INONGA DAY: Tupia picha za Hamasa za mashabiki wa Simba wakijiandaa na Inonga Day

INONGA DAY: Tupia picha za Hamasa za mashabiki wa Simba wakijiandaa na Inonga Day

Wilson huruma atakavyokuwa
Screenshot_20240226-200638.jpg
 
Ujinga wa kumtukuza mchezaji utabaki hukohuko utopoloni...huku wachezaji wote ni bora ndo maana tuliwasajili

Yaaani mpaka sasa bado mnamsujudia chama kama yeye ni mungu asipokuwepo basi simba haishindi na mara kibao imejidhihirisha hivyo huku yeyote akizingua haoneshi kiwango timua kabsa
 
Ewe Mwana lunyasi, Tuendelee kuhamasishana ili Jumamosi tukamkande Galaxy pale kwa Mkapa.

Katika kuelekea mchezo huo, Afisa habari wetu ametupa hamasa wana lunyasi kwa kuuita Inonga Day au ukipenda Inonga Mgeni Rasmi. Nasi kama wana Simba, tunatakiwa tutokelezee kama Inonga.

Hizi ni baadhi ya Picha za Wana Lunyasi waliojiandaa kwa ajili ya Inonga Day. Tupia picha yoyote ya Mwana Lunyasi akiwa amejiandaa kwa Inonga Day kama njia ya kuhamasishana tukaujaze Estadio Du Benjamini Mkapa Stadium.
View attachment 2917296
Mwamba ametupia kichuga kama inonga.
View attachment 2917297
Mambo ya Inonga Day
View attachment 2917298
Maandalizi ya Inonga Day.

"5imba guvumoya" sisi ndio Wazee wa CAFCL na Wazee wa Super League.
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaa...kuna watu konyo sana.
 
Ujinga wa kumtukuza mchezaji utabaki hukohuko utopoloni...huku wachezaji wote ni bora ndo maana tuliwasajili
We kolo kweli, hao wachezaji wenyewe mwenzao akifunga wanaenda kumpongeza humo humo uwanjani, hapo unadhani wao wanakuwa hawajui kufunga? Si kwamba unapoiita siku fulani ni ya mtu fulani maana yake unamtukuza mchezaji huyo..!!

BTW, Kibu alipokuwa mgeni rasmi kwenye ile dabi mliyobugizwa gwalaa, mlimtukuza?
 
Back
Top Bottom