Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
- Thread starter
- #61
Nazungumzia
Kuna kitu sijakueleqa labda mkuu? Niisifie intelijensia ya Tanzania inahusiana nini na mada hii?
Nazungumzia Intelijensia ya Rwanda baada ya mauaji ya kimbari ya 1994, wakati nchi yao ipo chini ya RPF.Kwanini unawasifia sana wanyarwanda na sio Tanzania? Wanakulipa? Kwanini hiyo intelligence yao ilishindwa kuzuia mauaji?
Kuna kitu sijakueleqa labda mkuu? Niisifie intelijensia ya Tanzania inahusiana nini na mada hii?