Huu ni upumbavu.Hahaha
Kwa hyo nyie ile miaka mi 4 mliyotawala mlikuwa mnawahonga mabeki wa yanga si ndio?
Kubalini wakati wenu umefika ukuta jipangeni vzuro tu Kama yanga ilovyojipanga
Mkishangaa kuna timu 2 zimejiimarisha zaid SINGIDA NA AZAM sio timu za kuzibeza kabisa
Sio muda wa kutoa lawama huu chukulien Kama changamoto tu hyo
Man u mwaka wa kumi sasa mambo Bado hayaendi nao vp wamehongwa na Liverpool au man city?
HAKUNA TIMU ISIYOFUNGWA DUNIANI
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unadhani Simba ndiyo timu ya kufungwa kila siku na kinye fc?