Instagram: Vita kati ya Lulu na Gigy Money dhidi ya Mwanamuziki TEKNO

Instagram: Vita kati ya Lulu na Gigy Money dhidi ya Mwanamuziki TEKNO

Status
Not open for further replies.
Mi ningepata ya sister Warumi ningeburudika sana, maana anahabari motomoto na anawafahamu watu balaa , kama ana PHD vile ya kuwafahamu watu
Muite tu dada atakuchamba hadi utapike, mbona Id yake ya instagram huwa anaitaja
 
Make anapete ya uchumba afu hapa tekno tena, ila lulu duh ndo maana huwa hawapost mabwana zake hata siku moja, hadi wakirest in peace ndo tunajua
Hahahahaaa awataje ataishije mjini?
Anao kibao na kila mmoja anadanganywa kuwa yeye ndio the one and only.
 
Yalaaaaa,kumbe kijana katafuna namna hii?
Kweli wabongo tupo juu sana kwa sasa.
Ma Icon wa taifa wekuwa wengi sana,kila pembe ya Afrika na dunia kiujumla tunajulikana.
Ha ha ha watakuwa wanakuja Tz kupiga hata show za bure lol tutegemee mafuriko ya show za wasanii wa nje kuna siku msanii atabakwa airport kwa mwendo huu
 
JF sijui kuna tatizo gani,mara picha zifunguke mara zisifunguke.
Hapa sijaona hii uliyoweka maana haifunguki.
Mbona mimi natumia tapatalk si pati tatizo hilo? Najua tatizo hilo lipo kwa wanao tumia Jf app na nilisha mueleza Max na invisible..! labda network...
 
Hahahahaaa yanachekesha na kusikitisha.
Ngoja tusubiri vijembe kutoka kwa jirani zetu wakenya.
Bila shaka tutapewa jina la 'WAPOKEA WAGENI'.
hahahahahah...sasa jirani hizo za wakenya tunazipata wapi?

Aisee kwani instagram kwa nini inakuwa inatumika hivi...yaaani upuuzi wote hua nasikia unatokeaga Instagram....why not Tweeter?
 
Mbona mimi natumia tapatalk si pati tatizo hilo? Najua tatizo hilo lipo kwa wanao tumia Jf app na nilisha mueleza Max na invisible..! labda network...
Ngoja nitumie Tapatalk nione kama nitaweza kuona.
 
hahahahahah...sasa jirani hizo za wakenya tunazipata wapi?

Aisee kwani instagram kwa nini inakuwa inatumika hivi...yaaani upuuzi wote hua nasikia unatokeaga Instagram....why not Tweeter?
Subiri wakenya wakitutukana tutazipata tu.
Twitter haiko vizuri bwana na nasikia matusi hawaruhusu sijui..
Mimi ilinishindaga zamaaaani.
 
Hapa natumia Tapatalk na nimeona picha vizuri tu.
Aiseee huyu Gigy mwendawazimu sana.
Yaah najua unatumia Tapatalk ndio maana nashangaa maana mimi sipatwi na tatizo hilo..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom