William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
-
- #181
- Wewe mburulazzz endelea kuandika ujinga wako inakaribia page 10 sasa imebaki moja tu niondoke hapa andika ujinga zaidi le mburulazzzz
Le Mutuz
- Sijawahi kusikia TBL, TIGO wanaingia mikataba mikubwa ya pesa na minyoo kama unavyosema ila UKAWA ndio huwa wanafanya hivyo, wewe umeamua kujiwkea kama mbwa ina maana akili yako ni sawa na huyo mbwa sasa leo unataka tena kuongelea baba yako na cv yake ya Mkwawa, wakati mimi nimesoma USA na BELGIUM unaona tofauti wewe mburulazzzz hahahahahahahhaha
Le Mutuz
Mbona huwa wanadhamini mpaka mbio za mbwa hujawahi ona?
Nani kasoma mkwawa?
Nimesoma university of Denver USA kwa hela za baba sio Kama wewe kima mzee uliekimbia CHILD SUPPORT USA na kuja kutomaswa minyama uzembe na watoto
- Mkuu kweli unategemea mimi nimchukulie serious mtu mwenye picha ya kichwa cha mbwa kweli kwenye profile yake si na mimi wenyee akili wataniona mwehu? hahahahahahahahahahahah, maisha ya watoto wangu hayakuhusu kama vipi mtafutie dada yako mume wachana na mimi mimi ngoma kubwa kaka, nina deal na multi million business Isntragram Party ni pesa mingi sana mkuu inahitaji akili kubwa sana sio kama yako ya kujiweka kama mbwa kwenye profile yako hahahahaha
Le Big Show
Usiumize kichwa na huyo jamaa ,mwambie akupe matokeo yake ya Kwiro.
Umemgeuza komedi
Hujui ni vibaya kucheka wababa wenye umri sawa na wastaafu??????
Hahahahahaha naona Lemutuz ndani ya nyumba!
- Mwanza nilienda kutafuta pesa sio kubadilisha nguo pesa huna wewe badilisha nguo sisi ngoja tutafute pesa I mean u celebrity bwana yaania wanakufuatilia mpaka nguo saafi sana niambie leo sijavaa nguo za jana yaani JF siku hizi tumejaza mburulazzzz wa ajabu wanaume wanaenda Mwanza kutafuta pesa wewe mtumzima na akili zako unakalia kufutilia nguo zao, kweli bongo ndio maana maendeleo hamna utaisoma tu wewe mburulazzz
Le Big Show
Hahahahahaha BADILI TABIA unanivunja mbavu..... lemutuz mkareeee mzeee wa mabebeez wewe hutaki kwenda kwenye party
Hahahahahaha BADILI TABIA unanivunja mbavu..... lemutuz mkareeee mzeee wa mabebeez wewe hutaki kwenda kwenye party
Sina Dada ambae hana mume ...
Dada zangu wote wameolewa na wanaume wanaojiheshimu na wenye maisha yao standard sio Kama wewe mwenye mwili Nyumba akili kimba unayehangaika na vi party kwa umri huo..
Yaani unavyotisha hata hupendezi kujichomeka kwa vijana we kibabu koko....
Teh teh teh T-shirt ya starlet utaisoma namba mwaka huu mpaka unipeleke police namimi...
Yani ligi ya leo ni juicier than oscar pistorius trial.Nashushia tu na pringles na kijoti cha nanasi
Hahaha mkuu kwa hiyo unataka kufungwa? Huyu jamaa hafungi mtu ana huruma sana ana samehe!
Huo msura Kama nyani....
MTU mzima kufanya mambo yakitoto haipendezi....
Huyo mavi ya kunifunga MTU Kama Mimi hana
hahahah Jamani watu mnamambo ...Binafsi namuadmire huyu Mutu kwa sababu hajali hatakaa afe na presha hata mseme nini :biggrin:...mwepesi kujibu halafu anajisifia vile vile :laugh:...kama Bi Khadija Kopa ......hongera Le Mbebs kama vipi ....Wajipange upya
- zimashafika page 10 chezeya Le Big Show wewe, the one and only Tanzania nzima hakunagaaz niambie nani anaweza kufikisha page 10 JF kama sio Le Big Show tu hahahahahahaha haya sasa naenda zangu you know!!
Le Mutuz
Hahahaaaaa,yaani JF raha sana mtu usipocheka una matatizo...hiyo picha nimecheka nikiwaza comments za humu...Hahaha mkuu kwa hiyo unataka kufungwa? Huyu jamaa hafungi mtu ana huruma sana ana samehe!