Instagram Party Tanzania Tour 2014 Mwanza Waandika Historia Watu 5,000 Wajitokeza Jembe ni Jembe

Instagram Party Tanzania Tour 2014 Mwanza Waandika Historia Watu 5,000 Wajitokeza Jembe ni Jembe

- Mwanza nilienda kutafuta pesa sio kubadilisha nguo pesa huna wewe badilisha nguo sisi ngoja tutafute pesa I mean u celebrity bwana yaania wanakufuatilia mpaka nguo saafi sana niambie leo sijavaa nguo za jana yaani JF siku hizi tumejaza mburulazzzz wa ajabu wanaume wanaenda Mwanza kutafuta pesa wewe mtumzima na akili zako unakalia kufutilia nguo zao, kweli bongo ndio maana maendeleo hamna utaisoma tu wewe mburulazzz

Le Big Show

Hee...me nlidhani tetesi kumbe kweli..!??

Basi uache uchafu we mbabaa...
 
Hahaha hapana aisee

Umri umekwendaa....

Haiwezekenani na umri huu wa kustaafu niende pati za watoto wa miaka 15...





Hahahahahaha BADILI TABIA unanivunja mbavu..... lemutuz mkareeee mzeee wa mabebeez wewe hutaki kwenda kwenye party


Nisije kuitwa boya bure na vitoto....
 
Last edited by a moderator:
Acha kumpaisha huyu bwana, Celeb wa wapi? Labda kwa mkewe!!!!



Sent from my iPhone using JamiiForums app


Ha ha ha Mkuu upo?

Huyu puto anafikiri watu humu wanamsifia toka moyoni kumbe wanamsanifu tu...
 
Hahaha hapana aisee

Umri umekwendaa....

Haiwezekenani na umri huu wa kustaafu niende pati za watoto wa miaka 15...








Nisije kuitwa boya bure na vitoto....


Ha ha ha jamani hilo puto au MTU?
 
Hahaha hapana aisee

Umri umekwendaa....

Haiwezekenani na umri huu wa kustaafu niende pati za watoto wa miaka 15...








Nisije kuitwa boya bure na vitoto....

Kwikwikwi hii picha imenivunja mbavu duuu
 
- zimashafika page 10 chezeya Le Big Show wewe, the one and only Tanzania nzima hakunagaaz niambie nani anaweza kufikisha page 10 JF kama sio Le Big Show tu hahahahahahaha haya sasa naenda zangu you know!!

Le Mutuz


Yaani babu unashabikia vitu vya kijinga Sana.....

Miaka 58 unashangilia kufikisha page 10 JF?

Hujisikii aibu kuongozana na kucheza na watoto kwenye hizo party??

Celebrity ungekimbia child support USA?
 
Kweli we babu zuzu kweli.

- Inaitwa kura bataz za ubatan kesho nimealikwa na macelebirty kibao Coco Beach nitakuwa VIP Lounge kama unaweza njoo uone tunavyokura batazzzzzz wewe kalia kulia lia unalia nini wewe sio maarufu sasa sio kosa langu hakuna party ya mburulazzz hapa mjini only celebirtiies hahahahahahahahaah

Le Big Show
 
Hilo domo ulivyorembua limekuwa Kama tumbua la bi kizee

Hahahaaaaaa...jamani utanivunja mbavuuuu....eti kama nini...?!!!!
Mwenyewe anaona katokelezeeeeeaaaaa....hahahaaaaa
 
- Inaitwa kura bataz za ubatan kesho nimealikwa na macelebirty kibao Coco Beach nitakuwa VIP Lounge kama unaweza njoo uone tunavyokura batazzzzzz wewe kalia kulia lia unalia nini wewe sio maarufu sasa sio kosa langu hakuna party ya mburulazzz hapa mjini only celebirtiies hahahahahahahahaah

Le Big Show

Hahahaha Mungu ni mwema
 
Back
Top Bottom