Intelijensia ya Rwanda sio ya mchezo mchezo, kinara wa Hotel Rwanda anashangaa kujikuta Kigali Airport

Kama una kopi tete(soft copy) tafadhali nitupie PM mkuu ikiwa utaona hapa public haifai kukiweka
 
Unataka kusema nini Mkuu? Naona umehangaika mno kwa kuzunguka sana. Ni Kiongozi gani msaliti hapa Tanzania aliyeko kwenye NGO ama chama cha upinzani na Serikali yako tukufu imeshindwa kumshughulikia kwa makosa yake (KAMA KWELI YAPO?) UVCCM mbona mnakua wapuuzi namna hii?
 
Fred Rwigema ndio amemkuza kagame na ndie alikuwa kiongozi mkuu wa RPF infact angekuwepo ndio angekuwa raisi wa Rwanda leo hii.....
 
Fred Rwigema ndio amemkuza kagame na ndie alikuwa kiongozi mkuu wa RPF infact angekuwepo ndio angekuwa raisi wa Rwanda leo hii.....
Mimi ndivyo nilivyokua naelewa siku zote ila kuna mdau humu Ndugu Kwizer ana maoni tofauti kuhusu hilo.
 

Sitaki kuamini kuwa alidanganywa kupanda ndege, unadanganywa vipi kuhusu kupanda ndege? Pia nimeona wengi wakidai eti labda ndege ilibadilisha route ghafla, hili nalo haliwezekani sidhani kama kuna shirika linaloweza kuchezea biashara yake kiasi hiki. Make wateja watapoteza imani na shirika husika, hapo kilichowazi ni ushirikiano usiokuwa na shaka kati ya serikali mbili yaani Rwanda na DXB, Kwa mjibu wa familia yake alikuwa Dubai, ni jinsi gani alipanda ndege kuelekea Rwanda haiwezi kuwa kwa matakwa yake bali kwa lazima na kwa ushirikiano wa serikali zote mbili. Ama alilewesha na kusafirishwa kwa mgonjwa au kama nilivosema hapo awali alitekwa na kupandishwa ndege kama VIP kupitia VIP lounge.
 
Kama "international transit hub", Dubai pana dawati kabisa kwa ajili ya vyombo kama Interpol.

Pia,kulikuwa na International Warrant ilotolewa na Rwanda ambayo inaruhusu kuingilia safari ya anaetafutwa.
Yule Alex Massawe aliwahi kukamatiwa hapo Airport Dubai na jamaa wa interpol akatakiwa kurudishwa bongo then sijui ikaishia wapi,sasa hivi yuko S/Africa anakula zake maisha tu.
 
Kweli kabisa mkuu. Wanyarwanda wenyewe japo nchi yao kijiografia ni ndogo wanaiita "great country" labda kutokana na operations kama hizi
HAKUNA LOLOTE ni udikteta mtupu
Raia yeyote atakayehatarisha nafasi ya uraisi wa PK ni kifo
mambo yote yana mwisho, hata aongeze miaka ya kutawala itafikia mwisho tu tena siku hizihzi za karibuni. ameshaua watu wengi na ndiye aliyesababisha kutunguliwa kwa ndege ya Habyarimana
 
Nenda kajifunze upya historia ya hiyo nchi na hayo mauaji yakimbari.acha kulishwa maneno bila kushirikisha akili yako.Yako mengi sana nyuma ya pazia ambayo huwezi kuyajua kirahisi.Uyo bwana ni njia tu yakumnyamazisha ili Pk aendelee namambo yake.
PAKA anafanya hizi operations kwa gharama kubwa sana, yasemekana Rusesabagina alitolewa dubai kwa ndege ya pekee na si commercial flight. Aidha, alikwenda dubai kwa mwaliko wa mfanyabiashara wa rwanda alijifanya anamuita ili wapange mipango ya maendeleo kumbe alikuwa dealer wa mipango ovu ya PAKA
 
Lazima atakuwa alirudi kwa hiari,au Rwanda walifanya kama Saudi Arabia inavyofanya,,yaani ndege inabadilishwa route na kutua Rwanda
No, alitua rwanda kwa ndege ya kipekee iliyotumwa na PAKA
 
Hapo airport alikuwa amelala kiasi hafahamu ndege aliyotakiwa kupanda?? I think there is more to this than is publicly available for now.
 
Hapo airport alikuwa amelala kiasi hafahamu ndege aliyotakiwa kupanda?? I think there is more to this than is publicly available for now.
Yes Chief, there is more to this kama anavyosema mwenyewe Rais Kagame kwenye interview baada ya Rusesabagina kutiwa nguvuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…