Instagram Party Tanzania Tour 2014 Mwanza Waandika Historia Watu 5,000 Wajitokeza Jembe ni Jembe

Instagram Party Tanzania Tour 2014 Mwanza Waandika Historia Watu 5,000 Wajitokeza Jembe ni Jembe

quote_icon.png
By Kim nana

Shoga nasikia Le Mbebez hajabadilisha Pensi kuanzia Dar-Mwanza-Dar....
Ama kweli huyu ni baharia wa nchi kavu.

- Mwanza nilienda kutafuta pesa sio kubadilisha nguo pesa huna wewe badilisha nguo sisi ngoja tutafute pesa I mean u celebrity bwana yaania wanakufuatilia mpaka nguo saafi sana niambie leo sijavaa nguo za jana yaani JF siku hizi tumejaza mburulazzzz wa ajabu wanaume wanaenda Mwanza kutafuta pesa wewe mtumzima na akili zako unakalia kufutilia nguo zao, kweli bongo ndio maana maendeleo hamna utaisoma tu wewe mburulazzz

Le Big Show
 
- Sijawahi kusikia TBL, TIGO wanaingia mikataba mikubwa ya pesa na minyoo kama unavyosema ila UKAWA ndio huwa wanafanya hivyo, wewe umeamua kujiwkea kama mbwa ina maana akili yako ni sawa na huyo mbwa sasa leo unataka tena kuongelea baba yako na cv yake ya Mkwawa, wakati mimi nimesoma USA na BELGIUM unaona tofauti wewe mburulazzzz hahahahahahahhaha

Le Mutuz


Mbona huwa wanadhamini mpaka mbio za mbwa hujawahi ona?

Nani kasoma mkwawa?

Nimesoma university of Denver USA kwa hela za baba sio Kama wewe kima mzee uliekimbia CHILD SUPPORT USA na kuja kutomaswa minyama uzembe na watoto
 
Mbona huwa wanadhamini mpaka mbio za mbwa hujawahi ona?

Nani kasoma mkwawa?

Nimesoma university of Denver USA kwa hela za baba sio Kama wewe kima mzee uliekimbia CHILD SUPPORT USA na kuja kutomaswa minyama uzembe na watoto

Usiumize kichwa na huyo jamaa ,mwambie akupe matokeo yake ya Kwiro.
 
- Mkuu kweli unategemea mimi nimchukulie serious mtu mwenye picha ya kichwa cha mbwa kweli kwenye profile yake si na mimi wenyee akili wataniona mwehu? hahahahahahahahahahahah, maisha ya watoto wangu hayakuhusu kama vipi mtafutie dada yako mume wachana na mimi mimi ngoma kubwa kaka, nina deal na multi million business Isntragram Party ni pesa mingi sana mkuu inahitaji akili kubwa sana sio kama yako ya kujiweka kama mbwa kwenye profile yako hahahahaha

Le Big Show


Sina Dada ambae hana mume ...

Dada zangu wote wameolewa na wanaume wanaojiheshimu na wenye maisha yao standard sio Kama wewe mwenye mwili Nyumba akili kimba unayehangaika na vi party kwa umri huo..
Yaani unavyotisha hata hupendezi kujichomeka kwa vijana we kibabu koko....

Teh teh teh T-shirt ya starlet utaisoma namba mwaka huu mpaka unipeleke police namimi...
 

Attachments

  • 1412693228907.jpg
    1412693228907.jpg
    51.6 KB · Views: 94
Last edited by a moderator:
- Mwanza nilienda kutafuta pesa sio kubadilisha nguo pesa huna wewe badilisha nguo sisi ngoja tutafute pesa I mean u celebrity bwana yaania wanakufuatilia mpaka nguo saafi sana niambie leo sijavaa nguo za jana yaani JF siku hizi tumejaza mburulazzzz wa ajabu wanaume wanaenda Mwanza kutafuta pesa wewe mtumzima na akili zako unakalia kufutilia nguo zao, kweli bongo ndio maana maendeleo hamna utaisoma tu wewe mburulazzz

Le Big Show

Hahahahaha noma sana
 
Sina Dada ambae hana mume ...

Dada zangu wote wameolewa na wanaume wanaojiheshimu na wenye maisha yao standard sio Kama wewe mwenye mwili Nyumba akili kimba unayehangaika na vi party kwa umri huo..
Yaani unavyotisha hata hupendezi kujichomeka kwa vijana we kibabu koko....

Teh teh teh T-shirt ya starlet utaisoma namba mwaka huu mpaka unipeleke police namimi...

Hahaha mkuu kwa hiyo unataka kufungwa? Huyu jamaa hafungi mtu ana huruma sana ana samehe!
 
Hahaha mkuu kwa hiyo unataka kufungwa? Huyu jamaa hafungi mtu ana huruma sana ana samehe!



Huo msura Kama nyani....

MTU mzima kufanya mambo yakitoto haipendezi....

Huyo mavi ya kunifunga MTU Kama Mimi hana
 
hahahah Jamani watu mnamambo ...Binafsi namuadmire huyu Mutu kwa sababu hajali hatakaa afe na presha hata mseme nini :biggrin:...mwepesi kujibu halafu anajisifia vile vile :laugh:...kama Bi Khadija Kopa ......hongera Le Mbebs kama vipi ....Wajipange upya
 
Huo msura Kama nyani....

MTU mzima kufanya mambo yakitoto haipendezi....

Huyo mavi ya kunifunga MTU Kama Mimi hana

Unajua huyu mbabu alikuwa chipukizi wakati wa TAA baadae akawa TANU Youth League lakini mpaka sasa hivi analazimisha yupo UVCCM. Haukubali uzee ila uzee haufichiki si unaona sura yake inavyobubujika.
 
hahahah Jamani watu mnamambo ...Binafsi namuadmire huyu Mutu kwa sababu hajali hatakaa afe na presha hata mseme nini :biggrin:...mwepesi kujibu halafu anajisifia vile vile :laugh:...kama Bi Khadija Kopa ......hongera Le Mbebs kama vipi ....Wajipange upya

- zimashafika page 10 chezeya Le Big Show wewe, the one and only Tanzania nzima hakunagaaz niambie nani anaweza kufikisha page 10 JF kama sio Le Big Show tu hahahahahahaha haya sasa naenda zangu you know!!

Le Mutuz
 
- zimashafika page 10 chezeya Le Big Show wewe, the one and only Tanzania nzima hakunagaaz niambie nani anaweza kufikisha page 10 JF kama sio Le Big Show tu hahahahahahaha haya sasa naenda zangu you know!!

Le Mutuz

Hhhaaaaa noumaa sanaaa
 
Hahaha mkuu kwa hiyo unataka kufungwa? Huyu jamaa hafungi mtu ana huruma sana ana samehe!
Hahahaaaaa,yaani JF raha sana mtu usipocheka una matatizo...hiyo picha nimecheka nikiwaza comments za humu...
 
Back
Top Bottom