Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
- Thread starter
- #21
Acha maneno, weka picha yako we kijana wa Rage.vipi msemaji wenu aliezimia kwa kutinga utopolo robo fainali ameshazinduka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha maneno, weka picha yako we kijana wa Rage.vipi msemaji wenu aliezimia kwa kutinga utopolo robo fainali ameshazinduka?
vipi msemaji wenu aliezimia keshatoka aghakan?Unapingana na kispika chenu cha Timu?
Mwambie aweke picha yake akiwa amewaka kwa mkorogo.We unapinga agizo la msemaji wako? Mnajifanya kukosoa hadharani kumbe mkijifungia wenyewe mnaona dili........eti mgeni rasmi Ahmed naye tayari ashajua wengi wenu ni mbux3
Si ndio hao hapo huwaoni Rage FC.
Wacha maneno maneno wa kijana wa Rage. Tupia picha yako ukiwa umepiga Mkorogo.Umeandika kwa hisia kama za binti mwenye ujauzito wa wiki 2.
You joined Wednesday mama kijacho ili kutushirikisha mahangaiko yako?
Utopolo wanahangaika mno na Simba.Ujinga wa kumtukuza mchezaji utabaki hukohuko utopoloni...huku wachezaji wote ni bora ndo maana tuliwasajili
Sasa kumuita mgeni rasmi hujamtukuza?Ujinga wa kumtukuza mchezaji utabaki hukohuko utopoloni...huku wachezaji wote ni bora ndo maana tuliwasajili
Rage ajengewe mnara.Sasa kumuita mgeni rasmi hujamtukuza?
Hivi kwenye vichwa vyenu kuna kinyesi cha nguruwe?
Hakuwa na bando huyo mchana mzimaUnapingana na kispika chenu cha Timu?
Mkutano mzima wa kispika ulijaa yanga zaidi ya 85%Utopolo wanahangaika mno na Simba.
Mnavyomtukuza Chama kana kwamba ndiye anayelipa mishahara ya teamUjinga wa kumtukuza mchezaji utabaki hukohuko utopoloni...huku wachezaji wote ni bora ndo maana tuliwasajili
Ndiyo amezinduka,unaswali lingine?vipi msemaji wenu aliezimia kwa kutinga utopolo robo fainali ameshazinduka?
Ni nini kilicho kuchekesha?Nimecheka kama mazuri. Sijui jamaa akijiona amewekwa hivi atajisikiaje. Nimecheka sana.
Mkorogo ndio nini Sheikh?Ushanunua mkorogo wa kupaka jumamosi?
Ujinga wa kumtukuza mchezaji utabaki hukohuko utopoloni...huku wachezaji wote ni bora ndo maana tuliwasajili
AahaaaaaNa sisi tufuge rasta[emoji3]
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaa...kuna watu konyo sana.Ewe Mwana lunyasi, Tuendelee kuhamasishana ili Jumamosi tukamkande Galaxy pale kwa Mkapa.
Katika kuelekea mchezo huo, Afisa habari wetu ametupa hamasa wana lunyasi kwa kuuita Inonga Day au ukipenda Inonga Mgeni Rasmi. Nasi kama wana Simba, tunatakiwa tutokelezee kama Inonga.
Hizi ni baadhi ya Picha za Wana Lunyasi waliojiandaa kwa ajili ya Inonga Day. Tupia picha yoyote ya Mwana Lunyasi akiwa amejiandaa kwa Inonga Day kama njia ya kuhamasishana tukaujaze Estadio Du Benjamini Mkapa Stadium.
View attachment 2917296
Mwamba ametupia kichuga kama inonga.
View attachment 2917297
Mambo ya Inonga Day
View attachment 2917298
Maandalizi ya Inonga Day.
"5imba guvumoya" sisi ndio Wazee wa CAFCL na Wazee wa Super League.
We kolo kweli, hao wachezaji wenyewe mwenzao akifunga wanaenda kumpongeza humo humo uwanjani, hapo unadhani wao wanakuwa hawajui kufunga? Si kwamba unapoiita siku fulani ni ya mtu fulani maana yake unamtukuza mchezaji huyo..!!Ujinga wa kumtukuza mchezaji utabaki hukohuko utopoloni...huku wachezaji wote ni bora ndo maana tuliwasajili