kwa hiyo Timu ya wananchi ni ya Kikwete na Mzee Sande Manara pekee ?Narudia, Timu ya Yanga ni ya Wananchi wenye Akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo Timu ya wananchi ni ya Kikwete na Mzee Sande Manara pekee ?Narudia, Timu ya Yanga ni ya Wananchi wenye Akili
Zile rekodi kule ukiwa unaziweka sawa uwage unanitag bana. 😅Soma post yako vizuri neno "interest" umeandika sasa niliyokuQuote umeandika "Internet" hii ni dalili kuwa Dundukaz zinaoita haki mbaya kipindi hiki kiasi cha kuchanganyikiwa.
mie nina personal bundle na clubTuishi humo kwasababu una personal internet na Club?
A time will come tusianze kulalamika
Tujue kabisa wakati tatizo linaanza hatukupaza sauti kukemea ili kudhibiti kwasababu tulikuwa tuna maslahi yetu binafsi now limekuwa kubwa let's all not be hyporites.
Nina kombe halafu niumie we vipi ofsa?Sikujua kuwa kuna watu mnaweza kuumia kiasi hiki, duh 🙄 utafikiri timu ya Young Africans sio ya Tanzania
Hii inaonesha mko makini kwenye kunisomamie nina personal bundle na club
Nitalizingatia hilo, juzi nilishusha madini mle mpaka akajitokeza Mtakwimu na Mhasibu mkuu kanipa dislikes kama njugu ila nilifurahi kuona uwepo wake baada ya kitambo kirefu.Zile rekodi kule ukiwa unaziweka sawa uwage unanitag bana. 😅
Tufanye yameisha, ila bora ukosee ya Kiswahili ya Kingereza inatia uchungu kama ule uzi.Tukisema tuanze kuhukumiana kwa typing errors na auto correct mistakes, hatuwezi kupata mshindi
"zinaoita"???
Kama nini?Tufanye yameisha, ila bora ukosee ya Kiswahili ya Kingereza inatia uchungu kama uke uzi.
Ile ndege ilitolewa kwenda kwa Waarabu watu walilia hivihivi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila Mama anapenda kukera jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo timu ilifika fainali?Hilo la Yanga kupewa ndege nalo sijalifurahia hata ingekuwa kwa Simba bado ningesema.
Kuna timu juzi ilishindwa pesa ya usafiri na ikafukuzwa hotelini ikiwa ina madeni tele.
Erasto nyoni ndio alijitolea kulipa hizo gharama.
Kwa hiyo kama tunasema Raisi anajitoa kwenye michezo tumulike katika aspects zote sio kwasababu wanufaika ni Simba na Yanga basi tuone wengine hawana haki.
Timu ambayo unaisaidia wewe kuipa ndege kwenye mchezo wa ligi kuu ni timu ambayo inauwezo wa ku afford hizo gharama bila kikwazo.
Hahahaaa! Mie nikawa najua hapitagi mule. 🤣🤣Nitalizingatia hilo, juzi nilishusha madini mle mpaka akajitokeza Mtakwimu na Mhasibu mkuu kanipa dislikes kama njugu ila nilifurahi kuona uwepo wake baada ya kitambo kirefu.
Double standardsHiyo timu ilifika fainali?
Ikifika fainali za kimataifa nao watapewa ndegeDouble standards