Instagram: Vita kati ya Lulu na Gigy Money dhidi ya Mwanamuziki TEKNO

Status
Not open for further replies.
Mlifikiri "show business" ni nini zaidi ya watu kujiuza miili na au utu wao?

Nnawashangaa nyinyi mnaowashangaa hao waliopo kwenye biashara hiyo.
Je hawa wanaoendaga kufanya show nje..kama kina shishi kiuno nao wanaendaga kufanya hivyo..???maana msanii hana hata meneja na wala lugha hajui..show anapataje???
 
Beautiful Onyinye Gigy money
 

Attachments

  • 1452067868113.jpg
    90.2 KB · Views: 977
  • 1452067887235.jpg
    46.7 KB · Views: 804
  • 1452067899055.jpg
    60.7 KB · Views: 382
Hawa mabinti wakifikisha miaka 35, basi watakua wakitembea nyuchi zinapiga makofi, si kwa ugawaji huu aisee.
 
Mlifikiri "show business" ni nini zaidi ya watu kujiuza miili na au utu wao?

Nnawashangaa nyinyi mnaowashangaa hao waliopo kwenye biashara hiyo.
Hahahahahaa bibie FaizaFoxy kumbe hadi huku upo?
Sijakuona siku nyingi sana.
 
mmmh hili jukwaa itabidi liitwe jukwaa la giggy,,kashamfunika mpaka Diamond kwa umaarufu...lakini huyu giggy ana mvuto flani hivi amazing...
 


Na huyu alipiga na cheko hadi...



Akiwa na aliyemwita mumewe Idirisi.
 
mmmh hili jukwaa itabidi liitwe jukwaa la giggy,,kashamfunika mpaka Diamond kwa umaarufu...lakini huyu giggy ana mvuto flani hivi amazing...
Wewe nae na ushamba wako wa Songea......
Ana mvuto gani yule?Hata kama ila sio kivile.
 
Huyo Gigy anapigwa hadi na mateja ijekuwa wewe?
Pesa yako tu mkuu.[/QUOT
Nifah!
Issue sio pesa, issue ni kukutana naye wapi, yeye si matawi! sisi tunaishia pale bar ya wazee ilala, yeye drink anapatia kule golden tulip. wapi na wapi Nifah weee
 
mmmh hili jukwaa itabidi liitwe jukwaa la giggy,,kashamfunika mpaka Diamond kwa umaarufu...lakini huyu giggy ana mvuto flani hivi amazing...
Mkuu,gigy kwako ana mvuto???duuh wallah simpatii picha girlfriend wako/mkeo!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…