The Wakanda Panth3r
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 260
- 204
Mjomba hapo umechemka katafute vitabu Kama vitano vya waandishi tofauti ndipo uje kuongea source ya mauaji ya Rwanda sio rahisi Kama ULIVYO koment
ulizani sisi mafara sio. We Mhutu au mtusiKuna mdau alishaelezea mwanzo Mkuu nami nikakubali nikasahihisha. Ila Rusesabagina aliyenaswa ni yule halisi na sio wa kuigiza
Ndege ya abiria Dubai to Bergiam.. Wakata umeme wakadukua njia ikaelkezwa alipo alipo zaliwa..Mie ninachoshindwa kufahamu mpk sasa ilikuaje akapanda ndege hiyo, ni kwamba alitekwa? Au hiyo ndege ilisoma vingine mpk yeye akashawishika kupanda au alikodi private kumbe majasusi wa Kagame ndio wamiliki wakampeleka kwa Pilato
Ushauri mzuri sana huuAll empires are built on blood (Pablo Escobar). But ushauri wangu kwa Rwanda na wanyaruanda tu waanze kufikiria the after Kagame, hatutaki kuona mauaji mengine au kupokea wakimbizi tena. A smooth transition inastahili kuanza kufirikiwa before it is too late. Power vacuum huwa ni mbaya especially when there are many power mongers. Mungu ibariki Africa
WhatsApp nayo ni safe sana japo sio 100% labda tu hakuamini weweHii Serikali ya Rwanda ni tata sana. Jamaa yangu mmoja (Mnyarwanda) anaiponda sana, lakini ukichat naye WhatsApp au fb utashangaa anavyoitetea. Kama utataka muongee akiwa huru inabidi utumie mitandao mingine ya kijamii kama WeChat (ambayo ni less popular).
Haikuwa kipindi vja Abacha ilikuwa kipindi cha shehu shagari as Rais na Umaru bikko alikuwa Waziri wa transportation ivo utawala wa Shehu baada ya kuwa overthrew na Millitary jamaa ndio alikimbilia Nje ivo plotters wakaa chini Wakiwemo Waisrael kama doctors kulinda jamaa asife kwenye box na Mwanausalama wa kinigeria, Mzigo ulikuwa labeled kama diplomatic bag kitu ambacho kinazuia ukaguzi wa kilichomo ndani mission ili fail baada ya secretary wake kuanza ku alert media kuwa umaru ametekwa na kuna possibility anasafirishwa nje ya UK checking zikaanza mpaka custom officer wa airport akasanuka Mwisho watekaji wote walifungwa jela na ilivuruga sana diplomatic ties kati ya nigeria na Uingereza, Wizara ya mafuta iko chini ya Rais yani Buhari ni Rais na minister wa hio wizaraDah! Kumbe ilikua ni wakati wa Abacha The Butcher!? Ila Wanigeria tangia enzi hizo wanaiibia nchi yao hatariiii
HIVI YULE JEFESON WA ISIDINGO MDOGOWAKE LINCOLIN SIYO HUYOMkuu Acha uongo basi, aliyeact kama Paul Rusesabagina ni Don Cheadle
Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
Mkuu, sidhani kama ni sahihi kusema hayana umuhimu wowote. Hata shuleni na vyuoni kuna mengi tunasoma waweza dhania hayana umuhimu wowote. Lakini unajikuta una ya apply na kuya practice katika maisha ya kila siku pengine bila mwenyewe ku notice
Kwenye kisa hiki cha kukamatwa Rusesabagina kuna mafunzo na mazingatio meengi sana kwa watu wenye kutaka kujifunza
Kweli kabisa Da Wangari, kama jamaa kweli bado yupo hai hakuna kinachoshindikana. Kama wanaotafutwa Rwanda wamekua wakikimbia kimbia na kujificha kwa zaidi ya miaka 20 lakini hatimaye wanapatikana naamini sisi tukiamua tunaweza fanya zaidi ya hayoBinadamu tumetofautiana Sana uelewa....hili ni SoMo zuri Sana..very interesting...kumbe na sisi tukiamua kumsaka Balali tunaweza
Acha ubishi kasome thread namba 4You can fool some people sometimes........
Mkuu huyu Fred Rwegima nadhani alikua close ally/friend wa Kagame na ndio kiongozi wa mwanzo wa RPF. Ninavyoelewa kifo chake baada ya kuuwawa kule msituni ndio kulifanya PK akatishe masomo Marekani aje aongoze mapambo dhidi ya serikali ya Rwanda ya wakati ule iliyokua chini ya Juvenal Habiarimana (kama sikosei)Huyu jamaa katafutwa na kurudishwa si kwa sababu ya hao aliowaokoa. Ishu nzima ni kumpinga Kagame na Utawala wake, keshaonekana ni tishio maana hata yeye ni jasusi vile vile. Fred Rwigiyema yupo wapi? Kaberebe je!?
Ili ndio jibu.Hizo nyingine ni porojo tu.Wako wengi tu wameingia matatani pale walipoonyesha nia yakuondoa madarakani viongozi wakiafrika wanaojifanya nchi ni mali zao binafsi.Nakwasababu dola na madaraka ni yao wanaweza kutunga sababu yoyote ile kuaminisha watu kile walichokikusudia.Wazungu wakiamua kukunyanyua wanakupaisha tu. Hata hivyo kuna watu wanadai kwamba serikali ya Kigali ilanza kumuandama Rusesabagina baada ya kutangaza kumpinga na kutaka kumuondoa madarakani Rais Kagame kwa kutumia nguvu baada ya juhudi za kumuondoa kidemokrasia kushindikana
Sio kweli, unajua PK ni mtu mmoja asiyekuwa na rafiki wala urafiki. Unaweza sema aliuwawa msituni ila sivyo kama unavyodhania, huyo ndiye aliyeonekana angekuwa rival wake baadae sababu kuishinda serikali ya Rwanda kwa kipindi kile ilikuwa ni given ila lilikuwa ni swala la muda tuMkuu huyu Fred Rwegima nadhani alikua close ally/friend wa Kagame na ndio kiongozi wa mwanzo wa RPF. Ninavyoelewa kifo chake baada ya kuuwawa kule msituni ndio kulifanya PK akatishe masomo Marekani aje aongoze mapambo dhidi ya serikali ya Rwanda ya wakati ule iliyokua chini ya Juvenal Habiarimana (kama sikosei)
Nenda kajifunze upya historia ya hiyo nchi na hayo mauaji yakimbari.acha kulishwa maneno bila kushirikisha akili yako.Yako mengi sana nyuma ya pazia ambayo huwezi kuyajua kirahisi.Uyo bwana ni njia tu yakumnyamazisha ili Pk aendelee namambo yake.Wazungu wakampa uraia, akapewa tuzo nyingi kama shujaa kumbe naye ailikuwa "mdhamini" wa mauaji na msaliti wa nchi yake! (Kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu jamaa hasa pale unapoona kiongozi anapewa support kubwa na mataifa ya magharibi na Marekani) Ingekuwa Tanzania Paul Rusesabagina angekuwa kiongozi wa chama cha siasa au NGO ya kutetea Haki za raia, na hata urais angegombea tu, ila kwa Rwanda ukiisaliti nchi na kuwatumikia "mabeberu" lazima wakuwinde tu!
View attachment 1568411
Hapa ndipo kwenye shida.hizo nyingine ni sababu tu zakutengeneza.Afrika tuna shida kubwa sana.Je, shutuma anazo shutumiwa ni za kweli au ni vile anampinga kiongozi aliyepo madarakani?
Waafrika tuna shida sana kwenye kubadilishana uongozi.
Dah! Basi kama ni hivyo itakua kuna siri nyingi sana hatuzijui, yaani pengine kuna mambo kwenye siasa ambayo uhalisia wake ni tofauti na tunavyoona kwa njeSio kweli, unajua PK ni mtu mmoja asiyekuwa na rafiki wala urafiki. Unaweza sema aliuwawa msituni ila sivyo kama unavyodhania, huyo ndiye aliyeonekana angekuwa rival wake baadae sababu kuishinda serikali ya Rwanda kwa kipindi kile ilikuwa ni given ila lilikuwa ni swala la muda tu
Ndugu ukitaka angalau kujua yanayofanyika na serikali hizi duniani kote, tafuta kitabu kinaitwa SECRET MEETING OF ELDERS OF ZION, kiliandikwa miaka mingi sana walipokisoma wakubwa wa serikali ikaamuliwa kopi zote zikusanywe zitiwe moto ila kuna waliokuwa wameshakisoma wakarudia kukiandika tena.Dah! Basi kama ni hivyo itakua kuna siri nyingi sana hatuzijui, yaani pengine kuna mambo kwenye siasa ambayo uhalisia wake ni tofauti na tunavyoona kwa nje