ni m kweli walikuwa wanafanya kazi kubwa sana hasa miaka ya nyuma,hata sasa kunakazi wanazifanya,tena kwa ufasaha sana,ili mradi wanawalinda watawala,hasa ccm na maovu yake,ila yale makusudio na majukum mengine watu wengi wanayalalamikia sana sana,ni aibu kwa chombo kama hiki tutajwatajwa au watumishi wake,sana tu,enzi za mwalim haikuwa hivi,lakini chenyewe ndo kimejifikisha hapa tulipo kwa kuanzia mfumo wa upatkanaji watumishi hadi utendaji kazi wake,si ajabu leo mkubya hata umeandika hapa kesho ukambiwa unafaa njo upate kibarua.kwenye mazuri tunapasa kusifia lakini mabaya si ya kunyamazia pia,bw.mkubya,,,eh,Muhimili wa uchumi wa nchi ni BOT,ufisadi mkubwa namna ile wa EPA unapangwa na kufanikiwa?na hatua hakuna hadi kelele za kina slaa,Ndege ya kijeshi inaingia TZ na kuiba wanyama hai kisi kile?dalili na mipango ya udini na uchochezi wa vurugu za kidini? mabom kanisani?kujiingiza kisiasa namna hii?watumishi wake kuwa na kashfa za utesaji kama ya ulimboka?baadhi ya watumishi wake kuhusishwa na dili za unga na ujangili nchini bila hatua kuchukuliwa?kupika ushahid ktk case za kupikwa dhid ya raia?na hasa kushindwa kusoma public opinion,mana viongozi wanafanya yale yale yanayopingwa na wananchi,kama ufisadi n.k,ni aibu chombo hicho kufika hapa tulipo,kwa vile kimejifikisha chenyewe wacha wananchi wakiseme vibaya,ukienda bar,ukamwagiwa bia, hamna ataeshangaa,lakini ukamwagiwa bia mahakamani au ofisin kila mtu atashangaa,hawa wanaonekana kama wanasiasa na wapiga dili siku hizi,so waache watukanwe majukwaani sana(ni kweli kama mboe anavosema kuwa ni weupe kuliko shati ulilovaa.naimani sana,nadhani wengi wanaimani pia na heshma ya JWTZ,ila hata huko nako kuna watu wazuri tu,ambao kwa uzuri wao ipo siku watakuja kuwa mfano kwa idara hiyo nyeti kuondokana na wale wote waliopatkana kishkaji,na ndo hao mko bar au kwenye viombo vya usafiri"unanijua mi ni nani?