Inonga ndiyo Mkongo pekee aliyeitwa Timu ya Taifa je, hawa Wengine wasioitwa ni Wakongo kweli?

Inonga ndiyo Mkongo pekee aliyeitwa Timu ya Taifa je, hawa Wengine wasioitwa ni Wakongo kweli?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Pongezi nyingi kwa Klabu ya Simba kuweza kutoa Mchezaji wake ( Beki tegemeo ) Henock Inonga Baka na Mchezaji husika kwa kuweza Kuitwa hivi majuzi tu katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Congo DR.

Kuna Timu Moja nchini Tanzania ( kwa sasa nimeisahau ) imejaza Wakongo wengi kama Wanamuziki wa Zaiko Langa Langa na hapa nchini Tanzania Wanatamba, Wanatukuzwa na Wanasifiwa mno ila huko Kwao ( Congo DR ) wanaonekana si lolote wala chochote ila Mwenzao Henock Inonga Baka ndiyo anaonekana Lulu na anayejua Mpira kweli.

Tafadhali tunaomba tena Kujulishwa je, hao Wachezaji waliojazana katika hiyo Klabu tunaoambiwa ni Wakongo ( Bandeko Nangai ) ila huko Kongo katika Timu yao ya Taifa hawaitwi na wengine hata hawajawahi Kuitwa ni Wakongo kweli au?
 
Pongezi nyingi kwa Klabu ya Simba kuweza kutoa Mchezaji wake ( Beki tegemeo ) Henock Inonga Baka na Mchezaji husika kwa kuweza Kuitwa hivi majuzi tu katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Congo DR.

Kuna Timu Moja nchini Tanzania ( kwa sasa nimeisahau ) imejaza Wakongo wengi kama Wanamuziki wa Zaiko Langa Langa na hapa nchini Tanzania Wanatamba, Wanatukuzwa na Wanasifiwa mno ila huko Kwao ( Congo DR ) wanaonekana si lolote wala chochote ila Mwenzao Henock Inonga Baka ndiyo anaonekana Lulu na anayejua Mpira kweli.

Tafadhali tunaomba tena Kujulishwa je, hao Wachezaji waliojazana katika hiyo Klabu tunaoambiwa ni Wakongo ( Bandeko Nangai ) ila huko Kongo katika Timu yao ya Taifa hawaitwi na wengine hata hawajawahi Kuitwa ni Wakongo kweli au?
Hata mshambuliaji wako pendwa ambae ni "complete package" anaekukosha na ambae unamkubali sana, Fiston Mayele pia hajaitwa?
 
Tunampongeza ameitwa timu ya Taifa, ila shida iliyopo akiitwa huwa achezi yaani kama mtalii, wakina Mukoko wlikua wakiitwa Wanacheza nikama ana Zurulatu akiludi apa baada ya kuuilula anakutana na Mayele anakalishwa[emoji2][emoji2]
 
Tunampongeza ameitwa timu ya Taifa, ila shida iliyopo akiitwa huwa achezi yaani kama mtalii, wakina Mukoko wlikua wakiitwa Wanacheza nikama ana Zurulatu akiludi apa baada ya kuuilula anakutana na Mayele anakalishwa[emoji2][emoji2]
Hata Diara aliitwa timu ya Taifa ya Mali lakini hadi mashindano yanakwisha alikuwa golikipa namba 3 hakucheza mechi hata moja hadi kurudi
 
Pongezi nyingi kwa Klabu ya Simba kuweza kutoa Mchezaji wake ( Beki tegemeo ) Henock Inonga Baka na Mchezaji husika kwa kuweza Kuitwa hivi majuzi tu katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Congo DR.

Kuna Timu Moja nchini Tanzania ( kwa sasa nimeisahau ) imejaza Wakongo wengi kama Wanamuziki wa Zaiko Langa Langa na hapa nchini Tanzania Wanatamba, Wanatukuzwa na Wanasifiwa mno ila huko Kwao ( Congo DR ) wanaonekana si lolote wala chochote ila Mwenzao Henock Inonga Baka ndiyo anaonekana Lulu na anayejua Mpira kweli.

Tafadhali tunaomba tena Kujulishwa je, hao Wachezaji waliojazana katika hiyo Klabu tunaoambiwa ni Wakongo ( Bandeko Nangai ) ila huko Kongo katika Timu yao ya Taifa hawaitwi na wengine hata hawajawahi Kuitwa ni Wakongo kweli au?
kwani kuitwa ni lazima??as long as wanafanya kazi kubwa sana ya kutukuka katika hyo club basi haina shida kabisaa kutoitwa team ya taifa
 
Kwani kwenye timu ya Taifa safari hii wameitwa wachezaji wangapi kutoka timu yenu ya simba, kabla ya kukimbilia huko kwa akina Inonga?

Nakumbuka kwenye maandalizi ya mechi dhidi ya Uganda waliitwa wachezaji 9 kiasi cha CEO wenu kujisifia mitandaoni!
 
Back
Top Bottom