walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,796
- 5,553
Mmh basi kama hayo wayasemayo itakuwa ni kweli mana mtu anapanda ndege anajua alaelekea position X mwisho wa siku anafika anakuta yupo position Y ni hatar sana intelijensia yao sio ya kitoto kabisaKweli kabisa mkuu. Wanyarwanda wenyewe japo nchi yao kijiografia ni ndogo wanaiita "great country" labda kutokana na operations kama hizi