Instagram inatajirisha sana wadada wajanja. kwa biashara ya Niagize China nikununulie mzigo wako. Wadada wa 2000 wamepindua meza ya kupiga hela

Instagram inatajirisha sana wadada wajanja. kwa biashara ya Niagize China nikununulie mzigo wako. Wadada wa 2000 wamepindua meza ya kupiga hela

Vijana mnapenda utajiri wa haraka? Mtu achukue hela akupe bure? Kwa kazi gani special ambayo mwingine hawezi ifanya uifanye wewe na utajirike kwa nchi masikini kama bongo!
 
😄😄😄Ajiulizi mbona amna wanaume waliotajirika na iyo bzness.
Hapo sasa na kuna majamaa kama kina Chidi Mapenzi mawinger China kitambo lakini apeche alolo.

Leo kinakuja kibinti kimoja kinaonyesha hereni za jero jero halafu useme ndio kanunua Range.

Ukiona wanajifanya kutangaza mzigo wa kutaka kuagiziwa ujue msela aliempeleka huko yupo busy na mambo mengine kwa muda huo. Kinyume na hapo ni mwendo wa kuchezea mbupu mwanzo mwisho. Wakija huku wanajifanya walianza na mtaji wa buku kumbe mtaji papa.
 
🤣Kwamba hakuna mwanaume katajirika kupitia hiyo , ila una point ya msingi ila haina ushahidi
Vipo vidume miaka na miaka China. Kwa $150 kwa siku anakuonyesha machimbo ya mizigo.

Hao ndio walipaswa watajirike maana wanaishi huko huko. Lakini ukiwaangalia utawaonea huruma.
Na sio kwamba hawana jitihada ama wafujaji pesa ni kwamba theory ya kutegemea kutumwa na mtu kumnunulia mzigo kwa pesa yake haiwezi kukutajirisha hasa ukizingatia bei za vitu vyenyewe. Cheni za buku.

Hao kina dada wana biashara nyingine mbadala wa huko kuagiziwa na biashara yenyewe ni nyapu na upunda.

Mi don ya ngada inawapiga mbupu wakikinai wanafungashiwa ngada wanasafirisha na hapo ndio biashara ya 'niagizie china' inapoonekana inafanyika.
 
Wee mjinga kweli, yaan wee kazi yako iwe ni kuagizwa china Kwa gharama zangu??.

Hao ni Malaya wajanja.

hawa wanaenda china kwa gharama zao. wakifika kule wanatumia mbinu ya ushawishi watu. yaani wanaenda viwandani wanajirekodi wanapost bidhaa na bei zake kisha wanapost kwenye page zao. hii inawavutia watu walio bongo kuwatumia pesa wanunuliwe bidhaa fulani. kwenye bei ndio wanaweka cha juu chao. ama muda mwingine wanawanunulia maronya ya bei rahisi
 
Vipo vidume miaka na miaka China. Kwa $150 kwa siku anakuonyesha machimbo ya mizigo.

Hao ndio walipaswa watajirike maana wanaishi huko huko. Lakini ukiwaangalia utawaonea huruma.
Na sio kwamba hawana jitihada ama wafujaji pesa ni kwamba theory ya kutegemea kutumwa na mtu kumnunulia mzigo kwa pesa yake haiwezi kukutajirisha hasa ukizingatia bei za vitu vyenyewe. Cheni za buku.

Hao kina dada wana biashara nyingine mbadala wa huko kuagiziwa na biashara yenyewe ni nyapu na upunda.

Mi don ya ngada inawapiga mbupu wakikinai wanafungashiwa ngada wanasafirisha na hapo ndio biashara ya 'niagizie china' inapoonekana inafanyika.

hao wanaume wanajua kushawishi ? wana page zenye followers milioni tatu instagram ?

wanaoagiza vitu ni wanawake. wanawake wagumu sana kumtumia hela mwanaume awanunulie vitu maana wanajua wanaume ni matapeli. ila kwa wanawake wenzao wanawatumia hela maana wanajua wanawamudu . hii ndio mbinu ya hawa wadada kupiga hela. ni hela za wanawake wenzao
 
hawa wanaenda china kwa gharama zao. wakifika kule wanatumia mbinu ya ushawishi watu. yaani wanaenda viwandani wanajirekodi wanapost bidhaa na bei zake kisha wanapost kwenye page zao. hii inawavutia watu walio bongo kuwatumia pesa wanunuliwe bidhaa fulani. kwenye bei ndio wanaweka cha juu chao. ama muda mwingine wanawanunulia maronya ya bei rahisi
Mimi najitolea kukulipia nauli, malazi na misele ya machimbo yote ya China ya bei chee, uchague wewe tu kama unataka kutangaza electronics, chupi au urembo kwa mwezi mzima, yani siku 30.

Kazi yako wewe upost insta tu kuwaambia watu wakuagizie halafu uone utapata order ngapi na faida ya shilingi ngapi.

Ukitusua mbeleni utanirudishia gharama zangu ila ukifeli nitachukulia nimetoa sadaka.
 
hao wanaume wanajua kushawishi ? wana page zenye followers milioni tatu instagram ?

wanaoagiza vitu ni wanawake. wanawake wagumu sana kumtumia hela mwanaume awanunulie vitu maana wanajua wanaume ni matapeli. ila kwa wanawake wenzao wanawatumia hela maana wanajua wanawamudu . hii ndio mbinu ya hawa wadada kupiga hela. ni hela za wanawake wenzao
We jamaa kiboko. Haya bwana, umeshinda.
 
Habari wadau.

ukweli mchungu vibinti ya 2000 vijanja sana. hasa vilivyokuja na mbinu ya niagize china nikununulie mzigo wako.

Instagram na social media zingine zinatajirisha sana watu wanaojua kuzitumia kwa faida yao.

Mfano mdada wa miaka 23 anaejiita Kim china business. ameshusha mijengo ya nguvu Goba na salasala na kumiliki magari mazuri kwa mapato ya biashara ya niagize china

View attachment 2941107

Mdada mwingine graduate wa udsm mwaka 2022 Niffer Jovin. na yeye nae anashusha mijengo na kuendesha gari kali kwa mapato ya biashara ya niagize china nikununulie mzigo wako.

View attachment 2941115

Bila kusahau na wadada wengine kazaa wanaofanya hiyo biashara.

Funzo kubwa instagram na mitandao mingine inakupa ajira na maisha mazuri sana ukijua kuitumia kwa ujanja
Iga ufe
 
Habari wadau.

ukweli mchungu vibinti ya 2000 vijanja sana. hasa vilivyokuja na mbinu ya niagize china nikununulie mzigo wako.

Instagram na social media zingine zinatajirisha sana watu wanaojua kuzitumia kwa faida yao.

Mfano mdada wa miaka 23 anaejiita Kim china business. ameshusha mijengo ya nguvu Goba na salasala na kumiliki magari mazuri kwa mapato ya biashara ya niagize china

View attachment 2941107

Mdada mwingine graduate wa udsm mwaka 2022 Niffer Jovin. na yeye nae anashusha mijengo na kuendesha gari kali kwa mapato ya biashara ya niagize china nikununulie mzigo wako.

View attachment 2941115

Bila kusahau na wadada wengine kazaa wanaofanya hiyo biashara.

Funzo kubwa instagram na mitandao mingine inakupa ajira na maisha mazuri sana ukijua kuitumia kwa ujanja
Hao ni wadangaji hio kama cover up
Ela haipatikani kirahsi hivyo
 
Mimi najitolea kukulipia nauli, malazi na misele ya machimbo yote ya China ya bei chee, uchague wewe tu kama anataka kutangaza electronics, chupi au urembo kwa mwezi mzima, yani siku 30.

Kazi yako wewe upost insta tu kuwaambia watu wakuagizie halafu uone utapata order ngapi na faida ya shilingi ngapi.

Ukitusua mbeleni utanirudishia gharama zangu ila ukifeli nitachukulia nimetoa sadaka.

mimi ni mwanaume siaminiki kwa urahisi na pia sina followers milioni kwenye social media. hao wateja nawapata wapi. kazi hii mpe mwanamke mwenye followers milioni. awe na ofisi kalii Dar es salaam ambapo wateja watakuwa wanaenda kulipia oda zao na huyo mwanamke na afike china kwanza viwandani ndipo aanze matangazo ya kushawishi huku anaonesha bidhaa. hapo lazima apige hela.

NOTE : bila ofisi kali dar es salaam, na bila kufika china kwanza, na bila ya kuwa mwanamke, hii biashara ya uwinga china hupati mteja kwa urahisi.
 
utajiri wa haraka kivipi. kibiashara kuwa kwenye game mwaka mzima ama miaka miwili tena kwenye biashara ya manunuzi tu huwezi kusema amepata utajiri wa haraka.

ni ujanja tu wanaufanya hao wadada, maana ukipata watu 1000 wakakuagiza mizigo china ya laki moja kila mmoja maana yake utakusanya hela zao 100,000,000 ( milioni mia moja ),

ukafika china ukatumia milioni 60 kuwanunulia mzigo na kuwasafirishia na kuwapatia. maana yake trip moja umepiga faida ya milioni 40.

imagine kwa hiyo michezo ndani ya mwaka utakuwa umepiga trip ngapi ? na hapo laki moja nimeweka kima cha chini sana . hakuna mtu anaekuagiza mzigo wa laki moja. wengi wanalipa laki 5 ama milioni na kuendelea.
Wengi wao wanauza madawa ya kulevya hio ni cover up tu
Mimi kuna dada nimesoma nae primary ni punda wa madawa ya kulevya ila anabiashara yake ya kuzuga hapo instagram

Kipindi kikwete walikuwepo sana ila kipindi cha magufuli walipigwa pini wakapotea sahivi wamerudi kwa kasi tena
 
Back
Top Bottom