Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
- Thread starter
- #101
Dah! Kumbe ilikua ni wakati wa Abacha The Butcher!? Ila Wanigeria tangia enzi hizo wanaiibia nchi yao hatariiiiUmaru Diko,alikua waziri wa mafuta na usafirishaji,aliiba dola bilioni moja
Jenerali katili kuwahi kutokea Sani Abacha,alituma makachero,wakamteka wakamtia katika sanduku ,wakaandika kuwa ni mzigo wa kidiplomasia
Kilichomuokoa airport alipiga chafya kama tatu mfululizo kwa jili ya dawa za usingizi zilikua zinaisha nguvu,wazungu wakasema fungua mzigo msitutanie!