Siku nyingine kabla hujamwelekeza mnase kibao kwanza.Kuwa na kichwa chepes kuelewa.hamaanishi anamiaka 28. Mwisho wake na barce alikua ana28, wakat INIESTA ana 33 hii leo lkn bado anatesa zaidi ya dinho.upo hapo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku nyingine kabla hujamwelekeza mnase kibao kwanza.Kuwa na kichwa chepes kuelewa.hamaanishi anamiaka 28. Mwisho wake na barce alikua ana28, wakat INIESTA ana 33 hii leo lkn bado anatesa zaidi ya dinho.upo hapo mkuu
Habari zisizokuwa na magumashi ni zipi?bila shaka utakuja na habari za makombe,magoli,ballon d'or ambazo zina magumashi
Hivi Mkuu ni sahihi kuangalia Mechi mbili tatu mtu ambazo hajaperform vizuri kuliko kuangalia perfomance yake ya muda mwingi?mbona wenger alimkaba 2010,akampiga 2-1 pale emirates,messi alikua anazurura tu
Mimi naungana na wewe, kati ya viungo nilivyowahi kuvishuhudia bado sijaona kama Iniesta. Jamaa ni mwepesi mno hususani zile ktk one two kisha anachukua mpira na kukimbiza Golini.Wabrazil washenzi sana! Walikuwaga wanasema Ronaldinho akiwa anaupiga duniani hata malaika kule mbinguni wanaacha kazi zao wanakaa kuangalia ufundi na maajabu ya mungu baba. Kiukweli hata Mimi nakubali Gaucho alikuwa ana mpira burudani kwa mashabiki.
Ila Iniesta ana nidhamu, ana akili, ana wepesi, ana usahihi, ana control, ana kipaji pure, anajua namna ya kuboss midfield zone yake, yuko quick and dribbling skills na accurate pass zake zinamfanya asiwe na mpinzani uwanjani.
Hata Mimi nakiri katika maisha yangu Iniesta na xavi ndio best midfielder ambao nimeeashuhudia kwa macho yangu. Ila sitaku kuamua kati ya Gaucho na Iniesta nani Boss.
Afadhali kwa kujiona kuwa umeelewa vibaya, subiri aje akuelekeze.Sasa iniesta si alitakiwa awe anakua wa pili baada ya messi....au ashinde miaka ambayo messi hajachukua uchezaji bora wa dunia au nmekuelewa vibaya?
Habari zisizokuwa na magumashi ni zipi?
Kama hataki tuangalie Goals, Assists, Dribbling, Passes Accuracy, Trophies n.k yeye anataka tuangalie nini!?Kaishiwa uyo, amebaki kutambatamba to....
messi anapga 4 wakat huo arsenal wachezaj 7 first 11 ni majeruhi,beki silvester anacheza nae 1,2,Hivi Mkuu ni sahihi kuangalia Mechi mbili tatu mtu ambazo hajaperform vizuri kuliko kuangalia perfomance yake ya muda mwingi?
Unazungumzaje alivyomueka chini Boateng na kwenda kumning'iniza Neur, vipi kuhusu Arsenal haohao na Wenger wao ambao Messi aliwapiga 4 pale Camp Nou?
ukweli unabak palepale,gaucho level zingneKama hataki tuangalie Goals, Assists, Dribbling, Passes Accuracy, Trophies n.k yeye anataka tuangalie nini!?
Eboo!!
St Gaucho ni Masiah wa mpira hapa Duniani,hakuna wakufanana nae. Iniesta level yake ni za wakina Pogba.
Afu mijitu haijielewi messi wa kumlinganisha na vitu vya kijinga gaucho kama hazard tu
Kwa vigezo vipi?ukweli unabak palepale,gaucho level zingne
kwa kila kigezo ukijuacho wewe,tatizo hamkawii kusahau..yaan mara tu mumemsahau gaucho!..acheni kufuru jamanKwa vigezo vipi?
Seriously??? [emoji15] [emoji15]
Unamfananisha Gaucho na Iniesta..
Ingekuwa mambo ya Kiroho ningekwambia sawa sawa na kumfananisha Nabii Mussa na Mzee wa Upako!!