Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Tuishi humo kwasababu una personal internet na Club?

A time will come tusianze kulalamika

Tujue kabisa wakati tatizo linaanza hatukupaza sauti kukemea ili kudhibiti kwasababu tulikuwa tuna maslahi yetu binafsi now limekuwa kubwa let's all not be hyporites.
mie nina personal bundle na club
 
Zile rekodi kule ukiwa unaziweka sawa uwage unanitag bana. 😅
Nitalizingatia hilo, juzi nilishusha madini mle mpaka akajitokeza Mtakwimu na Mhasibu mkuu kanipa dislikes kama njugu ila nilifurahi kuona uwepo wake baada ya kitambo kirefu.
 
Itakuwa ni yale manguo yao ya kijani na njano
 
Makolo roho inawauma[emoji23]
Wachezaji wetu walioiwakilisha Tz kimataifa, watakuwa na chakula cha pamoja ikulu na Mh Rais
Kwahiyo huo muda walipanga kuondoka, wakasugue kalio kwenye bus, Mama amewapa Favor,, watapaa Shwaaa.


Mama shikilia hapo hapo [emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji91]


Antonnia ,Bantu Lady
Njoo muone makolo wanaumia[emoji23]
 
Mama anaupiga mwingi [emoji172][emoji169][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Wananchiii[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Shwaaaa, Mbeya.

Mnaolialia jamani kwani mnataka Yanga wakasote kwenye mabus usiku kucha?

Tuwe wazalendo,,,
Ndege wakipanda viongozi tu mnalalamika,
Haya, wamewapa wananchi wapande bado mnalalamika.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila Mama anapenda kukera jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ile ndege ilitolewa kwenda kwa Waarabu watu walilia hivihivi.
Amekolezea hapo hapo[emoji1787]
 
Hilo la Yanga kupewa ndege nalo sijalifurahia hata ingekuwa kwa Simba bado ningesema.

Kuna timu juzi ilishindwa pesa ya usafiri na ikafukuzwa hotelini ikiwa ina madeni tele.

Erasto nyoni ndio alijitolea kulipa hizo gharama.

Kwa hiyo kama tunasema Raisi anajitoa kwenye michezo tumulike katika aspects zote sio kwasababu wanufaika ni Simba na Yanga basi tuone wengine hawana haki.

Timu ambayo unaisaidia wewe kuipa ndege kwenye mchezo wa ligi kuu ni timu ambayo inauwezo wa ku afford hizo gharama bila kikwazo.
Hiyo timu ilifika fainali?
 
Nitalizingatia hilo, juzi nilishusha madini mle mpaka akajitokeza Mtakwimu na Mhasibu mkuu kanipa dislikes kama njugu ila nilifurahi kuona uwepo wake baada ya kitambo kirefu.
Hahahaaa! Mie nikawa najua hapitagi mule. 🤣🤣

Ila afadhali kama anajipoza machungu kwa hizo Dislikes. 🤣 Sisi wadau tukiziona tubakia kusema hihihihiiiiiiiii. 🤣
 
Kikubwaa Kombe limebaki uarabuniii, hizi takrima za mama kwa Utopoloo sio big deal hata.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kifupiii haistuiiiiiii
 
Back
Top Bottom