Intelijensia ya CHADEMA imefanikiwa kumuhadaa na kumuengua Tundu Lissu kwenye nafasi ya Umakamu Mwenyekiti na ile ya Mwenyekiti Taifa kisayansi sana

Nyie ndio mnafanya watu wapate mashaka zaidi kuamini kuwa kwenye uchaguzi wa CHADEMA ndani yake kuna mkono wa CCM unao muunga mkono Mbowe
 
nadhani inteligensia ya chadema kupitia makachero wake, wako makini mno kufanikisha jambo hili gumu lakini kwa urahisi kiasi hiki..

na tunapoelekea kwenye kumpata mgombea urais wa chadema, itakua rahisi mno kwasababu consideration kubwa itakua kwanza ni kwa viongozi,
Sasa Lisu sio kiongozi kwahiyo hakuna namna ambavyo anaweza kupata fursa hiyo, labda ahamie kwingineko

mass defections aloipanga imebuma kisayansi sana dah πŸ’
 
Chawa mwanasayansi wa kitaalam siyoπŸ˜€
 
Kijana, kuna nini mbaya aliyoifanya Lissu kwako na familia yako labda

Kwa maana huishi kumtaja, na Kwa malengo yako ulitamani jamaa awe futi 6 chini sio?

Hao akina Lissu wamekuwepo Tanzania tangu kuumbwa Kwa Ulimwengu

Ndiyo miaka ile kabla ya Uhuru, ndiyo walikuwa akina Kinjikitile Ngwale, Mangi Maleale, Chifu Mkwawa, Mtemi Milambo and likes

Baada ya Uhuru ndiyo wamekuwepo akina Christopher Mtikila na hao akina Lissu

Kwahiyo hata baada ya wewe kuondoka hapa Duniani, ujue hao watu wataendelea kuwepo
 
Wacha weee!
 
Nyie ndio mnafanya watu wapate mashaka zaidi kuamini kuwa kwenye uchaguzi wa CHADEMA ndani yake kuna mkono wa CCM unao muunga mkono Mbowe
mashaka ya nini kwenye ukweli bayana kama huu gentleman?

vyama vingine vina utaratibu wao na mambo yao. Lakini leo nazungumzia chadema tu kuelekea uchaguzi wa ngazi ya TAIFA .

Hata hivyo,
ni muhimu zaidi kumuamini Mungu Pekee, na itakusaidia sana kuondokana na mashaka ya sasa na yajayo πŸ’
 
Chawa mwanasayansi wa kitaalam siyoπŸ˜€
Gentleman,
mambo haya ya kibobevu yanahitaji utulivu na umakini wa kiwango cha juu sana kuyaelewa.

Ni muhimu sana,
na itakusaidia mno. Ila ndio hivyo tena muungwana karudi chini backbencha kwa mwendo kasi sana dah πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…