Pre GE2025 Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Walau kidogo kwa Uzalendo Kafulila wengine hao ni mauza uza tu
 
Samia kawatengeneza vijana wengi wataoweza kumpokea kijititi 2030. Kwa haraka haraka nawaona kama viongozi 15 ambao bila shaka wakimpokea kijiti TZ itakwenda saaaaafiiiiii.
 
Tuna uchaguzi 2025. Usianze kugombania vifaranga wakati mayai bado haya ja tagwa
 
Mpitishe tu bila kupingwa!
 
Jaffo anawazoom tu, mnataja majina yenu ya bara huko wanaotumia nguvu nyingi kuliko akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…