Iniesta na gaucho, Nani zaidi?

Iniesta na gaucho, Nani zaidi?

Sipendi dharau hvi we bwana mdogo unavuta bange za wapi?gaucho ana balon d or iniesta hana sasa unawalinganisha nn hawa watu wawil

Acha utoto wewe, mleta uzi hajakosea kitu...tatizo Umeanza kuangalia mpira 2011...hata akili zako naona zinata kufanana na JECHA...Iniesta angezipata ballon zaidi ya Gaucho kama BABA WA SOKA ASINGEWEPO HAPA DUNIANI (MESSI)...hapo ndipo uamini kuwa Messi hafananishwi na mchezaji yeyote yule unaemjua wewe, kama unakumbuka kwa mara ya kwanza mfalme anatua ndani ya BARCA or BARCELONISTAS' Gaucho wako alikua TAKATAKA,na alizidi kuleta SHOMBO zaidi, na aliona aibu mno kuona mtoto mdogo kaingia na wonders of the world,akiwadhalilisha majitu mazima pale Barca mmoja wao huyo gaucho wako...sasa hapo alijua anytime nitatimuliwa hapa Coz lishakua limzigo pale....
 
Kama tunazungumzia mbwembwe na udambwidambwi uwanjani basi DUNIANI BADO HAJATOKEA KAMA GAUCHO.

Ila kwa Juhudi na Kucheza mpira wa Kazi, Gaucho ni wa kawaida tu.

Tehtehte hata mie huwa napenda anavyojiachia
 
Hapa watu watazungumzia u legend tu ila iniesta anatisha,gaucho hagusi hata nusu ya Iniesta ---na kwa sabb kuna fundi wa dunia king messi ndo maana iniesta hapati uchezaji bora, ila iniesta ni fundi.

Nikweli kabisa
 
Tehtehte hata mie huwa napenda anavyojiachia
Hata mimi ni shabiki wa Barca ila kwa sasa tuweke ushabiki maandazi pembeni na uhalisia uchukue nafasi yake.

Yule Jamaa kilikuwa ni kipaji hasa ktk upande wa kuuchezea mpira. Kipindi Gaucho akiwa ktk enzi zake utatamani kila mara apewe yeye mpira, sumu za Gaucho ktk miguu yake kwa sasa kwa mbaaali anazo Pogba ila Gaucho ni kiboko.

Ukiachana na misifa ndani na nje ya uwanja kisha angekuwa anapiga mpira wa kazi kama Messi au Neymar, hakika jamaa angefika mbaaali mno.

Kwa mbwembwe kwa kweli bado Mungu hajatuletea kama Gaucho, yule alikuwa ni mnyama.
 
🙁 Messi? Watoto mnasumbua mno jf... Weka rekodi za Gaucho na mimi nitaweka za mfalme..gaucho hajafikia hata theluthi yake...nasema hivi..Messi hana mpinzani na haitatokea kwa mchezaji yeyote kuvunja rekodi zake huyu kiumbe, labda baada ya miaka 200,na hapo hatutokuwepo tena duniani....
bila shaka utakuja na habari za makombe,magoli,ballon d'or ambazo zina magumashi
 
Kuwa na kichwa chepes kuelewa.hamaanishi anamiaka 28. Mwisho wake na barce alikua ana28, wakat INIESTA ana 33 hii leo lkn bado anatesa zaidi ya dinho.upo hapo mkuu
nyi watu kweli wagonjwa,iniesta ukamlinganishe na gaucho!..kwa lipi?
 
Acha utoto wewe, mleta uzi hajakosea kitu...tatizo Umeanza kuangalia mpira 2011...hata akili zako naona zinata kufanana na JECHA...Iniesta angezipata ballon zaidi ya Gaucho kama BABA WA SOKA ASINGEWEPO HAPA DUNIANI (MESSI)...hapo ndipo uamini kuwa Messi hafananishwi na mchezaji yeyote yule unaemjua wewe, kama unakumbuka kwa mara ya kwanza mfalme anatua ndani ya BARCA or BARCELONISTAS' Gaucho wako alikua TAKATAKA,na alizidi kuleta SHOMBO zaidi, na aliona aibu mno kuona mtoto mdogo kaingia na wonders of the world,akiwadhalilisha majitu mazima pale Barca mmoja wao huyo gaucho wako...sasa hapo alijua anytime nitatimuliwa hapa Coz lishakua limzigo pale....
hivi ballon d'or ya 2010 alistahik nani kati ya messi na iniesta achilia mbali yule muholanzi ambae ndo alitakiwa apewe
 
Huwezi sikia Makocha na mabeki wanaumiza kichwa namna ya kumkaba Gaucho.

Ila kuhusu Messi, anza kumuuliza Mourinho, Simeone, Pep n.k Carlo Ancelot aliwahi kusema kuwa ili kumfanya Messi asilete madhara basi unapaswa kutotaja Jina la Messi mbele ya wachezaji wako maana utawajengea hofu ndani ya mioyo yao.
mbona wenger alimkaba 2010,akampiga 2-1 pale emirates,messi alikua anazurura tu
 
Ni kosa kubwa kulinganisha WAAMERIKA na WAULAYA..


N:B
Ingawa namkubali cr7 na namchukia messi coz messi anatesa wenzanke.

😛😛😛mkuu umenifulaisha sana, messi anatesa wenzake mpaka wanasurrender wenyewe.
 
Wabrazil wa ajabu sana! Walikuwaga wanasema Ronaldinho akiwa anaupiga duniani hata malaika kule mbinguni wanaacha kazi zao wanakaa kuangalia ufundi na maajabu ya mungu baba. Kiukweli hata Mimi nakubali Gaucho alikuwa ana mpira burudani kwa mashabiki.

Ila Iniesta ana nidhamu, ana akili, ana wepesi, ana usahihi, ana control, ana kipaji pure, anajua namna ya kuboss midfield zone yake, yuko quick and dribbling skills na accurate pass zake zinamfanya asiwe na mpinzani uwanjani.

Hata Mimi nakiri katika maisha yangu Iniesta na xavi ndio best midfielder ambao nimeeashuhudia kwa macho yangu. Ila sitaku kuamua kati ya Gaucho na Iniesta nani Boss.
 
Hapa watu watazungumzia u legend tu ila iniesta anatisha,gaucho hagusi hata nusu ya Iniesta ---na kwa sabb kuna fundi wa dunia king messi ndo maana iniesta hapati uchezaji bora, ila iniesta ni fundi.
Sasa iniesta si alitakiwa awe anakua wa pili baada ya messi....au ashinde miaka ambayo messi hajachukua uchezaji bora wa dunia au nmekuelewa vibaya?
 
Seriously??? [emoji15] [emoji15]
Unamfananisha Gaucho na Iniesta..
Ingekuwa mambo ya Kiroho ningekwambia sawa sawa na kumfananisha Nabii Mussa na Mzee wa Upako!!
Aha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!
 
Back
Top Bottom