Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Kwani mkuu hakunaga ushahidi na mashahidi wa kupikwa?Serikali ya Rwanda inadai kuna ushahidi wa kutosha kumfungulia mashtaka ya kuhusika na genocide
Miaka yote hadi anapewa 'tuzo ya ukombozi', hatujawahi sikia tuhuma ya mauaji dhidi yake.
Yamezushwa tu alipoonesha nia ya kugombea madaraka na kumpinga PK!
Sent using Jamii Forums mobile app