Inspekta wa Polisi Morogoro apewa "Toto" la Kiarabu na Sheikh Kishki

Biblia nzima haijaelekeza jinsi ya kuchinja nyie mnajua kuua nguruwe na kula ila kuchinja bila muislamu hamuwezi mnakula kibudu.
 
Unaanzaje kuchinja wakati kuna uzao wa mtoto wa kijakazi (Ismail)? Ndiyo maana hatuchinji
Biblia nzima haijaelekeza jinsi ya kuchinja nyie mnajua kuua nguruwe na kula ila kuchinja bila muislamu hamuwezi mnakula kibudu.
Tunawajakazi wetu (waislamu) ambao hufanya kazi ya kuchinja.
Muislamu kula nguruwe ni dhambi ila km hakuna chakula kingine, ipo nguruwe tu anaruhusiwa kula. Nani alikuambia waislamu hawalii nguruwe? Ndiyo maana kipindi cha ramadhani mauzo ya nyama ya nguruwe hupungua.
Nishakula nguruwe na waislamu wengi tu tena siku ya ijumaa hawakosi kwenda msikitini
 
Ameongea ukweli wakristo dada zetu mbadilike
 
Ni kweli na huko peponi ndiyo kuna wanawake bikra 72 ambao Allah atawapa wanaume kwa ajili ya kufanya nao ngono kila siku.
Tuwaheshimu sana wanawake maana bila hao huko peponi hakutakuwa na maana kwasababu ndiyo wanaonogesha pepo kwa ngono kwa mabkira 72
 
Wewe ubangoja nini kusilimu?

Mwenzako kajizolea toto la Kiarabu.
Bibi katika mambo yote unaona "toto la kiarabu" ndio kitu cha maana? Hawa waarabu wanaongeza nini kulinganisha na wabantu?
 
Wanawake watarudishiwa bikira zao na kuwa miongoni mwa wanawake 72
 
Sio biashara ya nguruwe tu inapungua biashara zote zinapungua mauzo ila wakristo eti zumaridi ni mungu yaani huku akitokea muislamu akajiita mungu tunakata mapanga tunaenda kufukia shimoni endeleeni kutapeliwa na kudanganywa
 
Eti peponi unapewa mabikira 72 kuna watu wamechanganywa na waarabu wacha nicheke hahahhahaaaaaaaaaa ndiomana marekani anawagonga kila kukicha kwa ajiri ya kuwaza maujinga
 
Wanawake 72 watamshare mwanaume mmoja

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Nasikia papa ameruhusu muowane huko jinsia moja vipi upo tayari kwenda kwa mume wako mtarajiwa maana kanisani na papa amepitisha

1 Kor 6:9​

Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…