Instagram Party Tanzania Tour 2014 Mwanza Waandika Historia Watu 5,000 Wajitokeza Jembe ni Jembe


Hee...me nlidhani tetesi kumbe kweli..!??

Basi uache uchafu we mbabaa...
 
Hahaha hapana aisee

Umri umekwendaa....

Haiwezekenani na umri huu wa kustaafu niende pati za watoto wa miaka 15...





Hahahahahaha BADILI TABIA unanivunja mbavu..... lemutuz mkareeee mzeee wa mabebeez wewe hutaki kwenda kwenye party


Nisije kuitwa boya bure na vitoto....
 
Last edited by a moderator:
Acha kumpaisha huyu bwana, Celeb wa wapi? Labda kwa mkewe!!!!



Sent from my iPhone using JamiiForums app


Ha ha ha Mkuu upo?

Huyu puto anafikiri watu humu wanamsifia toka moyoni kumbe wanamsanifu tu...
 
Hahaha hapana aisee

Umri umekwendaa....

Haiwezekenani na umri huu wa kustaafu niende pati za watoto wa miaka 15...








Nisije kuitwa boya bure na vitoto....


Ha ha ha jamani hilo puto au MTU?
 
Hahaha hapana aisee

Umri umekwendaa....

Haiwezekenani na umri huu wa kustaafu niende pati za watoto wa miaka 15...








Nisije kuitwa boya bure na vitoto....

Kwikwikwi hii picha imenivunja mbavu duuu
 
- zimashafika page 10 chezeya Le Big Show wewe, the one and only Tanzania nzima hakunagaaz niambie nani anaweza kufikisha page 10 JF kama sio Le Big Show tu hahahahahahaha haya sasa naenda zangu you know!!

Le Mutuz


Yaani babu unashabikia vitu vya kijinga Sana.....

Miaka 58 unashangilia kufikisha page 10 JF?

Hujisikii aibu kuongozana na kucheza na watoto kwenye hizo party??

Celebrity ungekimbia child support USA?
 
Kweli we babu zuzu kweli.

- Inaitwa kura bataz za ubatan kesho nimealikwa na macelebirty kibao Coco Beach nitakuwa VIP Lounge kama unaweza njoo uone tunavyokura batazzzzzz wewe kalia kulia lia unalia nini wewe sio maarufu sasa sio kosa langu hakuna party ya mburulazzz hapa mjini only celebirtiies hahahahahahahahaah

Le Big Show
 
Hilo domo ulivyorembua limekuwa Kama tumbua la bi kizee

Hahahaaaaaa...jamani utanivunja mbavuuuu....eti kama nini...?!!!!
Mwenyewe anaona katokelezeeeeeaaaaa....hahahaaaaa
 

Hahahaha Mungu ni mwema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…