Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamebaki watatu; Kibwana Shomari, Dickson Job na FeisalKwani kwenye timu ya Taifa safari hii wameitwa wachezaji wangapi kutoka timu yenu ya simba, kabla ya kukimbilia huko kwa akina Inonga?
Nakumbuka kwenye maandalizi ya mechi dhidi ya Uganda waliitwa wachezaji 9 kiasi cha CEO wenu kujisifia mitandaoni!
Huyu huyu aliyepitwa na Mayele akiwa na wenzake wawili wakapigwa 2 kama wamesimama?Kwa hakika haya ni hamafanikio makubwa kwa sisi Simba sports club na tunahitaji kujipongeza kwa hili
#SimbaLidudeFulaniLikubwaaa!!!
Wanaitwa wachezaji bora sio wanao fiti mmekusanya kikundi cha bendi ya congo halafu mnajiona mme win wakati wachezaji wenyewe ni free agent.Bongo sijui ni ushamba yaani kila kitu kinataka kua ushindani sasa coach kaamua kuita wachezaji wanao fit kwenye mfumo wake ila kitu ambacho ni kawaida
Hilo ndio kombe lenu, siku hizi mmekua watu wa vituko baada ya kuona kiwanjani pagumuWanaitwa wachezaji bora sio wanao fiti mmekusanya kikundi cha bendi ya congo halafu mnajiona mme win wakati wachezaji wenyewe ni free agent.
Free agent ndio hao hao unbeaten kwa zaidi ya mwaka sasa,wewe hujiulizi?Wanaitwa wachezaji bora sio wanao fiti mmekusanya kikundi cha bendi ya congo halafu mnajiona mme win wakati wachezaji wenyewe ni free agent.
Kuwachomeka makolo atakavyo!! Kweli ni zaliWakongo hawapendi ubabaishaji na mbwembwe nyingi
Kwasababu wanajua kutofautisha kati ya kipaji na mazali
Unbeaten ya macho kwa mpira ule waliocheza mtibwa unatarajia nnFree agent ndio hao hao unbeaten kwa zaidi ya mwaka sasa,wewe hujiulizi?
Anayejua anajua tu ndg
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hao ni wakurya wa inchuguPongezi nyingi kwa Klabu ya Simba kuweza kutoa Mchezaji wake ( Beki tegemeo ) Henock Inonga Baka na Mchezaji husika kwa kuweza Kuitwa hivi majuzi tu katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Congo DR.
Kuna Timu Moja nchini Tanzania ( kwa sasa nimeisahau ) imejaza Wakongo wengi kama Wanamuziki wa Zaiko Langa Langa na hapa nchini Tanzania Wanatamba, Wanatukuzwa na Wanasifiwa mno ila huko Kwao ( Congo DR ) wanaonekana si lolote wala chochote ila Mwenzao Henock Inonga Baka ndiyo anaonekana Lulu na anayejua Mpira kweli.
Tafadhali tunaomba tena Kujulishwa je, hao Wachezaji waliojazana katika hiyo Klabu tunaoambiwa ni Wakongo ( Bandeko Nangai ) ila huko Kongo katika Timu yao ya Taifa hawaitwi na wengine hata hawajawahi Kuitwa ni Wakongo kweli au?
Hii ni aibu club unayo jinasibu kua kubwa imeshindwa kupambania makombe sasa hivi inatafta furaha kwa vitu vidogo vidogo, kiatu cha Mpole, Hat trick ya Sopu, Kiatu cha Sacko, sasa hivi Inonga kuitwa timu ya Taifa haya ndio mafanikio yenu [emoji1751][emoji1751]Inonga anatuheshimisha sana.
Kalio litaoza hilo soonNikimpenda FKM Wewe unaumia nini?
Kwa hiyo unataka waitwe wachezaji 11 tu? Huu upuuzi wa Simba na Yanga unaendekeza tabia ya unafki, chuki na roho mbaya katika jamii yetu. Hatuwezi hata kupongezana pale mtu anapofanya vizuri na kupiga hatua katika maisha yake.Ndio nasema uo ni uzululaji, Hauna tija Kwa mchezaji
Mnateseka mkiwa wapi?Wenyewe wanakwambia mafanikio ni kuwafunga thimba tuu bhaasi