Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Mkorogo je?Na sisi tufuge rasta[emoji3]
Unafikiri hatujui limwandiko lako?
Umeandika kwa hisia kama za binti mwenye ujauzito wa wiki 2.Ewe Mwana lunyasi, Tuendelee kuhamasishana ili Jumamosi tukamkande Galaxy pale kwa Mkapa.
Katika kuelekea mchezo huo, Afisa habari wetu ametupa hamasa wana lunyasi kwa kuuita Inonga Day au ukipenda Inonga Mgeni Rasmi. Nasi kama wana Simba, tunatakiwa tutokelezee kama Inonga.
Hizi ni baadhi ya Picha za Wana Lunyasi waliojiandaa kwa ajili ya Inonga Day. Tupia picha yoyote ya Mwana Lunyasi akiwa amejiandaa kwa Inonga Day kama njia ya kuhamasishana tukaujaze Estadio Du Benjamini Mkapa Stadium.
View attachment 2917296
Mwamba ametupia kichuga kama inonga.
View attachment 2917297
Mambo ya Inonga Day
View attachment 2917298
Maandalizi ya Inonga Day.
"5imba guvumoya" sisi ndio Wazee wa CAFCL na Wazee wa Super League.
Ushanunua mkorogo wa kupaka jumamosi?Unafikiri hatujui limwandiko lako?
Huo unamhusu yule mrembo aliyepoteza fahamu baada ya kukabwa na mapepo pale kwa Mkapa.Mkorogo je?
Unapingana na kispika chenu cha Timu?Ujinga wa kumtukuza mchezaji utabaki hukohuko utopoloni...huku wachezaji wote ni bora ndo maana tuliwasajili
Na huyu je?Huo unamhusu yule mrembo aliyepoteza fahamu baada ya kukabwa na mapepo pale kwa Mkapa.
We unapinga agizo la msemaji wako? Mnajifanya kukosoa hadharani kumbe mkijifungia wenyewe mnaona dili........eti mgeni rasmi Ahmed naye tayari ashajua wengi wenu ni mbux3Ujinga wa kumtukuza mchezaji utabaki hukohuko utopoloni...huku wachezaji wote ni bora ndo maana tuliwasajili
Full mrembo ni huyu bosi wenu mkuu 😂Na huyu je?
ni inonga day au inonga ndio mgeni rasmi?Ewe Mwana lunyasi, Tuendelee kuhamasishana ili Jumamosi tukamkande Galaxy pale kwa Mkapa.
Katika kuelekea mchezo huo, Afisa habari wetu ametupa hamasa wana lunyasi kwa kuuita Inonga Day au ukipenda Inonga Mgeni Rasmi. Nasi kama wana Simba, tunatakiwa tutokelezee kama Inonga.
Hizi ni baadhi ya Picha za Wana Lunyasi waliojiandaa kwa ajili ya Inonga Day. Tupia picha yoyote ya Mwana Lunyasi akiwa amejiandaa kwa Inonga Day kama njia ya kuhamasishana tukaujaze Estadio Du Benjamini Mkapa Stadium.
View attachment 2917296
Mwamba ametupia kichuga kama inonga.
View attachment 2917297
Mambo ya Inonga Day
View attachment 2917298
Maandalizi ya Inonga Day.
"5imba guvumoya" sisi ndio Wazee wa CAFCL na Wazee wa Super League.
Wacha maneno, weka picha yako tukuone ulivyojichubua we Mbumbumbu wa Rage.
vipi msemaji wenu aliezimia kwa kutinga utopolo robo fainali ameshazinduka?We unapinga agizo la msemaji wako? Mnajifanya kukosoa hadharani kumbe mkijifungia wenyewe mnaona dili........eti mgeni rasmi Ahmed naye tayari ashajua wengi wenu ni mbux3
Nimecheka kama mazuri. Sijui jamaa akijiona amewekwa hivi atajisikiaje. Nimecheka sana.Full mrembo ni huyu bosi wenu mkuu 😂