Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!
Hauwezi mlinganisha Gaucho na Iniesta.Gaucho ni level za juu sana na anajua sana japo mapenzi yangu yapo kwa Iniesta
Mkuu sijui hawa wanaangalia vitu gani na kuhitimisha kwamba Iniesta ni mkali kuliko Gaucho labda hawakuwahi kumuona Gaucho akifanya uchawi wake alipokuwa mcheza. Hata Maradona alionyesha heshima yake kwa Gaucho.
Hivi ulisoma mara mbili ulichokiandika?au ndio wale ilimradi umeandika tu?Na isitoshe huo ni mtazamo wangumuandishi wa hii thread sijui amekula maharage ya wapi yule?
duru za Soka zilishatanabaisha wazi kuwa kama mpira ungalikuwa na mdomo basi muda wote ungeomba upelekwe kwa Dinho Magic
Hawa wanachuki binafsi kwa Mtume na Mtakatifu wa mwisho wa Soka hapa Duniani,kweli nimeamini Nabii hapendwi kwao,kumfananisha Gaucho na Iniesta ni sawa na kufananisha iPhone na Techno.
Ni mchezaji gani wa Barcelona aliyepigiwa makofi ya heshima uwanja mzima na mashabiki wa Real Madrid baadaya ya mpira kumalizika pale Santiago Bernabeu? Kwa wale wenye kumbukumbu tu...
Hii heshima tangu kuumbwa dunia waliipata wachezaji wawili tu wa timu mpinzani na Real Madrid wakitokea Barcelona kupigiwa makofi pale bernabeu ni Ronaldinho pamoja na Iniesta pekee. Bernabeu nzima walisimama kwa heshima wakipiga makofi.Ni mchezaji gani wa Barcelona aliyepigiwa makofi ya heshima uwanja mzima na mashabiki wa Real Madrid baadaya ya mpira kumalizika pale Santiago Bernabeu? Kwa wale wenye kumbukumbu tu...
weka ww ya iniesta😀😀😀Hii video tumeshachoka kuitazama ,Gang kaileta humu,wewe umeileta na wengine pia,na hapo ndipo mmeshaonyesha dhahiri udhaifu wake..maana hakuna tena clip ingine ya maana,nimemcheki live, na pia mimi ni hodari sana wa kufuatilia youtube yani hana lolote zaidi ya kutisha mabeki tu, the fact is that iniesta ni habari ya mjini kijana wangu.
eto'o alikua uwanjani lakin mpira ukishikwa na gaucho,meno nje anafurahia burudanigaucho hakuwa na wa kucheza nao muda mwing alikuwa akicheza mwenyewe!
Kuna wachezaji wachache walikuwa wanacheza mpira wanaenjoy na mashabiki wa timu zote wanaenjoy mmoja wapo ni Ronaldinho.Binafsi nakumbuka kuna goli aliwafunga AC Milan kwenye Champions League dakika ya 90 na kuna goli aliwafunga Chelsea
eto'o alikua uwanjani lakin mpira ukishikwa na gaucho,meno nje anafurahia burudani