Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mzungu mliozugwa kuwa ni mungu wenu na wazungu?
Kaongea ukweli lakini.Jamaa kaalikwa badala azungumzie mambo ya msingi anaanza kuponda wakristo. Sasa kama anawahusudu si asilimu tu.
Ngoja Faiza aje ajibu....Why you don't know?
Mie sijaongelea 'yule mzungu' bali nimeongelea kuhusu Yesu Kristo ambaye ni Mungu. Huyo ndiye mwandaaji wa makao ya wateule wake huko mbinguni kusiko na kukulana.Nimekuuliza hivi;
Yule mzungu mliozugwa kuwa ni mungu wenu na wazungu?
Ni kweli mabikra 72 au zaidi, ama ni mbinu za watu kuchafua Uislamu?Siyo 72 tu, walidanagnya.
Huko hakuna hesabu, ukifikiria tu, unao.
Kimbembe kwenu sasa mnaoenda mbinguni, mtakulana kondoo na wachungaji.
Kwi kwi kwi teh teh teh.
Kumbe Wakristo sio maadui kwa Waislamu, sasa kwanini wanachinjwa na makundi yanayoitwa ya Kiislamu?Qur'an 5:82. Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Manasara (wakristo). Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao makasisi na wamonaki, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi. 82
...Kumbe Inspekta Mwenyewe kuwa ni 'Utani' TU !!! [emoji1] Pole Bibi !...Katika matukio yasiyo ya kawaida Tanzania mojawapo ni kama hili lililotokea Morogoro.
Nakuwachia mwenyewe ujionee nisitie yangu:
View attachment 2777547
Hizi ni sifa muhimu sana kwa mwanamke, hasa adabu na utii hawa wake zetu wa kiswahili ni karibu ziro kabisa....Bikra, heshima na adabu kwa mumewe.
Huyu shehe ndio yule aliyemuomba Allah amuue afande Sele[emoji23][emoji23][emoji23]Katika matukio yasiyo ya kawaida Tanzania mojawapo ni kama hili lililotokea Morogoro.
Nakuwachia mwenyewe ujionee nisitie yangu:
View attachment 2777547
nafukuzia toto la kipalestina kutoka ghazaKatika matukio yasiyo ya kawaida Tanzania mojawapo ni kama hili lililotokea Morogoro.
Nakuwachia mwenyewe ujionee nisitie yangu:
View attachment 2777547
Hayo yako, sisi tupo hapa tunasubiri ndoa ya afande na toto la Kiarabu.Huyu shehe ndio yule aliyemuomba Allah amuue afande Sele[emoji23][emoji23][emoji23]
Kisha akasema kunguni ufaransa ni jeshi la Allah[emoji23][emoji23]
Mbona wapo wengi sana Dar. Muone Sheikh Kishki tu, tena wapo hata wakristo.
we! huyu Mwandisi hata binti yake hakufai labda mjukuu wake!Madam naomba uwe mamamkwe wangu, niozeshe binti yako.