Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Kauli hiyo ameitoa alipotembelea shule ya mahitaji maalum ya Murugwanza ambapo alitoa pongezi kwa walimu kwa kazi nzuri wanayofanya ya kufundisha watoto hao
Mkaguzi Mfinaga amesisitiza kuwa watoto wenye mahitaji maalum wanaouwezo mkubwa wakiwezeshwa kielimu ambapo amewaomba wazazi kutilia maanani swala hilo ili kuwakomboa watoto hao kielimu ambapo alisema kuwa elimu kwa watoto hao ni ufunguo wa maisha.
Vilevile Mkaguzi huyo amesisitiza kuwa endapo mzazi ataacha kumpatia elimu mtoto wake mwenye ulemavu atambue kuwa amefanya ukatili huku akiweka wazi kuwa Jeshi la Polisi halito muonea muhari mzazi wa aina hiyo alisema Mkuu wa dawati la Jinsia na watoto Wilaya ya Ngara.