Pre GE2025 Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Pre GE2025 Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naona mnatuandaa kisaikolojia kwamba uchaguzi wa 2025 umeshaisha na mtia Nia Tayari ameshinda SI ndio!!?

Au mnamzubaisha Ili iweje!!?awe kwenye comfort zone halafu ghafla!!!?

Nyuzi za kafulila ,Bashungwa au mgombea Toka Kanda pendwa zinamiminika sana humu jamvini yaani Kanda ya ziwa mnawapoza mapema Ili mfanye yenu au!!?

Hii ni counter balance ya kisaikolojia nadhani!
Acha wasi wasi. Samia 2025 Hana mpinzani lishapita hilo hapa tunamjadili mrithi wake ndugu Inno Bashungwa.
 
Wizara yake inachangia kwa kiasi kikubwa kusinyaa kwa sekta ya ujenzi (hasa wakandarasi wazawa) malalamiko ya wakandarasi kutolipwa toka mwaka jana ni mengi sana sasa kampuni zinajiendesha vipi kama hawalipwi na kodi watalipa vipi yeye kama waziri amekuwa kimya juu ya hili na hata halisemei. Wizara ikishirikiana na mamlaka za barabara kama Tanroads na Tarura (Tamisemi) mafungu ya mfuko wa barabara (Road fund) wameyapeleka wapi miaka yote pesa hizo huwa zinakuwepo iweje wakati huu wakandarasi walalamike malipo na wengi wamesimamishq miradi kwa kukosa fedha za kuendeshea miradi. Taasisi za fedha nao wanapiga mnada dhamana za wakandarasi waliochukua mikopo kutokana na kutolipa kwa wakati marejesho ya mikopo nafikiri waziri ana safari ndefu ya kujifunza kabla ya kumfikiria kwenye madaraka makubwa
 
Huyu kijana nimemwangalia sana na kumfuatilia sana utendaji wake wa kazi. Nadiriki kusema Tanzania baada ya Samia 2030 huyu kijana ana faa na ana sifa zote muhimu kama kiongozi wa nchi. Kwanini nasema hivyo naweka mambo machache hapa chini. Hata hivyo neno langu siyo sheria.
1. Ni mchapakazi sana na mzalendo mpenda nchi yake kutoka moyoni siyo ile ya kinafiki kama kwa baadhi ya wanasiasa.
2. Anapenda Haki
3. Ana utashi wa kuamua ( hizi character alikua nazo marehemu magu)
4. Ana utulivu

Jamani simjui hanijui ila mtaongezea najua wapo wanaomjua zaidi kuliko Mimi ila nikiulizwa Leo ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania baada ya Rais Samia nitasema Ndugu Innocent Lugha Bashungwa ni the best candidate. Mungu amuongoze huyu kijana .
Yaani sisi tuongozwe na Bijwajwa Munwa
 
Wizara yake inachangia kwa kiasi kikubwa kusinyaa kwa sekta ya ujenzi (hasa wakandarasi wazawa) malalamiko ya wakandarasi kutolipwa toka mwaka jana ni mengi sana sasa kampuni zinajiendesha vipi kama hawalipwi na kodi watalipa vipi yeye kama waziri amekuwa kimya juu ya hili na hata halisemei. Wizara ikishirikiana na mamlaka za barabara kama Tanroads na Tarura (Tamisemi) mafungu ya mfuko wa barabara (Road fund) wameyapeleka wapi miaka yote pesa hizo huwa zinakuwepo iweje wakati huu wakandarasi walalamike malipo na wengi wamesimamishq miradi kwa kukosa fedha za kuendeshea miradi. Taasisi za fedha nao wanapiga mnada dhamana za wakandarasi waliochukua mikopo kutokana na kutolipa kwa wakati marejesho ya mikopo nafikiri waziri ana safari ndefu ya kujifunza kabla ya kumfikiria kwenye madaraka makubwa
hii inasababishwa na mwigulu. pesa wanazizuia zingine wanafanyia ujinga kwaajili ya kuandaa uchaguzi wa kulinda majimbo yao. hivyo ukimulaum unamuonea tangu waziri wa fedha huyu aingie pesa hazijawawi kua na utulivu.madeni yanaongezeka na bado hela zinazokopwa hazijulikani zinakoenda.
 
kwanini
Huyu kijana nimemwangalia sana na kumfuatilia sana utendaji wake wa kazi. Nadiriki kusema Tanzania baada ya Samia 2030 huyu kijana ana faa na ana sifa zote muhimu kama kiongozi wa nchi. Kwanini nasema hivyo naweka mambo machache hapa chini. Hata hivyo neno langu siyo sheria.
1. Ni mchapakazi sana na mzalendo mpenda nchi yake kutoka moyoni siyo ile ya kinafiki kama kwa baadhi ya wanasiasa.
2. Anapenda Haki
3. Ana utashi wa kuamua ( hizi character alikua nazo marehemu magu)
4. Ana utulivu

Jamani simjui hanijui ila mtaongezea najua wapo wanaomjua zaidi kuliko Mimi ila nikiulizwa Leo ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania baada ya Rais Samia nitasema Ndugu Innocent Lugha Bashungwa ni the best candidate. Mungu amuongoze huyu kijana .
kwaninii ni 2030 na sio 2025??????


JESUS IS LORD&SAVIOR
 
CCM wao ni kifikiri Urais tu badala ya kuwaletea watu maendeleo.

Watu wanakula mlo mmoja hali ni mbaya wao wanaleta machungwa eti 2030.

Kwanza 2025 Samia mwenyewe tia maji tia maji unga umezidi.
 
Back
Top Bottom