Intelijensia ya simba imchunguze Henock Inonga

Intelijensia ya simba imchunguze Henock Inonga

Tatizo viongozi wabahili. Wanasajili cheap players. Pamoja na msiba wa ushambuliaji butu last season tumesajili striker gani tishio? Kila mtu ameonya Simba haina DM wa maana bado hatusajili!

Pale ondoa mzungu, Victor Ikpar na leta DM na mashambuliaji katili level za Manzoki au zaidi! Kama Phiri ameshindwa kuonesha kitu kwenye training piga chini hata kwa kuvunja mkataba tafuta mtu wa maana! Huu si muda wa majaribio.

Timu imevuna mikataba muziri wasajili vizuri badala ya ubahili
Hili pia ni tatizo pale msimbazi, hatu a striker mwenye njaa ya magoli na uongozi unafahamu, ni kama wanafanya bahati nasibu

Hivi kweli kama kuna striker mwenye nidhamu ya mpira kweli tunapata nafasi tano tunatumia moja!

Kuna jambo haliko sawa mahali flani
 
Mkuu juma kaseja wakati anahojiwa mwezi uliopita na azam tv alikiri kupokea mialiko mingi ya kuachia magoli watu hawaelewi tu,

Siku hizi mpira ni biashara kushinda kwa yanga ni kuing'arisha brand ya GSM na bidhaa zake hivyo si shida kwa GSM kuhonga hiyo mil.50
Huo Ni ukweli kabisa, Yanga ikifanya vizuri brand ya GSM inauzika zaidi na zaidi, hawawezi kushindwa kuonga mchezaji hili wapate matokeo mazuri,
Hivi sasaivi baada ya kufungwa juzi kizembe, Kuna shabiki kweli wakununua jezi za Simba?
 
Halafu lile limzamiru Simba wanaendelea kuwanae wanini na kitambi chake kile
 
"Kumtafuta mchawi ni nani ni kuongeza tatizo"
By. Conde boy.
 
Hahaha

Kwa hyo nyie ile miaka mi 4 mliyotawala mlikuwa mnawahonga mabeki wa yanga si ndio?

Kubalini wakati wenu umefika ukuta jipangeni vzuro tu Kama yanga ilovyojipanga

Mkishangaa kuna timu 2 zimejiimarisha zaid SINGIDA NA AZAM sio timu za kuzibeza kabisa

Sio muda wa kutoa lawama huu chukulien Kama changamoto tu hyo

Man u mwaka wa kumi sasa mambo Bado hayaendi nao vp wamehongwa na Liverpool au man city?

HAKUNA TIMU ISIYOFUNGWA DUNIANI

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nilicho gundua jamaa sio shabiki wa soccer ni mwanasiasa, ambae bado hajatoboa.
 
Umeandika utafikiri hao wachezaji wa yanga viwango vyao nisawa na watoto wa shule ya msingi.Simba hajaanza kufungwa na yanga leo kashafungwa sana na atafungwa sana tu kwasababu huu ni mpira.Badala yakuwapongeza wachezaji kwakupambana mnaanza ngonjera utafikiri kile kikosi cha yanga wso hakijui kucheza ni simba tu ndio inayojua.Tupunguze ujinga.
 
Mbona akicheza vizuri tunamsifia humu

Tukiona kasoro tutamsema pia humu humu

Sisi mashabiki hatuna platform nyingine ya kusifia ama kukosoa zaidi ya hapa mtandaoni
Ulichokiandika sio kukosoa ni tuhuma ambazo zinapaswa kuthibitishwa.sasa sidhani kama ukitakiwa usithibitishe utaweza zaidi yakuandika tu hisia zako za ovyo uku mtandaoni.
 
Ulichokiandika sio kukosoa ni tuhuma ambazo zinapaswa kuthibitishwa.sasa sidhani kama ukitakiwa usithibitishe utaweza zaidi yakuandika tu hisia zako za ovyo uku mtandaoni.
Hata ulichokiandika wewe dhidi yangu hapo juu ni tuhuma ambazo ukiambiwa uthibitishe utaumwa na tumbo la kuhara pimbi wewe
 
Back
Top Bottom