Ila nafikiri ni vyema tukajipa muda tukasubiri ligi ianze tutapata majibu!Yaani kwa kusoma comment tayari umehitisha tumepigwa,wabongo bana wajuaji hatari
hapa umeongea kiongozi maana hata wajina wangu meneja magoli andai wamemfanyia scouting sio chini ya miezi 6.Ila nafikiri ni vyema tukajipa muda tukasubiri ligi ianze tutapata majibu!
From Brazil to Tanzania ?,,,,,?????,..Simba kuna kitu mwaka huu! Ngoja tuone! Wazee wa mbwembwe wanaokoteza tu!
From Brazil to Tanzania ?,,,,,?????,..Simba kuna kitu mwaka huu! Ngoja tuone! Wazee wa mbwembwe wanaokoteza tu!
Wabongo utawaweza,mtu ana mwaka anatumia fb free basics ila anamjua mchezaji nje ndaniWatu wanacomplain tu,timu aliyotoka ndo ya kwanza kwenye msimamo,jamaa ukimwangilia YouTube anapiga magoli hata ya kichwa na mashuti
Muda nafikiri utatoa majibu tuwe na subira,nilijaribu pia kumcheki transfer market gharama yake wameweka milion 230!hapa umeongea kiongozi maana hata wajina wangu meneja magoli andai wamemfanyia scouting sio chini ya miezi 6.
Mrejesho ukoje sasaNimetoka kumfanyia uhakiki You tube maana isije ikawa mambo ya kina Jaja
Asee, ina maana hapo Simba kavuta pesa ya maanaMuda nafikiri utatoa majibu tuwe na subira,nilijaribu pia kumcheki transfer market gharama yake wameweka milion 230!
Ndio hivyo Mkuu hiyo ndio gharama yake sasa sijajua kama Simba watakua wametoa hiyo hiyoo!Asee, ina maana hapo Simba kavuta pesa ya maana
Ni wivu tuHuyo jamaa itakuwa ni muuza Matikiti au Kinyozi huko Brazil
Minnlijua utatoa statistics za magoli na assist za jamaa ktk misimu yote alocheza kabla ya kuja simbaKLABU ALIYOTOKA MCHEZAJI MPYA WA SIMBA
Mabingwa wa Tanzania na wanarobofainali wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC, kama kawaida wameshusha silaha nyingine muda ule ule wa siku zote.
Huyu ni Wilker Henrique da Silva kutoka Brazil. Lakini watu wengi wamechanganya kuhusu klabu anayotoka. Hapa chini ni ufafanuzi wake.
Da Silva ni mzaliwa wa mji wa Franca kwenye jimbo la Sao Paulo nchini Brazil. Alizaliwa Oktoba 26, 1995.
Amekuja Simba akitokea klabu Bragantino do Para, iliyopo kwenye mji wa Braganca ndani ya jimbo la Para, lililopo Kaskazini mwa Brazil, likipitiwa na mto maarufu wa Amazon.
Kwenye mji huu kuna timu mbili zinazotumia jina la mji wenyewe. Kuna Bragantino Clube do Pará ambayo ndiyo aliyotoka Da Silva. Kwa kifupi huitwa Bragantino PA.
Halafu kuna Clube Atletico Bragantino ambayo kwa kifupi huitwa C.A Bragantino.
BRAGANTINO YA DA SILVA
Klabu ya Da Silva, Bragantino Clube do Pará, inashiriki ligi daraja la nne ya Brazil ambayo hufahamika kama Campeonato Brasileiro Série D.
Pia inashiriki ligi kuu ya jimbo la Para inayoitwa Campeonato Paraense na katika msimu wa 2018 ilimaliza katika nafasi ya 3.
BRAGANTINO NYINGINE
Ile timu nyingine inayoitwa Clube Atletico Bragantino au kwa kifupi C.A Bragantino, inashiriki ligi daraja la pili inayoitwa Campeonato Brasileiro Série B.
Ilipanda mwaka 2018 kutoka ligi daraja la tatu inayoitwa Campeonato Brasileiro Série C ambako ilimaliza katika nafasi ya 4.
Hii ndiyo tofauti ya vilabu hivi viwili ambavyo vinatoka mji mmoja wa Braganca kwenye jimbo la Para nchini Brazil.
Pogba hakuna haja ya kumsajili mana kuna wachezaji kibao tu wanaocheza kama yeye. Ni kama Bwalya tu hakusajiliwa kwa sababu pale simba washambuliaji wengi wanacheza kama yeye tuNaskia brazil nzima imesimama kwa usajili wa huyu jamaa
Hongeren watan
Pogba atawafaa sana , naskia man u hawamtaki
Simba namba 4 na 5 Ni tatizo kubwa na wanatakiwa wapate wachezaji wazoefu wa michuano ya klabu bingwa africa lakini wasioienda umri Kama Pascal Wawa, hizo nafasi sio zakuleta wabrazil
As Vita 5 Simba 0
Al Alhy 5 Simba 0
Simba inatakiwa beki zitakazosaidia kufungwa goli chache ugenini
Mbona unaacha simba 1 Mazembe 4? Au hiki ni kawaida?Haswa
Ni mcheza sarakasi za palanawe uko Brazil wamemuokota tu mtaani wakaja kumvesha jeziHuyo jamaa itakuwa ni muuza Matikiti au Kinyozi huko Brazil
Kama watakua wametoa hy basi wehu ,hy pesa si unapata mchezaji mzuri tu ,tena aliyepo AFCON anayecheza ligi ya Africa yenye ushindaniNdio hivyo Mkuu hiyo ndio gharama yake sasa sijajua kama Simba watakua wametoa hiyo hiyoo!
Huyo niyonzima ni furahisha jukwaa tu.Umenikumbusha M-Brazil wa Yanga, aliyeitwa Jaja. Aliondoka bila kuaga.
Hakuna mchezaji wa Kibrazil anayeweza kupambania namba hapa Bongo. Kuwaacha Kotei na Niyonzima kwa Mbrazil ni sawa na kubeti kuwa Stars itabeba kombe la Afrika kule Misri.
Vv