Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Polisi unaalikwa, badala ya kuongea kwa umakini na ku deal na jambo uliloalikwa, unaanza kutusi vibaya na kudharaulisha dini yake mwenyewe, huyu ni pumbafu sana, hana akili, busara hana kabisa, hapo ndio utajua nani anafaa kuwa kiongozi na nani hafai kuwa kiongozi…
Kwanza kwani wasichana wa kiarabu kwani wazuri kuliko waafrika? So hata kidogo hawawakuti kwa uzuri watoto wa kibantu, so ni upuuzi tu umeendelea hapo, wametoka nje ya mada na jambo la msingi la tukio husika.
Kwanza kwani wasichana wa kiarabu kwani wazuri kuliko waafrika? So hata kidogo hawawakuti kwa uzuri watoto wa kibantu, so ni upuuzi tu umeendelea hapo, wametoka nje ya mada na jambo la msingi la tukio husika.