nyingine. Kipaji kimepitiliza vipimo vya ubora.
Wanaloloma tu, walete hizo za iniesta zote kama kuna hata moja inayolingana na hiyo
 
Acha utoto....

Facts:-
1. Ronaldo de Assis Moreira maarufu kama Ronaldinho Gaucho alizaliwa tarehe 21/03/1980...Hivyo ana miaka 36 sasa..Na Andres Iniesta Lujan amezaliwa tarehe 11/05/1982 ana miaka 32.

2. Gaucho amechezea timu zifuatazo na magoli aliyofunga yapo kwenye mabano: Gremio (21), PSG (17), Barcelona (70), AC Milan (20), Flamengo (15), Atletico Mineiro (17), Queretaro (8), Fluminense (0)...Na Iniesta yeye soka la ushindani ameichezea Barcelona tu na amefunga magoli 34 tu.

3. Gaucho amecheza ligi 5 kubwa duniani katika nchi za Brazil, Ufaransa, Hispania, Italia na Mexico ilhali Iniesta amecheza ligi moja tu ya La liga.

4. Gaucho ameifungia magoli 33 katika mechi 97 alizoichezea timu ya Taifa ya Brazil ilhali Iniesta ameifungia magoli 12 katika mechi 113 alizoichezea timu ya Taifa ya Hispania.

5. Gaucho amekuwa mchezaji bora wa Dunia mara 2...Iniesta hajawahi kuwa Mchezaji bora wa Dunia.

6. Gaucho amecheza kama attacking midfielder na forward...Iniesta anacheza kama natural midfielder..

7. Gaucho ana Bronze medal ya Olympic...Iniesta hana.

8. Gaucho ameichezea Barcelona mechi 145 na kufunga magoli 70...Iniesta ameichezea Barcelona mechi 390 na kufunga magoli 34.


Mwisho: Acha kumlinganisha Gaucho na vitu vya kipumbavu.
Gaucho siyo kwamba kapenda kucheza hizo ligi zingine ,2007 ilikuwa ni downfall ya Gaucho lkn alivumiliwa na Barca sababu ya heshima yake tu lkn Gaucho bado hakuweza kubadika ,uzito ulikuwa unazidi kumuongezeka na mpira ndio basi tena ,ndio rais wa Barca alipotangaza kuwa wameamua kuachana na Gaucho amekuwa unprofessional japo walimvumilia sana

Ac Milan iliyokuwa imeshaanza kujifia na kuokota makombo wakamchukua Gaucho ,pia Gaucho hakukaa Milan sana sabb ya unene wake na mpira kushuka ndipo akaenda zake Brazil,mexico kisha marekani

Iniesta ambaye hv ss ana miaka 33 bado anaupiga mpira mwingi, kazi anayoifanya vijana kama kroos,modric wanaisoma namba hebu tizama kwa umri wake anavyocontrol kiungo,anavyopoteza wapinzani iniesta yupo ligi moja ulitaka aende wapi wkt yupo kwenye timu bora ,iniesta atasepa pindi mpira ukimwisha

Kuhusu Ballon dor huyo Gaucho ktk kipindi hichi cha messi na ronaldo asingeambulia hata ballon dor 1 ,hv ss priority ya ballon dor ni washambuliaji na siyo viungo ,messi na cr7 wanafunga 50+ kwa msimu jambo ambalo hata gaucho hawezi na competition na hawa watu asingeweza.Akina capello ,del bosque wameshasema dhambi kubwa ktk soka ni iniesta kustaafu bila ya ballon dor

Ballon dor ni kwaajl ya washambuliaji tu tofautisha na miaka ya nyuma ,2010 ilibidi achukue yy,

Halafu ballon dor cyo kipimo ndio maana FIFA wamejitoa hv ss ktk tuzo hzo

Iniesta ana kipara saizi lkn ladha yke bado tunaiona

Msidanganyike na mikanzu ya gaucho
 
Gaucho siyo kwamba kapenda kucheza hizo ligi zingine ,2007 ilikuwa ni downfall ya Gaucho lkn alivumiliwa na Barca sababu ya heshima yake tu lkn Gaucho bado hakuweza kubadika ,uzito ulikuwa unazidi kumuongezeka na mpira ndio basi tena ,ndio rais wa Barca alipotangaza kuwa wameamua kuachana na Gaucho amekuwa unprofessional japo walimvumilia sana

Ac Milan iliyokuwa imeshaanza kujifia na kuokota makombo wakamchukua Gaucho ,pia Gaucho hakukaa Milan sana sabb ya unene wake na mpira kushuka ndipo akaenda zake Brazil,mexico kisha marekani

Iniesta ambaye hv ss ana miaka 33 bado anaupiga mpira mwingi, kazi anayoifanya vijana kama kroos,modric wanaisoma namba hebu tizama kwa umri wake anavyocontrol kiungo,anavyopoteza wapinzani iniesta yupo ligi moja ulitaka aende wapi wkt yupo kwenye timu bora ,iniesta atasepa pindi mpira ukimwisha

Kuhusu Ballon dor huyo Gaucho ktk kipindi hichi cha messi na ronaldo asingeambulia hata ballon dor 1 ,hv ss priority ya ballon dor ni washambuliaji na siyo viungo ,messi na cr7 wanafunga 50+ kwa msimu jambo ambalo hata gaucho hawezi na competition na hawa watu asingeweza.Akina capello ,del bosque wameshasema dhambi kubwa ktk soka ni iniesta kustaafu bila ya ballon dor

Ballon dor ni kwaajl ya washambuliaji tu tofautisha na miaka ya nyuma ,2010 ilibidi achukue yy,

Halafu ballon dor cyo kipimo ndio maana FIFA wamejitoa hv ss ktk tuzo hzo

Iniesta ana kipara saizi lkn ladha yke bado tunaiona

Msidanganyike na mikanzu ya gaucho
Kucheza ligi nyingi ni downfall ya Gaucho?....Smh!..

Naona unaongea bila hata aibu...Mchezaji kucheza timu nyingi si kwamba ni downfall...Kabla hajafika Barcelona tayari alikuwa amecheza Brazil na Ufaransa..

Gaucho asingeweza kuchezea Barca maisha yake yote...Ni kama ilivo kwa Phenomenon....Ronaldo...Kacheza ruzeiro..PSV..Barca...Inter Milan..Real Madrid..AC Milan na Corinthians...Na kote kiwango chake kilikuwa juu...Alikuwa anabadili mazingira tu na kote alikuwa anang'ara...Gaucho ameondoka Barca akiwa na miaka 28 baada ya kucheza miaka zaidi ya mitano na kupata makombe 2 ya La Liga...Super Cup 2 za Spain..UCL 1..Na kuingia fainali ya FIFA club World cup...Bado unasema Barca walimvumilia...Smh...

Na duniani kote hakuna mchezaji anayeng'ara mpaka anastaafu...Labda awe amestaafu kwa sababu ya majeraha kama ilivyokuwa kwa Marc Van Basten...

Unakuwa kipofu mpaka unadanganya..Lothar Matthaus alivochukua mwaka 1991 alikuwa mshambuliaji?..Zinedine Zidane alivochukua mwaka 2003 alikuwa mshambuliaji?.Fabio Cannavaro alivochukua uchezaji bora wa Dunia mwaka 2006 alikuwa mshambuliaji?..Kaka mwaka 2007 alikuwa mshambuliaji?..

Halafu, Ronaldinho alichukua FIFA World player of the year awards...Sio hizi Ballon d'Or za akina Messi na Ronaldo...

Hata hiyo 2010 unayosema alistahili haikua FIFA World Player of the year award...Ilikuwa ni Ballon d'Or (zilianza kutolewa mwaka huo wa 2010...Tuzo za mchezajo bora alizopata Gaucho mwaka 2004 na 2005 hazijawahi kulalamikiwa...

Acha maneno mengi...Weka facts japo kwa ufupi ni kwa nini Iniesta ni zaidi ya Gaucho...Acha maneno.

NB.
Gaucho amechukua FIFA World player of the year Awards mara zote 2 akiwa anachezea Barcelona.

Mwaka 2004 alishindanishwa na Thiery Henry na Andriy Shevchenko..

Mwaka 2005 alishindanishwa na Frank Lampard na Samuel Eto'o.

Na msimu wake wa mwaka 2006/2007 aliichezea Barca mechi 49..Alifunga magoli 24 na kutoa assists 14.

Msimu wake wa mwisho Barca ambao ni mwaka 2007/2008 aliichezea Barca mechi 26...Alifunga magoli 9 na kutoa assists 4...

Pia akiwa AC Milan (alikohamia akitokea Barca) alicheza mechi 95..Alifunga magoli 26 na kutoa assists 31...Na alichangia kuipatia Milan ubingwa wa Serie A mwaka 2010...Aliondoka Milan akiwa na miaka 31
 
Gaucho siyo kwamba kapenda kucheza hizo ligi zingine ,2007 ilikuwa ni downfall ya Gaucho lkn alivumiliwa na Barca sababu ya heshima yake tu lkn Gaucho bado hakuweza kubadika ,uzito ulikuwa unazidi kumuongezeka na mpira ndio basi tena ,ndio rais wa Barca alipotangaza kuwa wameamua kuachana na Gaucho amekuwa unprofessional japo walimvumilia sana

Ac Milan iliyokuwa imeshaanza kujifia na kuokota makombo wakamchukua Gaucho ,pia Gaucho hakukaa Milan sana sabb ya unene wake na mpira kushuka ndipo akaenda zake Brazil,mexico kisha marekani

Iniesta ambaye hv ss ana miaka 33 bado anaupiga mpira mwingi, kazi anayoifanya vijana kama kroos,modric wanaisoma namba hebu tizama kwa umri wake anavyocontrol kiungo,anavyopoteza wapinzani iniesta yupo ligi moja ulitaka aende wapi wkt yupo kwenye timu bora ,iniesta atasepa pindi mpira ukimwisha

Kuhusu Ballon dor huyo Gaucho ktk kipindi hichi cha messi na ronaldo asingeambulia hata ballon dor 1 ,hv ss priority ya ballon dor ni washambuliaji na siyo viungo ,messi na cr7 wanafunga 50+ kwa msimu jambo ambalo hata gaucho hawezi na competition na hawa watu asingeweza.Akina capello ,del bosque wameshasema dhambi kubwa ktk soka ni iniesta kustaafu bila ya ballon dor

Ballon dor ni kwaajl ya washambuliaji tu tofautisha na miaka ya nyuma ,2010 ilibidi achukue yy,

Halafu ballon dor cyo kipimo ndio maana FIFA wamejitoa hv ss ktk tuzo hzo

Iniesta ana kipara saizi lkn ladha yke bado tunaiona

Msidanganyike na mikanzu ya gaucho
Kaka Naomba Uitikie Salamu yangu hii, Shkamoo!
 
A few days before the Clasico against Real Madrid, 'Dinho' called me at home at night,' Iniesta writes.

'I answered and he told me: ''Andres, I know it's 3am, but I have to confess something. In June I will be leaving Barca. My brother has an agreement with Real Madrid. It's an incredible amount that I can't refuse. You're young, you can understand... But please do not tell anyone in the locker room or the club, do not betray me, I trust you more than anyone. Andres good night.''
He didn't give me time to say anything. The next day, we were in training camp and I felt an awkward atmosphere around me.

'The whole team was silent and they were all greeting Ronaldinho like never [before].

'When the day of the Clasico came [November 19, 2005], in the locker rooms of Santiago Bernabeu 'Dinho' told us: ''Guys, today is a very important game, they are strong, but these days I discovered that we were like a family. I called each of you during the night and I told you that I was leaving in June, but none of you spoke.

'After that, I realised that we were ready to suffer in silence rather than betray each other. I'll stay here for a long time... Now let's go into the field and give a lesson to these players of Real Madrid!''

The subsequent result of Ronaldinho's mind games was a memorable 3-0 victory with the Brazilian scoring twice and being given a rare standing ovation by the Real Madrid fans.

Barcelona went on to win La Liga, beating Real Madrid by eight points, and the Champions League that season.
 
Gaucho siyo kwamba kapenda kucheza hizo ligi zingine ,2007 ilikuwa ni downfall ya Gaucho lkn alivumiliwa na Barca sababu ya heshima yake tu lkn Gaucho bado hakuweza kubadika ,uzito ulikuwa unazidi kumuongezeka na mpira ndio basi tena ,ndio rais wa Barca alipotangaza kuwa wameamua kuachana na Gaucho amekuwa unprofessional japo walimvumilia sana

Ac Milan iliyokuwa imeshaanza kujifia na kuokota makombo wakamchukua Gaucho ,pia Gaucho hakukaa Milan sana sabb ya unene wake na mpira kushuka ndipo akaenda zake Brazil,mexico kisha marekani

Iniesta ambaye hv ss ana miaka 33 bado anaupiga mpira mwingi, kazi anayoifanya vijana kama kroos,modric wanaisoma namba hebu tizama kwa umri wake anavyocontrol kiungo,anavyopoteza wapinzani iniesta yupo ligi moja ulitaka aende wapi wkt yupo kwenye timu bora ,iniesta atasepa pindi mpira ukimwisha

Kuhusu Ballon dor huyo Gaucho ktk kipindi hichi cha messi na ronaldo asingeambulia hata ballon dor 1 ,hv ss priority ya ballon dor ni washambuliaji na siyo viungo ,messi na cr7 wanafunga 50+ kwa msimu jambo ambalo hata gaucho hawezi na competition na hawa watu asingeweza.Akina capello ,del bosque wameshasema dhambi kubwa ktk soka ni iniesta kustaafu bila ya ballon dor

Ballon dor ni kwaajl ya washambuliaji tu tofautisha na miaka ya nyuma ,2010 ilibidi achukue yy,

Halafu ballon dor cyo kipimo ndio maana FIFA wamejitoa hv ss ktk tuzo hzo

Iniesta ana kipara saizi lkn ladha yke bado tunaiona

Msidanganyike na mikanzu ya gaucho

Mkuu Umemaliza kila kitu,na mjadala ufungwe kwanzia sasa.
 
Back
Top Bottom