Instagram: Vita kati ya Lulu na Gigy Money dhidi ya Mwanamuziki TEKNO

Instagram: Vita kati ya Lulu na Gigy Money dhidi ya Mwanamuziki TEKNO

Status
Not open for further replies.
Screenshot_2016-01-05-15-50-41.png
 
Uwiiiiii eti tuadhimishe miaka 25 ya bifu...
Hahahahaa Paula bwana?
Tupige umbea wetu kama zamani mwenzangu!

Ndo mana kule juu nilisema....Muna anaweza akawa ameshika huu usukani.
Anayaweza ujue
Screenshot_2016-01-05-16-40-51.png
 
Anakwambia ye mtt wa kike so kugongwa ni kitu cha kawaida..
kuhusu kuitwa malaya na kujirahisisha..anasema karibu kila mwanamke ni malaya wanatofautiana dau tu..So kama mtu amefika dau kuvua chupi kwake sio ishu...Na mwisho wa siku ye hajapoteta chochote mana amekula mkwanja na hao jamaa papuchi hawajaondoka nayo wala kuacha chata..Still ye anadunda...Na kwa maelezo yake inaonekana Techno na Meneja wake wote wamepiga
Najiskia aibu sana kwa haya maelezo!! Ndio mana wadada wanatoaga mimba mana mbegu zingine ni bora zife kabla hazijamea loh!
 
Kitu ambacho nimeona ukitaka kuwakamata vimada wa hapa Bongo toa singo yako kali alafu ipate airtime ya kutosha kisha tulizana utawakomba mpaka mguu wa tatu ulegee.
 
Sasa huyo gigy si bora avue nguo akae uchi round about ya msimbazi kariakoo ili agongwe vizuri kama anafikiri kut***bwa ni sifa maana nimesikia interview yake na Soudy brown inatia aibu
 
Ndo mana kule juu nilisema....Muna anaweza akawa ameshika huu usukani.
Anayaweza ujue
View attachment 315015
Hivi muna nae huwa nini nani hapa Mjini naonaga tu ni bibi mmoja ambae hajielewi badala atulie alee wajukuu anahangaika kupost matege yake instagram mfupii kama kikombe anajikuta ana uchungu na lulu kumzidi mama lulu mwenyewe
 
Gigy Money akapimwe akili,kusema hadharani kwamba amekwichikwichi na Huawei na Manager wake kwa pamoja kweli upstairs ni zero pia amesema wazi kwamba wote hawajajaliwa mandingo yaani full mabamia huawei na tekno wake.
 
Hivi muna nae huwa nini nani hapa Mjini naonaga tu ni bibi mmoja ambae hajielewi badala atulie alee wajukuu anahangaika kupost matege yake instagram mfupii kama kikombe anajikuta ana uchungu na lulu kumzidi mama lulu mwenyewe

Huyu Muna ni muuza ngada...aliolewa na Bw. Peter ndo wakazaa hako katoto unakokaona.
Muna kwa upekepeke wake, akamuendea mumewe kwa Kalumanzira kumroga ili asifurukute mbele yake, dawa imetiki....anamchezea shere.

Katika pitapita...Muna akakutana na Kalala Jr....mapenzi yakawa moto moto....mume hathaminiwi tena, limbwata limemkolea.
Unaambiwa majirani zake wanasema, Maimuna anaweza akamleta Kalala nyumbani tena chumbani kwenye kitanda cha mumewe na waka-do.

Muna alivyoona majirani wamezidi upekepeke....akahama kwake, sa hivi anakula bata na Kalala....nae Kalala kafata pesa tu, maana mumewe Muna nasikia anazo...anampa Muna, Muna anampa Kalala na maisha yanasonga.
Basi kaka yako Kalala hulo Insta hapatoshi....tukila....Muna, tukinya ....Muna, tukikojoa....my wife.
Na sura yake kama ya Dida Shaibu
Screenshot_2016-01-05-17-17-16-1.png
Screenshot_2016-01-05-17-17-08-1.png


Na wengine wanadiriki kutoa pongezi za kukua kwa mtoto kwa Kalala Jr, wakati anaehangaika ni Peter
Ona comment ya mashoga wa Kalala, *****, Miss you son......nyoooooo, Son wa Nyokwe
Screenshot_2016-01-05-17-24-49-1.png
 
Last edited:
Zaidi ya aibu!
Imefikia mahali watu maarufu wakija tz wanawaza papuchi za bure kuliko wanavyofuata.
Ref. Mboni Masimba na Etoo + Fally Ipupa.
Mh......mbon aliliwa papuchi bure na etoo plus ipupa?
Its a disgrace on her and her children
 
Madame B poa atleast nimemjua make namuonaga tu sielewi hata ni nani kumbe ni jimama lililoshindwa ndoani, sasa ye bize kujifanya mshauri wa lulu kumbe yake yamemshinda
 
Ametoka kuhojiwa na soudy brown now kwenye Uheard..Ukimsikiliza tu utajua huyu ni hamsini toa mia

Amehojiwa juu ya nini tena? usiniambie juu ya kutamba kulalwa na wanaume.
 
Evelyn Salt said:
Madame B poa atleast nimemjua make namuonaga tu sielewi hata ni nani kumbe ni jimama lililoshindwa ndoani, sasa ye bize kujifanya mshauri wa lulu kumbe yake yamemshinda
Mjini kuna mengi sana....ila kupitia kwa marafikibzao, tutayajua mengi
 
Ngoja niseme ukweli ninaoujua long time sana kutoka kwa wajanja wa mjini wa home migomigo waliogonga wadada wa mujini...
Wadada wanaosifika kwa utamu na ujuzi wa mambo yetu yale na wasafi ni Lulu,Aunt Ezekiel na wengine wanamsifu wema pia.
Wanyonge tuwanyonge lakini ukweli wao tuuseme.
Wa kuona na waone,sitokaa nirudie kusema hili tena.
Kazi kwenu sasa.....

hivi kugonga dada wa mjini ni ujanja?? i think mjanja ni kigwangala ana mke mzuri, ni dokta, mbunge, naibu waziri na alikuwa candidate wa urais lol
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom