- Anachezea ban kwa sababu hatengenezi pesa na this game, I make money tena in tons wamenifundisha the Americans namna ya kusimamia your interest hata kama kuna nini you just look and stand for your interest, mimi natengeza pesa hapa na kwenye mitandao kwa ujumla, ninafanya Instagram Party ni kwa sababu ya kuwepo kwangu sehemu kama hizi ndio maana watu wanakuja,
- Safari ya kwenda MWanza ilikuwa ni shiderr kuanzia nilipotokea Uwanja wa Ndege hapa Dar wananchi wakavamia desk la Fastjet wengi wanataka picha gueas what wananiambia tunakujua from Facebook, Isntagram na JF, ikabidi wafanyakazi wa FaSTJET WANIPITISHE KWA milango ya nyuma nyuma mpaka ndani ya ndege, kufika Mwanza yale yale ni vurugu wananchi wanataka picha, sasa kuja kuingia ukumbini ni balaaa from Saa tano usiku mpaka saaa 10 ninapiga picha na wananchi, from there ikawa moja kwa moja kwenye ndege ndio maana nilipofika tu moja kwa moja beach kulala,
- Now ,mimi ninajua kwamba hili ni shamba langu la bibi wewe hujui na huna lolote kazi kuja kujaza tu kurasa halafu mimi nikuksairikie nitakuwa mwendawazimu kwa sababu nikikukasirikia ninajiharibia mwenyewe, Makampuni yote makubwa hapa bongo yana wawakilishi wao wanapitia sehemu zote hizi wananiona, niamini sasa tukiwa tunabishana hapa nimepigiwa simu na mtu aliyeniambia ananiona hapa JF ananialika kesho Osterbay kwenye bash la Celeberities sasa mimi ninawezaje kutukana hapa ni wenda wazimu, sasa unamtukana mtu hapa kwa jina lako la bandia ili iwe nini? Kama umesoma Shule vizuri unatakiwa kuelewa kwamba binadam anayetukana sana matusi ni sawa na debe tupu huwa lina kelele sana,
So people kila mtu akili zake kichwani,
Le Mutuz