Injinia Soma hiyoo: Simba yasajili striker kutoka Brazil

Minnlijua utatoa statistics za magoli na assist za jamaa ktk misimu yote alocheza kabla ya kuja simba
 
Naskia brazil nzima imesimama kwa usajili wa huyu jamaa

Hongeren watan

Pogba atawafaa sana , naskia man u hawamtaki
Pogba hakuna haja ya kumsajili mana kuna wachezaji kibao tu wanaocheza kama yeye. Ni kama Bwalya tu hakusajiliwa kwa sababu pale simba washambuliaji wengi wanacheza kama yeye tu
 
Haswa
 
Ndio hivyo Mkuu hiyo ndio gharama yake sasa sijajua kama Simba watakua wametoa hiyo hiyoo!
Kama watakua wametoa hy basi wehu ,hy pesa si unapata mchezaji mzuri tu ,tena aliyepo AFCON anayecheza ligi ya Africa yenye ushindani
 
Umenikumbusha M-Brazil wa Yanga, aliyeitwa Jaja. Aliondoka bila kuaga.

Hakuna mchezaji wa Kibrazil anayeweza kupambania namba hapa Bongo. Kuwaacha Kotei na Niyonzima kwa Mbrazil ni sawa na kubeti kuwa Stars itabeba kombe la Afrika kule Misri.

Vv
Huyo niyonzima ni furahisha jukwaa tu.
Miaka miwili ana goli moja.
Niyonzima hana madhara kwa timu pinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…