Inspekta wa Polisi Morogoro apewa "Toto" la Kiarabu na Sheikh Kishki

Jamaa kaalikwa badala azungumzie mambo ya msingi anaanza kuponda wakristo. Sasa kama anawahusudu si asilimu tu.
Wewe ubangoja nini kusilimu?

Mwenzako kajizolea toto la Kiarabu.
 
Siyo 72 tu, walidanagnya.

Huko hakuna hesabu, ukifikiria tu, unao.

Kimbembe kwenu sasa mnaoenda mbinguni, mtakulana kondoo na wachungaji.

Kwi kwi kwi teh teh teh.
Ni kweli mabikra 72 au zaidi, ama ni mbinu za watu kuchafua Uislamu?

Nipe elimu mama.
 
Kumbe Wakristo sio maadui kwa Waislamu, sasa kwanini wanachinjwa na makundi yanayoitwa ya Kiislamu?
 
Huyu shehe ndio yule aliyemuomba Allah amuue afande Sele[emoji23][emoji23][emoji23]

Kisha akasema kunguni ufaransa ni jeshi la Allah[emoji23][emoji23]
Hayo yako, sisi tupo hapa tunasubiri ndoa ya afande na toto la Kiarabu.

Ushaanza wivu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…