Intelijensia ya Rwanda sio ya mchezo mchezo, kinara wa Hotel Rwanda anashangaa kujikuta Kigali Airport

Intelijensia ya Rwanda sio ya mchezo mchezo, kinara wa Hotel Rwanda anashangaa kujikuta Kigali Airport

Paul Rusesabina aliyecheza filamu maarufu inayoelezea mauwaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 ambapo yeye alikua Manager wa Hotel akiwaokoa Watutsi wasivamiwe na kuchinjwa na Interahamwe hatimaye amefikishwa mbele ya sheria kwa makosa ya kuhusika na njama za mauji hayo hayo!!

Baada ya Rusesabagina kucheza filamu ile wakati wote dunia ilimuona kama shujaa aliyesaidia kuokoa maisha ya makumi ya Watutsi wasio na hatia waliokimbilia Hotel Rwanda hadi pale uchunguzi ulipofanyika na kugundua naye alikua mmoja wa walioshiriki kutekeleza genocide ile. Suala kama ana hatia au la mahakama itaamua lakini kilichoacha watu midomo wazi ni namna alivyofikishwa Rwanda, maana alikua akiishi Ubelgiji na alishachukua urai wa huko.

Inasemekana alikua Dubai na alidanganywa kupanda ndege ambayo labda aliamini inaenda sehemu nyingine. Kuja kutahamaki anajikuta anashuka Kigali Airport na pingu zikimsubiri!!!. Kabda ya hapo kuna jamaa wa Kinyarwanda aliandika makala akisema alijipa jukumu la kufuatilia nyendo za Rusesabagina duniani kote na alifanya hivyo kwa miaka 15 na kwa kukamatwa kwa Paul Rusesabagina basi ametimiza kazi yake akiwa kama Mzalendo wa nchi yake! Maofisa wa Rwanda wanasema jamaa amerudi mwenyewe kwa hiyari yake jambo ambalo ndugu wanalikanusha wakidai kua ametekwa, na sababu ni kwamba alianza harakati za kumuondoa madarakani Rais Kagame kwa kuongoza kundi la FNL ambalo Kigali inasema ni lakigaidi

Serikali ya rais PK kama alivyo yeye mwenyewe ina mkono mrefu na wanamsemo wao kua "There is a price to pay in betraying Rwanda" na kwamba hicho ndio kilichomkuta mcheza filamu/mwanasiasa Paul Rusesabagina

Amewakosea nini mpaka mhangaike naye hivyo? Kila Lenye mwanzo lina mwisho. Poleni sana mnaohangaika na mambo ambayo hayana umuhimu wowote.
 
Amewakosea nini mpaka mhangaike naye hivyo? Kila Lenye mwanzo lina mwisho. Poleni sana mnaohangaika na mambo ambayo hayana umuhimu wowote.
Mkuu, sidhani kama ni sahihi kusema hayana umuhimu wowote. Hata shuleni na vyuoni kuna mengi tunasoma waweza dhania hayana umuhimu wowote. Lakini unajikuta una ya apply na kuya practice katika maisha ya kila siku pengine bila mwenyewe ku notice

Kwenye kisa hiki cha kukamatwa Rusesabagina kuna mafunzo na mazingatio meengi sana kwa watu wenye kutaka kujifunza
 
Serious? Rwanda inatumia the little resources they have to steal in Congo and fight war on PK challengers
Kuna critics wa Israel kwa mfano wanasema operations nyingi za nchi hiyo ni dhidi ya ardhi na rasilimali ya nchi nyingine na ndio maana inaitwa/wanajiita great country pamoja na udogo wa taifa hilo kijiografia japo kuna maoni tofauti kwenye hili
 
Mkuu, sidhani kama ni sahihi kusema hayana umuhimu wowote. Hata shuleni na vyuoni kuna mengi tunasoma waweza dhania hayana umuhimu wowote. Lakini unajikuta una ya apply na kuya practice katika maisha ya kila siku pengine bila mwenyewe ku notice

Kwenye kisa hiki cha kukamatwa Rusesabagina kuna mafunzo na mazingatio meengi sana kwa watu wenye kutaka kujifunza

Hivi kila superstar Rwanda ni mhalifu isipokuwa PK tu?
 
Kuna critics wa Israel kwa mfano wanasema operations nyingi za nchi hiyo ni dhidi ya ardhi na rasilimali ya nchi nyingine na ndio maana inaitwa/wanajiita great country pamoja na udogo wa taifa hilo kijiografia japo kuna maoni tofauti kwenye hili

Israel rarely kill Israelites. Israel deals with their enemies, mostly arabs.
Sasa Rwanda inapambana na wanyarwanda wanaotaka kuona genocide haitumiki kisiasa. Badala ya kuunganisha nguvu mnamalizana taratibu halafu mnajifananisha na Israel.
Muafrika ni muafrika tu
 
Wazungu wakampa uraia, akapewa tuzo nyingi kama shujaa kumbe naye ailikuwa "mdhamini" wa mauaji na msaliti wa nchi yake! (Kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu jamaa hasa pale unapoona kiongozi anapewa support kubwa na mataifa ya magharibi na Marekani) Ingekuwa Tanzania Paul Rusesabagina angekuwa kiongozi wa chama cha siasa au NGO ya kutetea Haki za raia, na hata urais angegombea tu, ila kwa Rwanda ukiisaliti nchi na kuwatumikia "mabeberu" lazima wakuwinde tu!
download.jpg
 
Wazungu wakampa uraia, akapewa tuzo nyingi kama shujaa kumbe naye ailikuwa "mdhamini" wa mauaji na msaliti wa nchi yake! (Kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu jamaa hasa pale unapoona kiongozi anapewa support kubwa na mataifa ya magharibi na Marekani) Ingekuwa Tanzania Paul Rusesabagina angekuwa kiongozi wa chama cha siasa au NGO ya kutetea Haki za raia, na hata urais angegombea tu, ila kwa Rwanda ukiisaliti nchi na kuwatumikia "mabeberu" lazima wakuwinde tu!
View attachment 1568411
Je, shutuma anazo shutumiwa ni za kweli au ni vile anampinga kiongozi aliyepo madarakani?
Waafrika tuna shida sana kwenye kubadilishana uongozi.
 
Israel rarely kill Israelites. Israel deals with their enemies, mostly arabs.
Sasa Rwanda inapambana na wanyarwanda wanaotaka kuona genocide haitumiki kisiasa. Badala ya kuunganisha nguvu mnamalizana taratibu halafu mnajifananisha na Israel.
Muafrika ni muafrika tu
Hii hoja yako inafikirisha sana Mkuu, ni observation ya kuizingatia
 
Serikali ya Rwanda inadai kuna ushahidi wa kutosha kumfungulia mashtaka ya kuhusika na genocide
Kwa mujibu wa sources mbalimbali za habari,serikali ya Rwanda na PK ambae wiki iliyopita alikua Live anahojiwa huko mitandaoni ni kwamba huyo jamaa hajashitakiwa kwa Kuhusika na Genocide bali ameshtakiwa kwa kikundi chake FNL kufanya mashambulii ndani ya Rwanda na kuua watu kadhaa na kuharibu mali na kuna video inatembea huko Twitter huyo jamaa wa Hotel Rwanda akikipongeza hicho kikundi chake kwa kufanya hayo mashambulizi.
 
Paul Rusesabina aliyecheza filamu maarufu inayoelezea mauwaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 ambapo yeye alikua Manager wa Hotel akiwaokoa Watutsi wasivamiwe na kuchinjwa na Interahamwe hatimaye amefikishwa mbele ya sheria kwa makosa ya kuhusika na njama za mauji hayo hayo!!

Baada ya Rusesabagina kucheza filamu ile wakati wote dunia ilimuona kama shujaa aliyesaidia kuokoa maisha ya makumi ya Watutsi wasio na hatia waliokimbilia Hotel Rwanda hadi pale uchunguzi ulipofanyika na kugundua naye alikua mmoja wa walioshiriki kutekeleza genocide ile. Suala kama ana hatia au la mahakama itaamua lakini kilichoacha watu midomo wazi ni namna alivyofikishwa Rwanda, maana alikua akiishi Ubelgiji na alishachukua urai wa huko.

Inasemekana alikua Dubai na alidanganywa kupanda ndege ambayo labda aliamini inaenda sehemu nyingine. Kuja kutahamaki anajikuta anashuka Kigali Airport na pingu zikimsubiri!!!. Kabda ya hapo kuna jamaa wa Kinyarwanda aliandika makala akisema alijipa jukumu la kufuatilia nyendo za Rusesabagina duniani kote na alifanya hivyo kwa miaka 15 na kwa kukamatwa kwa Paul Rusesabagina basi ametimiza kazi yake akiwa kama Mzalendo wa nchi yake! Maofisa wa Rwanda wanasema jamaa amerudi mwenyewe kwa hiyari yake jambo ambalo ndugu wanalikanusha wakidai kua ametekwa, na sababu ni kwamba alianza harakati za kumuondoa madarakani Rais Kagame kwa kuongoza kundi la FNL ambalo Kigali inasema ni lakigaidi

Serikali ya rais PK kama alivyo yeye mwenyewe ina mkono mrefu na wanamsemo wao kua "There is a price to pay in betraying Rwanda" na kwamba hicho ndio kilichomkuta mcheza filamu/mwanasiasa Paul Rusesabagina
Huyo Kagame pia ana makosa ya kujibu mengi tu,tuombe uzima.

RIP Profesa Jwan Mwaikusa
 
Serikali ya Rwanda inadai kuna ushahidi wa kutosha kumfungulia mashtaka ya kuhusika na genocide
Inawezekana ikawa ni kweli na vile vile isiwe kweli ila ni kwa maslahi mapana kwa walio madarakani,historia ya viongozi wetu inawashitaki linapotokea suala la kuwakamata wakosoaji wa utawala wao.
 
Muusika wa kwanza na mkuu wa genocide ni PK mwenyewe, the rest are just pawns he is using to cement his POWER
Mkuu, ripoti rasmi tunazozisoma na kuzisikia ni kwamba Paul Kagame na RPF yake ndio walisimamisha genocide baada ya siku 100 za kuogofya sana ambapo Watutsi na Wahutu wenye msimamo wa wastani waliuliwa na Interahamwe
 
Back
Top Bottom