Instagram Party Tanzania Tour 2014 Mwanza Waandika Historia Watu 5,000 Wajitokeza Jembe ni Jembe

Mungu nijaalie niwe na moyo kama wa le supa baharia hata nitukanwejeee nione ni kichina tuuuu uwiiiiii
 
Mungu nijaalie niwe na moyo kama wa le supa baharia hata nitukanwejeee nione ni kichina tuuuu uwiiiiii

Mi namkubali kwa kuwa at least ujinga na kutojitambua kwake kunamwingizia pesa. Na nafikiri pia hana presha bz he knows wht is doing.
 
Hahahahaha Moyo wa lemutuz ni wa aina yake ndio ujue mungu ni wa ajabu sana!

Huu moyo angebandikiwa warumi sasa hivi tungekua tunakula ubuyu tu,anatuchangamcha bana siku iende maana warumi hayupoo acha tucheke na le supa baharia hatakagi shida na mtu
 
Last edited by a moderator:
Huu moyo angebandikiwa warumi sasa hivi tungekua tunakula ubuyu tu,anatuchangamcha bana siku iende maana warumi hayupoo acha tucheke na le supa baharia hatakagi shida na mtu

Ha ha ha binamu kweli apewe moyo km Wa huyu Mtambo maana anachezea ban sana
 
Last edited by a moderator:
Mi namkubali kwa kuwa at least ujinga na kutojitambua kwake kunamwingizia pesa. Na nafikiri pia hana presha bz he knows wht is doing.

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Le Big Show + Super Star Cathy live!!
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Huu moyo angebandikiwa warumi sasa hivi tungekua tunakula ubuyu tu,anatuchangamcha bana siku iende maana warumi hayupoo acha tucheke na le supa baharia hatakagi shida na mtu

Tatizo warumi sio mtu wa kupuuza! Angekuwa kama lebaharia ingekuwa vema! Naona lebaharia kateka jukwaa hahahaha
 
Last edited by a moderator:
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Le Big Show + Super Star Cathy live!!
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Le big show we mkareeee huko na mtoto mkareee
 
Ha ha ha binamu kweli apewe moyo km Wa huyu Mtambo maana anachezea ban sana

- Anachezea ban kwa sababu hatengenezi pesa na this game, I make money tena in tons wamenifundisha the Americans namna ya kusimamia your interest hata kama kuna nini you just look and stand for your interest, mimi natengeza pesa hapa na kwenye mitandao kwa ujumla, ninafanya Instagram Party ni kwa sababu ya kuwepo kwangu sehemu kama hizi ndio maana watu wanakuja,

- Safari ya kwenda MWanza ilikuwa ni shiderr kuanzia nilipotokea Uwanja wa Ndege hapa Dar wananchi wakavamia desk la Fastjet wengi wanataka picha gueas what wananiambia tunakujua from Facebook, Isntagram na JF, ikabidi wafanyakazi wa FaSTJET WANIPITISHE KWA milango ya nyuma nyuma mpaka ndani ya ndege, kufika Mwanza yale yale ni vurugu wananchi wanataka picha, sasa kuja kuingia ukumbini ni balaaa from Saa tano usiku mpaka saaa 10 ninapiga picha na wananchi, from there ikawa moja kwa moja kwenye ndege ndio maana nilipofika tu moja kwa moja beach kulala,


- Now ,mimi ninajua kwamba hili ni shamba langu la bibi wewe hujui na huna lolote kazi kuja kujaza tu kurasa halafu mimi nikuksairikie nitakuwa mwendawazimu kwa sababu nikikukasirikia ninajiharibia mwenyewe, Makampuni yote makubwa hapa bongo yana wawakilishi wao wanapitia sehemu zote hizi wananiona, niamini sasa tukiwa tunabishana hapa nimepigiwa simu na mtu aliyeniambia ananiona hapa JF ananialika kesho Osterbay kwenye bash la Celeberities sasa mimi ninawezaje kutukana hapa ni wenda wazimu, sasa unamtukana mtu hapa kwa jina lako la bandia ili iwe nini? Kama umesoma Shule vizuri unatakiwa kuelewa kwamba binadam anayetukana sana matusi ni sawa na debe tupu huwa lina kelele sana,

So people kila mtu akili zake kichwani,

Le Mutuz
 
Tatizo warumi sio mtu wa kupuuza! Angekuwa kama lebaharia ingekuwa vema! Naona lebaharia kateka jukwaa hahahaha

Huyo madongo yanampiga Sana na anaumia tu sema ndo vile Mtambo Wa mavi
 
Last edited by a moderator:
Huyo madongo yanampiga Sana na anaumia tu sema ndo vile Mtambo Wa mavi

- Kwa kweli huna shule wala ustaarabu maana maneno yote mpaka utumie maana yake kichwa chako hakina maneno mengi ya kuzungu ya kishule duh!! Sasa ndio ukasikirike na mtu kama huyu kisa ni kucheka tu hahahahahahaha le mburulazzz

Le Mutuz
 


Ha ha we shombo akupapatikie nani? Labda hao watoto Wa haramu...

Kama we maarufu mbona ulishindwa ubunge Wa EAC?

Nani anakutukana? Kukwambia ukweli ni kutukanwa?

We kubwa zima bichwa kubwa akili ndogo Kama punje ya haradali....

Nina hakika tukipasua bichwa hilo tutatoa usaha unaojaa kisado....

Yaani 58 years...mkubwa kuliko Obama unawaza u celebrity?

Mbona picha za kuchezewa huweki hapa????????
 
Mbona huwa wanadhamini mpaka mbio za mbwa hujawahi ona?

Nani kasoma mkwawa?

Nimesoma university of Denver USA kwa hela za baba sio Kama wewe kima mzee uliekimbia CHILD SUPPORT USA na kuja kutomaswa minyama uzembe na watoto

Mkuu na wewe weka degree Zako za mbelez Hapa tuzione you kno,mnanifurahisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…