Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewe Mwana lunyasi, Tuendelee kuhamasishana ili Jumamosi tukamkande Galaxy pale kwa Mkapa.
Katika kuelekea mchezo huo, Afisa habari wetu ametupa hamasa wana lunyasi kwa kuuita Inonga Day au ukipenda Inonga Mgeni Rasmi. Nasi kama wana Simba, tunatakiwa tutokelezee kama Inonga.
Hizi ni baadhi ya Picha za Wana Lunyasi waliojiandaa kwa ajili ya Inonga Day. Tupia picha yoyote ya Mwana Lunyasi akiwa amejiandaa kwa Inonga Day kama njia ya kuhamasishana tukaujaze Estadio Du Benjamini Mkapa Stadium.
View attachment 2917296
Mwamba ametupia kichuga kama inonga.
View attachment 2917297
Mambo ya Inonga Day
View attachment 2917298
Maandalizi ya Inonga Day.
"5imba guvumoya" sisi ndio Wazee wa CAFCL na Wazee wa Super League.
Tahira kabisa!!Ujinga wa kumtukuza mchezaji utabaki hukohuko utopoloni...huku wachezaji wote ni bora ndo maana tuliwasajili
Na wewe dogo usipende kuweka picha za watu na kuzikejeli na timu ya simba. Bladfaken.Usipende kutukana watu bila sababu basi dogo. Acha hizo.
Huyo msemaji naye mpumbavuWe unapinga agizo la msemaji wako? Mnajifanya kukosoa hadharani kumbe mkijifungia wenyewe mnaona dili........eti mgeni rasmi Ahmed naye tayari ashajua wengi wenu ni mbux3
Kama ushindi unapatikana we unawashwa niniYaaani mpaka sasa bado mnamsujudia chama kama yeye ni mungu asipokuwepo basi simba haishindi na mara kibao imejidhihirisha hivyo huku yeyote akizingua haoneshi kiwango timua kabsa
Au ndo videmu vyako hivyo...mbona kama vijanaume?.
DUuh huyo mama kachafua hali ya hewa
Makolo kwa kuiga 🙄! Eti Ino day😏🙄😁😁
Hahaaaaa, wataanza kukutukana humu.