Instagram: Vita kati ya Lulu na Gigy Money dhidi ya Mwanamuziki TEKNO

Status
Not open for further replies.
99% Lulu kaliwa na Tekno,na alivyomganda ni shiiidah.
Hadi nywele katengeneza kwa kuiga stlyle na model wa kwenye video ya Duro!
Hahajaaa wee nawe upo dipuuu, tuwekee basi yale makumbatio, manake ulikiwa ni mwendo wa ziro distance, heee alafu kumbe nipo nyuma ya kalenda this much, kumbe duro ni ya huawei? Me nilijia ni ya wizkd, naupenda hatareeee
 
Hahajaaa wee nawe upo dipuuu, tuwekee basi yale makumbatio, manake ulikiwa ni mwendo wa ziro distance, heee alafu kumbe nipo nyuma ya kalenda this much, kumbe duro ni ya huawei? Me nilijia ni ya wizkd, naupenda hatareeee
Makumbatio mbona yapo?Subiri nikipata muda nitakuwekea.

Uwiiiiii wewe nae umemganda huyo mondi tu hufuatilii wengine,pole sana.
 
Makumbatio mbona yapo?Subiri nikipata muda nitakuwekea.

Uwiiiiii wewe nae umemganda huyo mondi tu hufuatilii wengine,pole sana.
Hahahahahaaaaaa hapana hapa kati nilibanwa na familia hivyo network ya kwenye social ikaweka chenga chenga, alafu umeona gig nae kamjibu tecno, eti kamwambia anamkana nini na wakati kamdangia, kwanza hakumkuna vzr kwani anakibamia uuuuwiiii i can't deal!
 
Na tekno pia maana kampost kabisa...! Nilishawai kujiuliza hivi kwanini huyo Gigy asidhibitiwe maana anapenda kujidhalilisha sana lakini naona kafunzwa na manager
Ametoka kuhojiwa na soudy brown now kwenye Uheard..Ukimsikiliza tu utajua huyu ni hamsini toa mia
 
Kabla ya yote miss you sana jirani yangu,siku hizi huku amani tele hakuna tena mabifu kama zamani.
Happy new year...

Lulu alifanya yake mwenzangu,kujitekenya na kucheka mwenyewe huko.
Missing u too mkongwe mwenzangu, umeonaaaeee, kila kitu na zama zake u know, bifu tamu ni lile lenye time bind lakini mabifu ya nenda rudi mpaka mnaamua kuathimisha jubileee ya miaka 25 ya bifu halinogi, tuendelee na ubuyu manake unakaugwadu flani hivi amazing!
 
Ametoka kuhojiwa na soudy brown now kwenye Uheard..Ukimsikiliza tu utajua huyu ni hamsini toa mia
Imekuwaje mkuu?Wengine tumepitwa.....
Weka japo maswali na majibu machache
 
Inashangaza mtoto wa kike kung'ng'ania kuwa kapigwa mti,hii ni aibu sana.
Sijui hawa wenzetu wanatazamana vipi na baba zao!
 
Hahahahaaa hivi maini ya mbuzi yakoje?
Ngoja nifuatilie hili.
Hahaahah.....maini ya mbuzi yametepeta.
Si ile picha aliyovaa sijui bukta sijui chupi afu kaingiza mkono kashika vuzi zile....basi huko kiuchi kimetokezea mpaka nje ya bukta lake.
ila shoga kabarikiwa upana na kina cha uchi
 
Imekuwaje mkuu?Wengine tumepitwa.....
Weka japo maswali na majibu machache
Anakwambia ye mtt wa kike so kugongwa ni kitu cha kawaida..
kuhusu kuitwa malaya na kujirahisisha..anasema karibu kila mwanamke ni malaya wanatofautiana dau tu..So kama mtu amefika dau kuvua chupi kwake sio ishu...Na mwisho wa siku ye hajapoteta chochote mana amekula mkwanja na hao jamaa papuchi hawajaondoka nayo wala kuacha chata..Still ye anadunda...Na kwa maelezo yake inaonekana Techno na Meneja wake wote wamepiga
 
Ooops,ama kweli kazi ipo....
BTW,umetisha sana,umekariri interview nzima?
Hahahahahaaa
 
Uwiiiiii eti tuadhimishe miaka 25 ya bifu...
Hahahahaa Paula bwana?
Tupige umbea wetu kama zamani mwenzangu!
 
Basi sawa, wakati sisi huku tunaona aibu, mwenzetu anaona alitushua deal la maana over that nyt
 
Ooops,ama kweli kazi ipo....
BTW,umetisha sana,umekariri interview nzima?
Hahahahahaaa
Mkuu hivyo ni vichache tu..interview kama ya dk 4 hivi..Ametapika sana
 
Ooops,ama kweli kazi ipo....
BTW,umetisha sana,umekariri interview nzima?
Hahahahahaaa
Hahahahaaaaa mwenyewe nimempenda alivyoshusha mashairi ya interview, hawa ndio wakukaa nao kwenye mtihani
 
WANAWAKE WEEENGI WA NAOONEKANA LUNINGANI SIJUI WASANII WA VIDEO SIJUI FILAMU NI MALAYA KULIKO WA PALE KONA BAR MAMAMAE ZAO...

USHUZI USHUZI TUU
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…