Project ni malengo na philosophy ya timu sio wachezaji na kocha wale wale, hawa wanabadilikaWe Ndio unapuyanga what is team?
Team lazima uwe na wachezaji na coach,Kama unajenga team imara lazima uzuie wachezaji na kocha wabaki
Muulize tu kwanini huyo Gamondi alikuwa anashinda kwa mbinde mbele ya akina KMC na Ken Gold halafu leo awe na imani na Gamondi kama angeweza kuifunga Al Hilal au Mc Alger?Wewe mshabiki plastic tu.Kabla ya Gamondi timu yenu ilikuwa haishindi?Angekuwa bonge la kocha asingeenda Libya bali timu kubwa za Afrika.
Timu yenu ikishinda unakaa kimya ikipata changamoto unakuja na ngonjera za Gamondi.
Njoo ufatilie ligi tajiri angu...Ligi hii Timu ni mbili Simba au Yanga hawa wengine wameachwa padogo Sana kwahio makombe yatapita hapoNimetukanwa matusi mengi sana humu kwa kupingana na uamuzi wa kumfukuza kazi Gamondi, na nilisema kabisa kwa uamuzi ule hatutovuka hatua ya makundi ligi ya mabingwa kila mmoja ameona.
Siku hizi hata sifuatilii timu inacheza lini na wapi, na kiukweli itatuchukua muda sana kurudi katika mstari tuliokuwa hapo kabla.
Kwanza what is project?Project ni malengo na philosophy ya timu sio wachezaji na kocha wale wale, hawa wanabadilika
Ndo maana ukienda ulaya unajua mchezaji ana fit kwenye timu kama Barcelona lakini alienda kwenye project ya Liverpool anakwama
Nitawafundisha mpaka lini?
Kuna wakati ukizidiwa nguvu ya kuzuia unaacha huwezi endelea kubishana na wenye nguvu. Man utd wamemchukua Reuben akiwa na mwendo mzuri na timu yake Lisbon. Huenda tungesema yule tayari alishaanza project yake na bado akaiacha. Lakini kwa kuwa ni ya timu amewaacha wanaendelea na project yao. Kuna timu zikimtaka mchezaji au kocha wako huwezi zuia. Mgunda alikuwa anaenda vizuri na Coast lakini Simba walipomtaka hakujali maswala ya project. Chama waarabu walipomtaka hakuwaza habari za project. Hata Mzize akiendelea na consistence hii June hatajari maswala ya project ya Yanga.We Ndio unapuyanga what is team?
Team lazima uwe na wachezaji na coach,Kama unajenga team imara lazima uzuie wachezaji na kocha wabaki
Unajisumbua tu kueleza wasiolewaProject ni malengo na philosophy ya timu sio wachezaji na kocha wale wale, hawa wanabadilika
Ndo maana ukienda ulaya unajua mchezaji ana fit kwenye timu kama Barcelona lakini alienda kwenye project ya Liverpool anakwama
Nitawafundisha mpaka lini?
Kuna wakati ukizidiwa nguvu ya kuzuia unaacha huwezi endelea kubishana na wenye nguvu. Man utd wamemchukua Reuben akiwa na mwendo mzuri na timu yake Lisbon. Huenda tungesema yule tayari alishaanza project yake na bado akaiacha. Kuna timu zikimtaka mchezaji au kocha wako huwezi zuia. Mgunda alikuwa anaenda vizuri na Coast lakini Simba walipomtaka hakujali maswala ya project. Chama waarabu walipomtaka hakuwaza habari za project. Hata Mzize akiendelea na consistence hii June hatajari maswala ya project ya Yanga.
Mbona mkuu nguvu ya pesa unaipa kipimo kidogo hivyo? Yaani upate Chaka la karibia mara 3 ya hicho unachopata utasubiri nini tena? Wacha hizo mkuu Yanga siyo timu ya nyanya yake!Soma hapo juu utanielewa vizuri inashindikana nini kusubiri amalize project yake aliyoianza msimu ukiisha aende?
Mkuu achana na hii kiumbe utaumiza kichwa bure!Nimekwambia sajili zote ni kama kamali ni timu Gani Huwa inapatia sajili zote
Ukiona mchezaji kasajili ujue ni pata potea.
Kuhusu Ramovic kuondoka
Huyo ilikuwa laZima aondoke wale wana mkataba pesa ikija wanakaa na waajiri wake wanarejea mkataba
Kwaiyo wewe unataka Ramovic akatae million 100 abaki Yanga analipwa million 36?
Hiyo haiwezakani hata Mimi mwanachama wa Yanga nikipata hiyo fursa natembea
Kwahiyo wale first 11 ya Gamond ndio walevi wenzake?Gamondi ilikuwa laZima aondoke alianza kuharibu dressing room
Wachezaji anawapekeka bar
Anabagua wachezaji wasio rafiki zake hawapi nafasi, anawap nafasi walevi wenzio
Kumwachia bench Kibwana akiwa fit na kuchezesha Nkane kama mlinzi kulia
Nilitaka kusema maneno mabaya ila imebidi nikae kimya. Eti "take my note". Wewe ni nani kwenye familia ya Ramovic? Yeye mwenyewe amethibitisha anaenda huko wewe unaleta story zako zisizo na kichwa wala miguu. Kama hujui kitu tulia. Unamfukuza Ramovic kwa kosa lipi mpaka sasa?Sio kwamba mmemfukuza? Huyu Ramovich Kwenda CR Boulzidad ni uongo mkubwa.
Take my note below
Yanga amemaliza kundi akiwa nafasi ya 3 kwa point 8
CRB amemaliza kundi lake akiwa na point 9.
Wote hwajafuzu, ni ngumu CRB kumtaka kocha alieshindwa kuivusha team yake makundi.
Watu wanachukulia poa nguvu ya pesa. Sijui wanaishi kwenye ulimwengu upi!Mbona mkuu nguvu ya pesa unaipa kipimo kidogo hivyo? Yaani upate Chaka la karibia mara 3 ya hicho unachopata utasubiri nini tena? Wacha hizo mkuu Yanga siyo timu ya nyanya yake!
Ndio namshangaa jamaa huyu vitu vidogo hivyo anashindwa kujua kweli?We Ndio unapuyanga what is team?
Team lazima uwe na wachezaji na coach,Kama unajenga team imara lazima uzuie wachezaji na kocha wabaki
Unapoteza nguvu zako za bure hapo mkuuKwanza what is project?
Ukishaijua project yako ni Nini unaanza kutafuta resorces (Human and capital)
Combination ya Human resouces kwenye project inaitwa Team(na kiongozi wa team anaitwa head of the team)
Sasa wewe una project unaondoa head of the team kirahisi hivyo
Matako yako usije hapa kama huna akili.
Una uelewa mdogo sana au either wlimu ndogo vitu rahisi sana kuvielewa hiviShida ni mwenye akili fupi siku zote anamuona mwingine ana akili fupi. Angalau umerudi kwenye akili zako kidogo umeelewa project ni ya timu sio muda wote umekazana ameiacha project yake njiani. Project gani? Angalia uliyoyaandika hapa ndio utaujua ubongo wako kuwa ni debe kutika hujui unaongea nini
Unajitahidi kujitutumua ila bado ni zero brain baki na ujinga wako.Una uelewa mdogo sana au either wlimu ndogo vitu rahisi sana kuvielewa hivi
Nimeamua rasmi kukupuuzia
Asante
Yanga atakuwa bingwa na atashangiliaUnajitahidi kujitutumua ila bado ni zero brain baki na ujinga wako.