Instagram: Vita kati ya Lulu na Gigy Money dhidi ya Mwanamuziki TEKNO

Status
Not open for further replies.
Ha ha ha maisha shost......umbea kidogo utafutaji kwa sana.Wakawaida tu sema kwa majizo mwenyewe alitaka hati miliki huyo ila pamemshinda.
Pamemshindia nini sasa? Kashindwa kuhudumia au lulu kumzidi kete hamisa
 
Ila hata hamisa alimuibia gola zuhura tena yeye akaamua kumzalia kabisa eeh huu ushost wa mjini acha kabisa,hakuna kutambulishana skuiz....
Mie sasahivi mashosti watashangaa michango ya harusi tu ghafla ndoa...there's too much nyakunyaku in townπŸ˜‰πŸ˜€
 
Zaidi ya aibu!
Imefikia mahali watu maarufu wakija tz wanawaza papuchi za bure kuliko wanavyofuata.
Ref. Mboni Masimba na Etoo + Fally Ipupa.
Tehe tehe, jirani siku hizi wakali wanajua sheria za mtandao hao. Kazi tunayo, dada zetu rahisi sana siku hizi.
 
Au ishu ya maji nini nmeona hamisa anasema mwanae ni muhimu zaidi ya maji, naona muna nae anamuita lulu maji ya kunywa right?
Hiyohiyo.
Ila asubuhi ya leo Muna kafuta aliyosema katika pic ya Lulu.
Kwani....ushoga wa Muna na Lulu mbona umekuja juu hivi?
Nini kipo nyuma ya Pazia?
Afu nasikia Lulu na Mo mahasidi kisa mmewe Mo....ya kweli haya?
 
Hiyohiyo.
Ila asubuhi ya leo Muna kafuta aliyosema katika pic ya Lulu.
Kwani....ushoga wa Muna na Lulu mbona umekuja juu hivi?
Nini kipo nyuma ya Pazia?
Afu nasikia Lulu na Mo mahasidi kisa mmewe Mo....ya kweli haya?
Naona caption imefutwa, MO ndo nani tena
 
So alijigongesha kujitia kimbele kupiga picha nae....Mmmh kwanza muvi ya wema na van vinker imeishia wap hatimae twazeeka yakhee tunaisubiri ati
Wewe unauliza ya Wema na Van Vicker usiulize ile ya Superstar aliyomleta hadi Omotola Jalade?
Nyie hakuna muigizaji bora wa kike Tz nzima kama Wema,maisha yake tu ni zaidi ya maigizo.
 
Wewe unauliza ya Wema na Van Vicker usiulize ile ya Superstar aliyomleta hadi Omotola Jalade?
Nyie hakuna muigizaji bora wa kike Tz nzima kama Wema,maisha yake tu ni zaidi ya maigizo.
Na kweli wana hatarii hawa....naomba wasiishie hapo waigize na vifo vyao
 
Hee! sasa hapo kinani ndo uko tayari kuwaumiza
Nisichoweza kukifanya ni kutoka na mwanaume ambaye mimi na mwanamke wake tunajuana.
Ikitokea bahati mbaya nimedate na mume wa mtu bila kujua basi nitaachana nae mara moja.
Inauma sana acha tu,sio kitu cha kupendeza kumuona mwanamke mwenzangu analia kisa mimi.
 
Hivi nifah unaona lakini ugomvi wa wake wa mzee yusuph.. mimi siwaelewi especially huyu mke mdogo chiku hata kuandika hajui ni nini lakini kuolewa mke wa pili afu anashindwa kuhimili kutwa ni mafumbo tu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ wanawake tuna kazi..
Hivi ujue haya mambo siyajui?Sipendi taarab basi hadi hawa watu huwa siwafuatilii.
Hebu nitajie a/c zao nianze kuwafuatilia mamito.
 
Nenda kachungulie kwa Munna.
Wanalianzisha beef kwa Hamisa
CC nifah
Jamani kwanini wanapenda kumchokoza Hamisa lakini?
Mie namuonaga mpole dada wa watu,bwana wamchukulie bado wamchokoze.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…