Inonga ndiyo Mkongo pekee aliyeitwa Timu ya Taifa je, hawa Wengine wasioitwa ni Wakongo kweli?

Inonga ndiyo Mkongo pekee aliyeitwa Timu ya Taifa je, hawa Wengine wasioitwa ni Wakongo kweli?

Mayele ni kipenzi cha wafugaji wa Tanzania abaki ale ng'ombe wake.
 
Kwani kwenye timu ya Taifa safari hii wameitwa wachezaji wangapi kutoka timu yenu ya simba, kabla ya kukimbilia huko kwa akina Inonga?

Nakumbuka kwenye maandalizi ya mechi dhidi ya Uganda waliitwa wachezaji 9 kiasi cha CEO wenu kujisifia mitandaoni!
Wamebaki watatu; Kibwana Shomari, Dickson Job na Feisal
 
Bongo sijui ni ushamba yaani kila kitu kinataka kua ushindani sasa coach kaamua kuita wachezaji wanao fit kwenye mfumo wake ila kitu ambacho ni kawaida
 
Bongo sijui ni ushamba yaani kila kitu kinataka kua ushindani sasa coach kaamua kuita wachezaji wanao fit kwenye mfumo wake ila kitu ambacho ni kawaida
Wanaitwa wachezaji bora sio wanao fiti mmekusanya kikundi cha bendi ya congo halafu mnajiona mme win wakati wachezaji wenyewe ni free agent.
 
Wanaitwa wachezaji bora sio wanao fiti mmekusanya kikundi cha bendi ya congo halafu mnajiona mme win wakati wachezaji wenyewe ni free agent.
Hilo ndio kombe lenu, siku hizi mmekua watu wa vituko baada ya kuona kiwanjani pagumu
 
Pongezi nyingi kwa Klabu ya Simba kuweza kutoa Mchezaji wake ( Beki tegemeo ) Henock Inonga Baka na Mchezaji husika kwa kuweza Kuitwa hivi majuzi tu katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Congo DR.

Kuna Timu Moja nchini Tanzania ( kwa sasa nimeisahau ) imejaza Wakongo wengi kama Wanamuziki wa Zaiko Langa Langa na hapa nchini Tanzania Wanatamba, Wanatukuzwa na Wanasifiwa mno ila huko Kwao ( Congo DR ) wanaonekana si lolote wala chochote ila Mwenzao Henock Inonga Baka ndiyo anaonekana Lulu na anayejua Mpira kweli.

Tafadhali tunaomba tena Kujulishwa je, hao Wachezaji waliojazana katika hiyo Klabu tunaoambiwa ni Wakongo ( Bandeko Nangai ) ila huko Kongo katika Timu yao ya Taifa hawaitwi na wengine hata hawajawahi Kuitwa ni Wakongo kweli au?
Hao ni wakurya wa inchugu
 
Inonga anatuheshimisha sana.
Hii ni aibu club unayo jinasibu kua kubwa imeshindwa kupambania makombe sasa hivi inatafta furaha kwa vitu vidogo vidogo, kiatu cha Mpole, Hat trick ya Sopu, Kiatu cha Sacko, sasa hivi Inonga kuitwa timu ya Taifa haya ndio mafanikio yenu [emoji1751][emoji1751]
 
Ndio nasema uo ni uzululaji, Hauna tija Kwa mchezaji
Kwa hiyo unataka waitwe wachezaji 11 tu? Huu upuuzi wa Simba na Yanga unaendekeza tabia ya unafki, chuki na roho mbaya katika jamii yetu. Hatuwezi hata kupongezana pale mtu anapofanya vizuri na kupiga hatua katika maisha yake.
 
Back
Top Bottom