Pre GE2025 Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Pre GE2025 Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Josephat Gwajima,huyu Mwamba ana kitu kichwani.
Mazonge yake muachieni mwenyewe!
 
Huyu kijana nimemwangalia sana na kumfuatilia sana utendaji wake wa kazi. Nadiriki kusema Tanzania baada ya Samia 2030 huyu kijana ana faa na ana sifa zote muhimu kama kiongozi wa nchi. Kwanini nasema hivyo naweka mambo machache hapa chini. Hata hivyo neno langu siyo sheria.
1. Ni mchapakazi sana na mzalendo mpenda nchi yake kutoka moyoni siyo ile ya kinafiki kama kwa baadhi ya wanasiasa.
2. Anapenda Haki
3. Ana utashi wa kuamua ( hizi character alikua nazo marehemu magu)
4. Ana utulivu

Jamani simjui hanijui ila mtaongezea najua wapo wanaomjua zaidi kuliko Mimi ila nikiulizwa Leo ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania baada ya Rais Samia nitasema Ndugu Innocent Lugha Bashungwa ni the best candidate. Mungu amuongoze huyu kijana .
Amekutuma?
 
Huyu kijana nimemwangalia sana na kumfuatilia sana utendaji wake wa kazi. Nadiriki kusema Tanzania baada ya Samia 2030 huyu kijana ana faa na ana sifa zote muhimu kama kiongozi wa nchi. Kwanini nasema hivyo naweka mambo machache hapa chini. Hata hivyo neno langu siyo sheria.
1. Ni mchapakazi sana na mzalendo mpenda nchi yake kutoka moyoni siyo ile ya kinafiki kama kwa baadhi ya wanasiasa.
2. Anapenda Haki
3. Ana utashi wa kuamua ( hizi character alikua nazo marehemu magu)
4. Ana utulivu

Jamani simjui hanijui ila mtaongezea najua wapo wanaomjua zaidi kuliko Mimi ila nikiulizwa Leo ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania baada ya Rais Samia nitasema Ndugu Innocent Lugha Bashungwa ni the best candidate. Mungu amuongoze huyu kijana .

..Innocent Bashungwa ni zezeta.

..hatuwezi kuwa na Rais kazubaa kama Innocent.
 
Nabii Titto anazo sifa zote za kuwa mrithi wa Samia. Maana imekuwa usengerema fulani hivi wa hizi mada za Urais,mtu mavi yakigonga chupi tu anakuja kunya humu.
 
Mvua zimenyesha kubwa sana kuanzia ile elnino (vuli) ikafuatiwa na masika, barabara zimeharibika mno sababu nyingine huwa sub standard, matharani barabara za vumbi za outskirts za Jiji la Dar mfano Mbopo Kata ya Mabwepande hali ni mbaya ,
Makaravati yalienda na Maji ya mvua kubwa, barabara hazina lami, zimechimbika hazipitiki.

Yani hata kuchongwa tu imeshindikana??? 🤔🤔
Kiasi Kwamba hali itazidi kuwa mbaya maana mwezi wa 9 au wa 10 mwezi mmoja toka sasa mvua za msimu wa mvua za vuli zitanyesha tena, je hali itakuwaje ?
Ikiwa kwa Sasa hazipitiki sembuse zikitwe na msimu mwingine wa mvua bila ukarabati na kushindiliwa ?
 
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Halmashauri ya Jini la Dar es salaam barabara za vumbi mabwepande inashindikana kuzichonga ?
Au kuweka lami ?

Makusanyo mnayokusanya yanafanyia kazi zipi ?
 
Kwanza alitakiwa barabara ya Dar Chalinze imnyime usingizi hadi uamuzi wa kuanza kujengwa ifanyike na ikamilike.
Lakini sasa weee !
 
Naona mnatuandaa kisaikolojia kwamba uchaguzi wa 2025 umeshaisha na mtia Nia Tayari ameshinda SI ndio!!?

Au mnamzubaisha Ili iweje!!?awe kwenye comfort zone halafu ghafla!!!?

Nyuzi za kafulila ,Bashungwa au mgombea Toka Kanda pendwa zinamiminika sana humu jamvini yaani Kanda ya ziwa mnawapoza mapema Ili mfanye yenu au!!?

Hii ni counter balance ya kisaikolojia nadhani!
Hon. Tulia Ackson next female President. Time will tell
 
Back
Top Bottom