Pre GE2025 Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Pre GE2025 Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu kijana nimemwangalia sana na kumfuatilia sana utendaji wake wa kazi. Nadiriki kusema Tanzania baada ya Samia 2030 huyu kijana ana faa na ana sifa zote muhimu kama kiongozi wa nchi. Kwanini nasema hivyo naweka mambo machache hapa chini. Hata hivyo neno langu siyo sheria.
1. Ni mchapakazi sana na mzalendo mpenda nchi yake kutoka moyoni siyo ile ya kinafiki kama kwa baadhi ya wanasiasa.
2. Anapenda Haki
3. Ana utashi wa kuamua ( hizi character alikua nazo marehemu magu)
4. Ana utulivu

Jamani simjui hanijui ila mtaongezea najua wapo wanaomjua zaidi kuliko Mimi ila nikiulizwa Leo ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania baada ya Rais Samia nitasema Ndugu Innocent Lugha Bashungwa ni the best candidate. Mungu amuongoze huyu kijana .
Tuhuma za Unyarwanda zimefutwa?
 
Huyu kijana nimemwangalia sana na kumfuatilia sana utendaji wake wa kazi. Nadiriki kusema Tanzania baada ya Samia 2030 huyu kijana ana faa na ana sifa zote muhimu kama kiongozi wa nchi. Kwanini nasema hivyo naweka mambo machache hapa chini. Hata hivyo neno langu siyo sheria.
1. Ni mchapakazi sana na mzalendo mpenda nchi yake kutoka moyoni siyo ile ya kinafiki kama kwa baadhi ya wanasiasa.
2. Anapenda Haki
3. Ana utashi wa kuamua ( hizi character alikua nazo marehemu magu)
4. Ana utulivu

Jamani simjui hanijui ila mtaongezea najua wapo wanaomjua zaidi kuliko Mimi ila nikiulizwa Leo ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania baada ya Rais Samia nitasema Ndugu Innocent Lugha Bashungwa ni the best candidate. Mungu amuongoze huyu kijana .
Hii nchi imeshakuwa ya Kipumbavu kwelikweli.

Mtu akishalewa tu Vumbi la Kongo anakuja kutapishia humu. Puumbavu
 
hii inasababishwa na mwigulu. pesa wanazizuia zingine wanafanyia ujinga kwaajili ya kuandaa uchaguzi wa kulinda majimbo yao. hivyo ukimulaum unamuonea tangu waziri wa fedha huyu aingie pesa hazijawawi kua na utulivu.madeni yanaongezeka na bado hela zinazokopwa hazijulikani zinakoenda.​
Lawama lazima ziende kwake maana wizara yake toka ameteuliwa makampuni ya wazawa yako hoi bin taabani kifedha kutokana na kutolipwa malimbikizo ya madeni yao na hakuna dalili watalipwa lini hawezi kukwepa hizo lawama. Kingine cha ajabu kazi zinaendelea kutangazwa wakati pesa za kazi zilizopita hawajalipwa bado yeye kama waziri amechukua hatua gani maana tukio kama hili limeanza kuwatisha wakandarasi kuacha kuomba kazi/zabuni serikali. Hii sio dalili nzuri hata kidogo makusanyo ya kodi yatapatikana vipi ikiwa hawalipwi ?​
 
Kuna watu mnamasihara na mambo serious ya nchi?!

Barabara ya Dar - Chalinze tu hatujaona akihamasisha ijengwe kwenye bunge la bajeti lililopita n.k sembuse urais ?
Uaminifu unaanzia kwenye mambo madogo madogo kwanza kisha makubwa.
 
Lawama lazima ziende kwake maana wizara yake toka ameteuliwa makampuni ya wazawa yako hoi bin taabani kifedha kutokana na kutolipwa malimbikizo ya madeni yao na hakuna dalili watalipwa lini hawezi kukwepa hizo lawama. Kingine cha ajabu kazi zinaendelea kutangazwa wakati pesa za kazi zilizopita hawajalipwa bado yeye kama waziri amechukua hatua gani maana tukio kama hili limeanza kuwatisha wakandarasi kuacha kuomba kazi/zabuni serikali. Hii sio dalili nzuri hata kidogo makusanyo ya kodi yatapatikana vipi ikiwa hawalipwi ?​
watu wakishanusa kua utakuja kua na nguvu kwenye utawala ni lahisi kuweza kuhujumiwa na washika mikoba ya utoaji fedha. na hapa ndipo nathubutu kusema hajiamini. ila ni kiongozi mzuri asiekua na makuu.
 
watu wakishanusa kua utakuja kua na nguvu kwenye utawala ni lahisi kuweza kuhujumiwa na washika mikoba ya utoaji fedha. na hapa ndipo nathubutu kusema hajiamini. ila ni kiongozi mzuri asiekua na makuu.
Suala sio kutokuwa na makuu nafikiri anapaswa kuwa imara zaidi huku akifanya kazi kwa karibu na CEO wa Tanroads haijawahi kutokea mfuko wa barabara kukosa fedha kuwalipa makandarasi hatua gani amechukua kuondoa hii changamoto maana kampuni nyingi ziko taabani kwa sasa. Anahujumiwa vipi mbona hatujamsikia akilisemea hili bungeni tunamuona tu kwenye ziara
 
Kuna mawili kwamba waziri hawajibiki ipasavyo au CEO wa Tanroads hayuko makini kwenye kutekeleza majukumu yake hao wawili lazima kuna uzembe wa hali ya juu mfuko wa barabara unakosa vipi pesa na hii hali itaendelea mpaka lini maana kazi zishatangazwa na makampuni yameshapata sasa kama pesa hakuna za kuwalipa itakuwaje kazi zitaendaje? Pia upande wa Tarura nako kuko hoi hadithi ile ile nafikiri hazina kuna matatizo makubwa kuliko tunavyofikiri
 
Huyu kijana nimemwangalia sana na kumfuatilia sana utendaji wake wa kazi. Nadiriki kusema Tanzania baada ya Samia 2030 huyu kijana ana faa na ana sifa zote muhimu kama kiongozi wa nchi. Kwanini nasema hivyo naweka mambo machache hapa chini. Hata hivyo neno langu siyo sheria.
1. Ni mchapakazi sana na mzalendo mpenda nchi yake kutoka moyoni siyo ile ya kinafiki kama kwa baadhi ya wanasiasa.
2. Anapenda Haki
3. Ana utashi wa kuamua ( hizi character alikua nazo marehemu magu)
4. Ana utulivu

Jamani simjui hanijui ila mtaongezea najua wapo wanaomjua zaidi kuliko Mimi ila nikiulizwa Leo ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania baada ya Rais Samia nitasema Ndugu Innocent Lugha Bashungwa ni the best candidate. Mungu amuongoze huyu kijana .
Hafai kabisa. Urais wa Tanzania hautabiriki.
 
Back
Top Bottom