Injinia Hersi ulishaharibu tangu mwanzo na sasa hatuna namna zaidi ya kuipongeza Simba kwa ubingwa

Gamondi ilikuwa laZima aondoke alianza kuharibu dressing room
Wachezaji anawapekeka bar
Anabagua wachezaji wasio rafiki zake hawapi nafasi, anawap nafasi walevi wenzio
Kumwachia bench Kibwana akiwa fit na kuchezesha Nkane kama mlinzi kulia
 
Unadhani Nabi hakuwa na ofa msimu ule wa mwisho kwake?
Alikuwa nazo tena tatu lakini akachagua amalizie project yake mpaka mwishoni mwa msimu ili aondoke au yeye hapendi pesa kama wewe? Hapendi utajiri? Think mzee

Alichagua kusubiri mpaka game ya mwisho pale Tanga mkwakwani final FA ndiyo tukashangaa ghafla anatuaga kumbe sasa baada ya kumaliza project yake ndiyo akaenda sasa

Hao belouzidad wanatafuta immediate coach na amini sio muda atafukuzwa huko na hapo ndiyo maisha ya katanga tanga yataaanza malipo makubwa yanaendana na CV yako Ramovic ana CV gani?

Tuwe tunafikiria sio kila kitu ni pesa unaangalia na future ya career yako ili kuendelea kujitengenezea circle ya pesa zaidi .

Tuwe tunapenda soka sio ushabiki tu
 
Gamondi ilikuwa laZima aondoke alianza kuharibu dressing room
Wachezaji anawapekeka bar
Anabagua wachezaji wasio rafiki zake hawapi nafasi, anawap nafasi walevi wenzio
Kumwachia bench Kibwana akiwa fit na kuchezesha Nkane kama mlinzi kulia
Madhaifu yake yalikuwepo hatukatai ila wewe naona bado hujatuelewa vizuri.

Sasa wamemtimua sawa lakini kwa muda huu alikuwa a right man for champions league sasa tumepata aibu ya kutolewa na wachovu wale kina MC algers!

Kibaya zaidi huyo aliyemshikia kijiti naye ndiyo hivyo hata valentine hajafika kasepa!

Inakuwa safari ya chizi kwenda umbali mrefu kurudi na makopo
 
Sasa hapo Eng Hersi kakosea nini? Coach kawaita mezani viongozi akafuata vigezo vya kuvunja mkataba na kavunja mkataba
Nani na Ramovic hawafanani kila mtu ana vipaumbele vyake kwenye maisha
 
Kwa timu ilivokuwa chini ya Gamondi hata robo final isingeenda na usiseme kuwa MC Alger ni timu dhaifu
 
Kuhusu Ubingwa ni mpaka 2030 wengine waendelee kujenga timu.
Ata asiwepo kocha yoyote, Yanga Bingwa, anaye hitajika ni msimamizi wa mazoezi tu, Timu tayari ipo.
Anayehitajika ni msimamizi wa mechi tu yani Kayoko na wenzake wa aina hiyo.
 
Hapa umeongea kiufundi ww utopolo kiben ten...nakuunga mkono
 
Wewe mshabiki plastic tu.Kabla ya Gamondi timu yenu ilikuwa haishindi?Angekuwa bonge la kocha asingeenda Libya bali timu kubwa za Afrika.
Timu yenu ikishinda unakaa kimya ikipata changamoto unakuja na ngonjera za Gamondi.
 
Pumba tupu.
 
Hii Ngoma ili lia sana mka jisahau dadeki Yanga ndo basi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…