William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
- #101
Le mkareez katupia uzi afu kautelekeza, naona bado atakuwa anakula mavuno ya Insta Party
- hahahahahaahaha wewe umenivunja mbavu U know hahahahahahaha
Le Big Show
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Le mkareez katupia uzi afu kautelekeza, naona bado atakuwa anakula mavuno ya Insta Party
- Mkuu worry not, tunaenda Mbeya, Iringa, Dodoma, Morogoro and then Dar Nov 1 itakuwa VIP tu at Golden Jubilee and then Boxing Day Dar tutakuwa kwenye ukumbi wa $10,000 wa Mlimani City kumaliza Mwaka so stay tuned!!
Le Big Show
Why VIP le big show? Huoni kama wasio VIP watajiskia vibaya? Unatumia vigezo gani kumclassify mtu as a VIP? Na instagram inatumiwa na watu wote.
Hapo nakubaliana na wewe, kabla ya shule za kata na Private school tulitegemea shule za jumuiya ya wazazi kwa ajili ya vijana ambao hawakuchaguliwa kwenda secondary shule za serikali, sasa kwa jumuiya hii kuwa chini ya wav hopeless kama Bulembo na Le Mutuz watauwa hata hizi shule ambazo zilijengwa na kina Marehemu Chibwae, Mzee Jongo na wengineo, maana swala la wao kujenga walahu shule moja sahau wanawaza beach party tu.
- Mkuu worry not, tunaenda Mbeya, Iringa, Dodoma, Morogoro and then Dar Nov 1 itakuwa VIP tu at Golden Jubilee and then Boxing Day Dar tutakuwa kwenye ukumbi wa $10,000 wa Mlimani City kumaliza Mwaka so stay tuned!!
Le Big Show
Tena huyo Bulembo simpendiiiii, aligombea udiwani huku kwetu watu wakamlia hela halafu wakampiga chini...Akashinda Diwani wetu wa chadema, yani alivyokuwa na laana kaenda kumtengenezea zengwe diwani wetu hadi leo hakai ofisini...Simpendi ana mashauzi tena naomba 2015 aje tena tumuonyeshe kuwa watu hatuangalii chama tunaangalia mtu ziliyemtimia kichwani....
Sijui huko umoja wa wazazi wanachaguana kwa vigezo gani...
- Mkuu usiwe na wasi wasi mbona kama ume panic, tuliza boli wakati ukifika utaelezwa Details so tulia kwanza mtuwangu haya mambo sio mchezo U know!!
Le Mutuz
Sijaomba details,nimeuliza swali.umeshindwa kujibu.
Acha ujinga kima wewe ukue basi unatia aibu kwa limwili lako kubwa na umri mkubwa but unafanya mambo yasifaa Kama usaha...
Achilia mbali kujenga mpya...nyingi zimekufa nyingine hali mbaya kabisa....
Dunia inatushangaa kuwa na watu mufilisi Kama akina Lemutuz miaka 55 anahangaika Ku organize shenzi parties badala ya maendeleo...
- Maendeleo ni pamoja na wananchi kuwa na fursa za kutengeneza pesa kwa kufanya Instagram Party, au maendeleo kwako ni nini mkuu sana? hahahahahahah
Le Big Show
Acha ujinga kima wewe ukue basi unatia aibu kwa limwili lako kubwa na umri mkubwa but unafanya mambo yasifaa Kama usaha...
- Ok next time sema hivi wewe una miaka 15 umefanya masmbo makubwa like 1, 2, 3 then ndio utakuwa na authority ya kuuliza mtu kama mimi mwenye miaka 65 kama Pinda kwa nini siko kama wewe yaani le mburulazzzzz hahahahahahaha
Le Mutuz
- Maendeleo ni pamoja na wananchi kuwa na fursa za kutengeneza pesa kwa kufanya Instagram Party, au maendeleo kwako ni nini mkuu sana? hahahahahahah
Le Big Show
Wat up ma nigga....
Mkubwa na wanawe
Umri huo kubali ukubwa unatia aibu kima mzee
Nimefanya makubwa tu sina haja ya kuyatangaza hapa...
Nakupa ukweli badilika umri wako ni wakufanya mambo mazito ktk jamii sio kufukuzana na watoto ktk party mshenzi Kama hizo
- yoyoyoyoyoy worup maan! Wasap maan the Mwanza joint was a baang U know it was like daaamn man this is wasap maana le mabebez U know we just did what we know best U know 5,000 poeople at hand U know I love it wasaap maan?
Le Mutuz